ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Tembeee sio tatizo na umeme wanawekewa, maji wanapataaa , wakitakaaa Kuja mjini lamiii ya uhakika, Dar yenyeweee Ina Tembe itakuwaaaaa TangaUtafananisha na kwenu? kuna nyumba za tembe Moshi kama Dodoma?