Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wamemuonea sanaHata hiyo miaka minne ni mingi pia!Angeachwa huru tu.
MKuu ndugu zangu wengi baada ya kuoa na kufunga ndoa walifilisika.... Wengine wanadai walitumia gharama kubwa kwenye maandalizi ya ndoa,wengine wanadai baada ya ndoa walibebeshwa majukumu makubwa kwenye familia ya mkewe n.k ,..Sasa najiuliza ivi ni hayo au kuna mengine yaliyo wafilisi baada tu ya kufunga ndoa?KATAA NDOA
NDOA ITAKUPELEKA JELA
NDOA INAFILISI
NDOA NI ADUI WA MAENDELEO
KATAA NDOA KWA MAENDELEO YAKO.
Kama alikaa miaka saba rumande ni mingi. Ina maana atakaa jela kwa miaka 11, muda ambao ni mrefu kulinganisha na kosa alilofanya.Hata hiyo miaka minne ni mingi pia!Angeachwa huru tu.
Hata hiyo miaka minne ni mingi pia!Angeachwa huru tu.
PoaHuyo hakimu vipi??
Inahuzunisha sana.Lulu alimuua hawara yake kanumba bila kukusudia hukumu yake alipewa miaka miwili tu. Na jela akakaa mwaka mmoja tu kisha akatolewa kwa msamaha wa Rais kabla hata hajaingia mwaka wa pili jela.
Huyu jamaa kamuua mke wake kwenye fumanizi.. hukumu yake jela miaka minne na hapo hapo ameshakaa mahabusu miaka 7. Jumla miaka 11 gerezani
Jumlisha kitandani kwako!.Dah! Hakuna mtihani mgumu kwa mwanaume katika ndoa kama huu wa kumfumania mke wako akichepuka. Tena na jirani yako!! [emoji853]