Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Sawa bibie tusubirie muda utaongea.
Hakuna wa kumpigia kura msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Lissu akipata hata kura laki tano mkatambike