Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ni wateja wazuri wa CCMMimi sijui vigezo vya BOT lakini mimi nimetembea Sana Tanzanian na ninaona miji yote ambayo waislam ni wengi ni miji yenye umaskini wa kutisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wateja wazuri wa CCMMimi sijui vigezo vya BOT lakini mimi nimetembea Sana Tanzanian na ninaona miji yote ambayo waislam ni wengi ni miji yenye umaskini wa kutisha
Nimeshangaa Ata lamiiiii hakuna halafuu unasemaaaaa Kuna maendeleo hiviii ni vituko, Kigoma ahahahahah
Ni haki yao ya kidemokrasiaSahihi sijui kwanini waislamu wanaipenda sn CCM
Unajibu kinyonge sana baada ya kupata uhalisia wa mambo.Nimeshangaa Ata lamiiiii hakuna halafuu unasemaaaaa Kuna maendeleo hiviii ni vituko, Kigoma ahahahahah
Inawapa umaskini snNi haki yao ya kidemokrasia
Mkuu ungeweka hata picha za mikutano ya Lowasa ya 2015 ili kutujengea imani. Kavu kavu namna hii ni sawa na kutuaminisha kuwa Bulaya na mdee siyo marafiki wanao......Niwapongeze wagosi kwa kuamua kutetea haki zao. Katika mikitano mingi ya wagombea wananchi wamekuwa na mwitikio chanya huku kilio kikubwa kikiwa kutelekezwa. Majimbo ya Tanga hayana maendeleo pamoja kuichagua CCM, safari hii wanadai wanabadili watawala wapate ladha ya upinzani.
Hongereni Sasa, fanyeni maamuz sahihi 28/10
Uwongo wa Chadema mwisho wao ni October
Viongozi wako walisema hawatafika uchaguzi wa 2020 wewe kijakazi wao unasema mwisho wa CHADEMA ni Oktoba.
Tumsikilize nani?
Mkuu ungeweka hata picha za mikutano ya Lowasa ya 2015 ili kutujengea imani. Kavu kavu namna hii ni sawa na kutuaminisha kuwa Bulaya na mdee siyo marafiki wanao......
Chadema mwisho wenu ni October, mlivuka mstari mwekundu kusaliti Nchi
Huna jipya wewe ni sawa na kondomu.
Ila Siwezi kuwa sawa na msaliti wa Nchi Lissu
Labda Lissu kasaliti penzi lenu kwa mumeo lakini sio kwa nchi.
Acha kutuzuga jombaa!!
Mwaka huu Chadema watajuta kumsimamisha msaliti wa Nchi apeperushe
Mtajua kuwa hamjui mwaka huu na kutumia nguvu kubwa ya kukata majina ya wagombea na kutumia nguvu za poliCCM..
Bado mnaogopa chama mlichosema kimeshakufa..!)
Mwaka huu Chadema watajuta kumsimamisha msaliti wa Nchi apeperushe
Mtajua kuwa hamjui mwaka huu na kutumia nguvu kubwa ya kukata majina ya wagombea na kutumia nguvu za poliCCM..
Bado mnaogopa chama mlichosema kimeshakufa..!)
View attachment 1595656
Mwaka huu vijana wa Chadema mtajinyonga sana
Huyo msaliti wa Nchi Lissu akiwaletea hata wabunge wawili mkatambike
Atarudi ubeligiji analia
Mmejipanga kwa wizi lakini kwa kura za wananchi lazima mkae.