ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Tembeee sio tatizo na umeme wanawekewa, maji wanapataaa , wakitakaaa Kuja mjini lamiii ya uhakika, Dar yenyeweee Ina Tembe itakuwaaaaa TangaUtafananisha na kwenu? kuna nyumba za tembe Moshi kama Dodoma?
Wao macho yao Arusha mjini, kumejaa vibanda vya gongo unga limited wala hawavisemiRombo ipo chini ya ya upinzani muda sasa laki makazi yao bora tembe za wagogo na wanyaturu
Hamnaaaaa alichofanya zaidi ya kuwapa watu kiswahiliii kingiiii, wachaaaaa mama akae paleTanga Mjini ilikuwa chini ya CUF!
Utakuwa na utapia mlo wewe siyo bureTembeee sio tatizo na umeme wanawekewa, maji wanapataaa , wakitakaaa Kuja mjini lamiii ya uhakika, Dar yenyeweee Ina Tembe itakuwaaaaa Tanga
Unga limited kumejaa Tembee na vibanda vya gongoUtakuwa na utapia mlo wewe siyo bure
Tetetete utalinganisha na Dodoma?Unga limited kumejaa Tembee na vibanda vya gongo
Njoo hapa barabara ya 12 tule mihogoNgoja nikanywe kahawa kwanza Chuda nakuja kuReply
Kwa mkoa wa TANGA Ni Tanga mjini tu kunaeleweka kwengine kote Ni shaghala bhaghala .Ni kweli Tanga ni mji ulikua umeendelea Sana wakati tunapata uhuru lakini,,,,
Kunani Tanga mbona kila kitu kimekufaaa
Tena unasema Tanga mjini
Vijijini mpaka Leo watoto wanasoma chini ya miti. Hakuna maji
Hakuna umeme
Shida, umaskini, ujinga umejaa huko
Vipo havipooo, kulinganisha sio hoja tenaTetetete utalinganisha na Dodoma?
SijakuelewaVipo havipooo, kulinganisha sio hoja tena
One wa asili ya arusha na moshi wezi tu wamitihani akili hawana kama hujui tanga watu wanaakili za kuzaliwa sio lazima wasome kwanza wachaga ni washamba kavaeni mitumba mbeleHata Kama ni ndugu baba mmoja na mama mmoja
Huwezi kulinganisha watu wa Kilimanjaro na wa tanga kwa upeo wa akili na uchumi
Tanga ni kama lindi. Mtwara. Tabora. Mafya n