citizensindevelopment18
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 1,636
- 830
Ahahahhahaha itakuwaaaaa Singidaaa masharikii kwa Lissu, wanakunywa maji na wanyama
Watu, mbwa ngombe fisi punda wote bwawa moja. shidaaaaaaaaaaaaaaaSingida ni mji mkame ila kuna mashirika yanachimba visima kila kijiji
Kilimanjaro ni Wasomi na watu wenye uchumi hio Tanga yenyewe uchumi upo mikinoni mwa wachaga
Sijui kuna wagosi wangapi Wana raslimali moshi