ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Mnalazimisha watu demokrasiaaa wakati nyie wenyewe mnaikana kwa maneno yenu! !kila Raia anayo haki kumchagua amtakaye muwe mnaheshimu mawazo ya watuHakuna mtu analazimika ila huo Ndio ukweli
Bongo lala Ndio mtaji wa CCM
Wasomi ni wapinzani