barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Kama chadema mmeshindwa kushawishi hata 'MABONGOLALA' wawe nanyi basi hamfai hata kuwa viongozi wa familia zenu. Hivi unamshindwaje 'bongolala'?Hakuna mtu analazimika ila huo Ndio ukweli
Bongo lala Ndio mtaji wa CCM
Wasomi ni wapinzani