Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabsa hawa wanawake ni mtihani kwakwel unaweza kujikuta leo umeshinda vzur na kesho yake unawindwa kwenda jela miaka 30Hapana nilikuwa sijasoma vizuri nikadhani kahukumiwa miaka 30 kumbe ni minne. Ila hata hivyo wangetakiwa wamwachie tu
Upo sahihi, kitakacho fanyika atapewa wakili wa Magereza kisha atakata rufaa then atashinda kesi kwa rufaa na kuachiwa huruHamna kesi hapo,huyo anaenda kutuliza hasira za ndugu baada ya muda wanamwachia.
Umechambua vzur kiongozAliua bila kukusudia kutokana na hasira au hisia kali kutokana na fumanizi kwa mkewe,kinachoangaliwa ni immediately action iliyochukuliwa na jamaa baada ya kumkuta mkewe akingonoka,kama angewakuta then asichukue hatua yoyote,akajipange arudi tena kufanya hayo mauaji,angepigwa mvua za maisha.
Na I'm sure alitoa pigo moja for self defence na kupelekea kifo cha mkewe.Kabsa jamaa alikua katka kujihami inaonekana
NakaziaSafi sana na tuwaue wengi ili wakome ameen
KbsaNa I'm sure alitoa pigo moja for self defence na kupelekea kifo cha mkewe.
Kama hujui sheria zinasemaje juu ya tukio hilo ni heri uulize Wanasheria au ukae kimya si kubaki macho kodo [emoji102]Kuachiwa huru tena jamn
kawaida tu mkuu,hiyo inaitwa kuua bila kukusudiaHuyo hakimu vipi??
Wewe Ni Kama hujui maana ya manslaughter.Hapo jamaa kaua kwa kukusudia kbsa.Hio kesi Ni manslaughter tena angeweza kuachiwa Uhuru kabsa maybe alikosa mawakili wazuri
Tuambie wewe, what tells you kwamba ameua kwa kukusudia?Wewe Ni Kama hujui maana ya manslaughter.Hapo jamaa kaua kwa kukusudia kbsa.
Ujinga huo,unapaniki mtu kutumia uchi wake kujifurahisha!?Kabsa hawa wanawake ni mtihani kwakwel unaweza kujikuta leo umeshinda vzur na kesho yake unawindwa kwenda jela miaka 30
We ulitakajeHuyo hakimu vipi??