Hizi taarifa za ubakaji zimekuwa nyingi sasa katika jamii.John Emmanuel (18) Mkazi wa Kijiji cha Malangi Babati Vijijini amekutwa na hatia ya kumbaka mwanafunzi ambapo Mahakama ya Hakimu Mkazi Manyara imemhukumu kuchapwa viboko 6.
Hukumu hiyo imetolewa na Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama hiyo, Mariam Lusewa ikibainishwa kuwa Sheria ya Hukumu hiyo inaeleza kama Mvulana mwenye umri wa miaka 18 au chini ya hapo ikiwa kosa lake ni la kwanza hukumu yake ni kuchapwa viboko.
Chanzo: Azam TV
Hivi wewe umekazana kutetea panya Road, wewe ndiyo sponsor wao nini,maana unaumia sana wanavyokamatwa?Kama alifanya kosa akiwa under age mbona hakupelekwa Juvenile court?
Sasa Panya road si ndio umri wao huo? Nao wawe treated under Juvenile?
Tunahitaji marekebisho ya sheria ziendane na wakati na uhalisia.
Sio fair kwa kweli, kama kampa mimba je? Au ukimwi je? Huyo aende hata miezi kadhaa jela bhanaa, yaani kala utamu hivi hivi?!Not fair at all
Angembaka binti yangu na mimi ninge.....π‘Mahakama ya mkoa Manyara imemhukumu John Emmanuel (18) mkazi wa kijiji cha Malangi wilayani Babati kuchapwa viboko sita (6) baada ya kukutwa na kosa la ubakaji.
Hukumu hiyo ya kesi namba 73 ya mwaka 2021 imetolewa leo Septemba 26,2022 na Hakimu mkazi mkoa wa Manyara Mariam Rusewa.Hakimu Rusewa ameiambia mahakama hiyo kuwa Emmanuel alimbaka mwanafunzi wa darasa la nne (13) Septemba 10,2021 katika kijiji cha Malangi.
Kwa mujibu Kifungu cha 131 (2) cha sheria namba 16 kinaeleza kuwa, Bila kuathiri masharti ya sheria nyingine yoyote, ubakaji unapofanywa na mvulana wa miaka kumi na nane au chini; Kama mvulana huyo amefanya ubakaji kwa mara ya kwanza, atapewa adhabu ya viboko tu ambapo hakimu ataamua ni viboko vingapi.
Chanzo: Mwanzo TV
Matakho yanakuwasha eehee?Hivi wewe umekazana kutetea panya Road, wewe ndiyo sponsor wao nini,maana unaumia sana wanavyokamatwa?
Liboro langu ndilo linaniwasha hapa,linayataka hayo masaburi yako liyatumie kujikuna.Matakho yanakuwasha eehee?
Kwa nini kumchapa binadamu mwenzio?Mahakama ya mkoa Manyara imemhukumu John Emmanuel (18) mkazi wa kijiji cha Malangi wilayani Babati kuchapwa viboko sita (6) baada ya kukutwa na kosa la ubakaji.
Hukumu hiyo ya kesi namba 73 ya mwaka 2021 imetolewa leo Septemba 26,2022 na Hakimu mkazi mkoa wa Manyara Mariam Rusewa.Hakimu Rusewa ameiambia mahakama hiyo kuwa Emmanuel alimbaka mwanafunzi wa darasa la nne (13) Septemba 10,2021 katika kijiji cha Malangi.
Kwa mujibu Kifungu cha 131 (2) cha sheria namba 16 kinaeleza kuwa, Bila kuathiri masharti ya sheria nyingine yoyote, ubakaji unapofanywa na mvulana wa miaka kumi na nane au chini; Kama mvulana huyo amefanya ubakaji kwa mara ya kwanza, atapewa adhabu ya viboko tu ambapo hakimu ataamua ni viboko vingapi.
Chanzo: Mwanzo TV
Acha utani aisee.Viboko sita vile sio mchezo mtu anakunya kabisaa πππ
Mzee ile stick ya kule ni maalumu acha kabisaaaa, weka mbali na watoto.. Hizo za shule mnapalazwaa tu ππAcha utani aisee.
Nakumbuka sisi tulikuwa tunalala chini alafu wanapita walimu kama saba hivi wanapiga bila kuhesabu zaidi ya tanotano hivi na wanarudia karibu saa nzima. Ukitoka hapo sio chini ya 50 alafu wakati mwingine kosa hatukufanya sisi.
Hivyo vibakora sita mwanaume unapigwa bila hata kufuta wala kugusa, hausikii chochote yaani.
Kuna ticha mmoja misifa alikuwa anajulika shule nzima anapiga kiunoni kudadadeki.Mzee ile stick ya kule ni maalumu acha kabisaaaa, weka mbali na watoto.. Hizo za shule mnapalazwaa tu ππ
Nimeishi na kulelewa kijeshi kweli kweli school sikuwa napata tabu, home unapigwa na mkandaa wenyewe ule, unafungwa kambaa unabamizwaaa, na hiyo huli chakula, ukifunguliwa kamba cha kwanza wana test umeelewa mapigo au vipi, unatumwa kuchota maji πππππ stick za hukumu ya mahakama achana nazo zile sio fimbo za kawaidaKuna ticha mmoja misifa alikuwa anajulika shule nzima anapiga kiunoni kudadadeki.
Sasa imagine bakora size ya kidole gumba ishuke kiunoni kwa nguvu zote za mtu mzima.
Hujawahi kupitia maisha ya kipigo aisee.
Mzee alikuwa mjeshi hiyo bakora ya jeshi alikuwa nayo ni ya kawaida sana ukilinganisha na magongo ya shule.Nimeishi na kulelewa kijeshi kweli kweli school sikuwa napata tabu, home unapigwa na mkandaa wenyewe ule, unafungwa kambaa unabamizwaaa, na hiyo huli chakula, ukifunguliwa kamba cha kwanza wana test umeelewa mapigo au vipi, unatumwa kuchota maji πππππ stick za hukumu ya mahakama achana nazo zile sio fimbo za kawaida
Zajela hazifananishwi zile zinaitwa henzilani watu wanapelekwa cuba kusomea kuchapa unazan utanAcha utani aisee.
Nakumbuka sisi tulikuwa tunalala chini alafu wanapita walimu kama saba hivi wanapiga bila kuhesabu zaidi ya tanotano hivi na wanarudia karibu saa nzima. Ukitoka hapo sio chini ya 50 alafu wakati mwingine kosa hatukufanya sisi.
Hivyo vibakora sita mwanaume unapigwa bila hata kufuta wala kugusa, hausikii chochote yaani.