Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
Kwa waswahili.Kwa wazungu ni kawaida yao.Mada ya kimbea kama hii bila picha ni sawa na kiuno bila shanga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa waswahili.Kwa wazungu ni kawaida yao.Mada ya kimbea kama hii bila picha ni sawa na kiuno bila shanga.
Yawezekana ulicho kiandika umekiandika haraka na kwa wepesi sana lakini ndani yake kina tafsiri ngumu na kubwa sanaMaeneo yote yenye waislamu wengi CCM Inapeta tu pamoja na kwamba hakuna maendeleo kabisa na ni maeneo yaliotengwa
Sababu ya CCM kukubalika sana kwenye maeneo haya ni kwamba,,,
Waislamu wengi tumeishia darasa la saba na sisi ni jamii ya watu masikini sana hapa Tanzania mpaka Leo watoto wetu bado wanasoma chini ya miti
Wapo matajiri waislamu na wapo Wasomi waislamu lakini tunasema waislam walio wengi ni darasa la saba na Ndio masikini wa kutishaWaislamu wanaingiaje tena hapa! Una taarifa kwamba matajiri wakubwa hapa Tanzania ni waislamu?
Hakuna cha kushangaaaaa Songwe, labda Mazao , Geneva of Africa inatoshaHuna hela, Tanzania ni
ya
Wanao
Hebu nendaHakuna cha kushangaaaaa Songwe, labda Mazao , Geneva of Africa inatosha
Sawa MadamHebu nenda
Wewe upeo wako mdogo unafikiri Bakhresa anauza ICE cream kama yule mama saidiBiasharaaaa ni akili sio Aina ya biasharaaaa, Bakhresa anauza ICE CREAM, na anatusua, acheniii kasumba mnachomekea kumbe Laki 8 kwa mwezi, huku muuza chips anakuzunguka mara 4, unaishiaaaaa kutumikishwa na wahindiii na wa china
Uwongo wa Chadema mwisho wao ni October
Mbeya mjini, karatu, Kigoma mjini, Bunda, Tarime mjini,Moshi Mjini, Arusha, Arumeru Mashariki, Kawe, Bukoba mjini,Jimbo gani Lina maendeleo kwa kuichagua chadema au Act au Cuf?
Ebu tuletee list ya mikoaa masikini Tanzania? KWA mujibu wa BOT?Wapo matajiri waislamu na wapo Wasomi waislamu lakini tunasema waislam walio wengi ni darasa la saba na Ndio masikini wa kutisha
Angalia mikoa ya waislamu wenzetu bado watoto wanasoma chini ya miti
Unaota wewe ndoto za alinacha!Mkipata maendeleo waswahili wa pwani mtakua kama watu wa Kilimanjaro na arusha na mkiwa wajanja CCM itaanguka
Kwa hio lazima mkandamizwe maana mtaji wa CCM ni mafukara na darasa la saba
Nahisi Bukoba mjini na karatu hujawahi kufika, maana sio kwa kubwabwaja huko!Mbeya mjini, karatu, Kigoma mjini, Bunda, Tarime mjini,Moshi Mjini, Arusha, Arumeru Mashariki, Kawe, Bukoba mjini,
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
utamaduni gani huo?Tatizo la waislamu ni ule utamaduni mbovu ulioletwa na waarabu.
Hakuna sehemu nchi hii sijawahi kufikaNahisi Bukoba mjini na karatu hujawahi kufika, maana sio kwa kubwabwaja huko!
Ni kweli hata Dkt Bashiru amesema Wasomi na wenye uchumi wengi nchi hii hawapendi CCM ila wale wenye maslahi serikalini na mtaji mkubwa wa CCM ni darasa la saba na watu masikini ambao wengi wao ni waislamu wenzanguUnaota wewe ndoto za alinacha!
Mimi sijui vigezo vya BOT lakini mimi nimetembea Sana Tanzanian na ninaona miji yote ambayo waislam ni wengi ni miji yenye umaskini wa kutishaEbu tuletee list ya mikoaa masikini Tanzania? KWA mujibu wa BOT?mimi sijui ZBOT
Mnasikitishaaaa sana Majimbo yote ya upinzani umepata hayaa tu, ebu tuambieee Kigoma mjini Kuna nini Ata lamiiiii hakuna ya kuunganisha mkoa ahahahaha,Mbeya mjini, karatu, Kigoma mjini, Bunda, Tarime mjini,Moshi Mjini, Arusha, Arumeru Mashariki, Kawe, Bukoba mjini,
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Sahihi sijui kwanini waislamu wanaipenda sn CCMMaeneo yote yenye waislamu wengi CCM Inapeta tu pamoja na kwamba hakuna maendeleo kabisa na ni maeneo yaliotengwa
Sababu ya CCM kukubalika sana kwenye maeneo haya ni kwamba,,,
Waislamu wengi tumeishia darasa la saba na sisi ni jamii ya watu masikini sana hapa Tanzania mpaka Leo watoto wetu bado wanasoma chini ya miti
Mbona umejibu kinyonge sana ?Mnasikitishaaaa sana Majimbo yote ya upinzani umepata hayaa tu, ebu tuambieee Kigoma mjini Kuna nini Ata lamiiiii hakuna ya kuunganisha mkoa ahahahaha,
Lete Data za BOT acha maneno ya mtaani kelele za nini? tutajuaaaaaMimi sijui vigezo vya BOT lakini mimi nimetembea Sana Tanzanian na ninaona miji yote ambayo waislam ni wengi ni miji yenye umaskini wa kutisha