kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Mmmh eka ti tegheeze ndivyo iitukeNiwapongeze wagosi kwa kuamua kutetea haki zao. Katika mikitano mingi ya wagombea wananchi wamekuwa na mwitikio chanya huku kilio kikubwa kikiwa kutelekezwa. Majimbo ya Tanga hayana maendeleo pamoja kuichagua CCM, safari hii wanadai wanabadili watawala wapate ladha ya upinzani.
Hongereni Sasa, fanyeni maamuz sahihi 28/10
Akili mgando ndo mtaji wa ccm.. Saivi watu hawadanganyikiNiwapongeze wagosi kwa kuamua kutetea haki zao. Katika mikitano mingi ya wagombea wananchi wamekuwa na mwitikio chanya huku kilio kikubwa kikiwa kutelekezwa. Majimbo ya Tanga hayana maendeleo pamoja kuichagua CCM, safari hii wanadai wanabadili watawala wapate ladha ya upinzani.
Hongereni Sasa, fanyeni maamuz sahihi 28/10
Mungu akubarikiMaeneo yote yenye waislamu wengi CCM Inapeta tu pamoja na kwamba hakuna maendeleo kabisa na ni maeneo yaliotengwa
Sababu ya CCM kukubalika sana kwenye maeneo haya ni kwamba,,,
Waislamu wengi tumeishia darasa la saba na sisi ni jamii ya watu masikini sana hapa Tanzania mpaka Leo watoto wetu bado wanasoma chini ya miti
Ndio maana yakeMungu akubariki
Na nadhani kuna kitu kinafanywa kwenye secondary zao ili wasisome
Tatizo la waislamu ni ule utamaduni mbovu ulioletwa na waarabu.Mungu akubariki
Na nadhani kuna kitu kinafanywa kwenye secondary zao ili wasisome
Jimbo gani Lina maendeleo kwa kuichagua chadema au Act au Cuf?Niwapongeze wagosi kwa kuamua kutetea haki zao. Katika mikitano mingi ya wagombea wananchi wamekuwa na mwitikio chanya huku kilio kikubwa kikiwa kutelekezwa. Majimbo ya Tanga hayana maendeleo pamoja kuichagua CCM, safari hii wanadai wanabadili watawala wapate ladha ya upinzani.
Hongereni Sasa, fanyeni maamuz sahihi 28/10
Kila mtu anayo haki ya kumchagua amtakeye, mbona kama mnalazimisha watu wachague mpendacho nyinyi?wagosi & wagogo lao moja woote ccm tuu, moja ya sababu maeneo yao kuwa nyuma sana kimaendeleo...huwezi ukakumbatia ccm ubaki salama hiyo ndio gharama yake!.
ChademaJimbo gani Lina maendeleo kwa kuichagua chadema au Act au Cuf?
Hakuna mtu analazimika ila huo Ndio ukweliKila mtu anayo haki ya kumchagua amtakeye, mbona kama mnalazimisha watu wachague mpendacho nyinyi?
Tutajie ambacho kipo Songwe halafuu Tanga hakuna?Chadema
Songwe. Kilimanjaro yote,. Arusha. Mbeya n, k
Lakini pwani,. Tanga. Lindi. Mtwara. Tabora n, k shida tupu
Unafikiri sisi watu wa tanga tunamaendeleo duni kama huko kwenu kanyamkule? Magu 5 tena, tunataka maendeleo sio kubwabwaja!Niwapongeze wagosi kwa kuamua kutetea haki zao. Katika mikitano mingi ya wagombea wananchi wamekuwa na mwitikio chanya huku kilio kikubwa kikiwa kutelekezwa. Majimbo ya Tanga hayana maendeleo pamoja kuichagua CCM, safari hii wanadai wanabadili watawala wapate ladha ya upinzani.
Hongereni Sasa, fanyeni maamuz sahihi 28/10
Akikujibu nitag mkuuTutajie ambacho kipo Songwe halafuu Tanga hakuna?