Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
mwanamkee analetaa mwanaumee ajee amgongeee kitandani kwa mume wake??? aisee ilibdi hata huyo jamaa aliefumaniwaa awee kuzimuu muda huuu..
Hiyo ni massive disrespect
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwanamkee analetaa mwanaumee ajee amgongeee kitandani kwa mume wake??? aisee ilibdi hata huyo jamaa aliefumaniwaa awee kuzimuu muda huuu..
Mnoo yani sanaa.. Wamuachiee tu jamaa awe huruuuHiyo ni massive disrespect
Si kweli hata lulu alifanya manslaughter.......Manslaughter maranyingi hua wanaachiwa huru mkuu
Kuua bila kukusudia hiyo tena kapewa adhabu kubwaa
Basi tu jamaa hakuwa wakili labdaREJEA KESI YA MKE WA MAJIZO..fasta tu ikaisha
Atakaa si zaidi ya miaka miwili atatokaHata hiyo miaka minne ni mingi pia!Angeachwa huru tu.
Mtaani kwangu yupo jamaa alimfumania mke wake akamshambuliwa akamuua asee jamaa alipewa adhabu kama ya miaka 10 akachiwa huru jamaa akili zake hazipo sawa kabisa ana mental disorder.
Nyie damu nzito kuliko maji hata kama ni manslaughter ila kuna kitu kitamkuta muuaji.
Ikipelekwa kwa Jaji, jamaa atasepa.Hapana nilikuwa sijasoma vizuri nikadhani kahukumiwa miaka 30 kumbe ni minne. Ila hata hivyo wangetakiwa wamwachie tu