Ahukumiwa miaka 30 jela kwa kumlawiti mke wake

Ahukumiwa miaka 30 jela kwa kumlawiti mke wake

Hapo ndo pale wanaposema Umeruka mkojo umekanyaga mavi... Mwanamke alifanya kwa hasiraa itakuwa hadi sasa haamini kaachiwa mzigo wa watoto apambane nao..!! Haina kukata rufaaa wala kupindishaa..[emoji16][emoji16][emoji16] kama mwana wangu flani alijaza kitumbo mwanafunzi tukamwambia torokaa akawaa anajichekeshaa oohoo mzahaa sio mzahaaa..
Umenikumbusha mshikaji wa ukubwani ' Elisha' sijui alikimbilia wapi alipiga mimba wanafunzi wawili wa 4m 3 na 4m 5 kwa pa1. Mapot walikua wanakuja kimya kimya jioni kumchek mtaani, madent so poa...
 
Huyo mdada alikua hampendi mumewe. Na ukute ni kweli alitoka kumcheat kwa wanaume wengine. Angekua anampenda angetafuta njia nyingine ya kumwadhibu na si ya kumpeleka polisi.
 
Huyo mwanamke alikuwa anasubiri Nini mpaka jamaa anamwambia subiri nichukue mafuta? Namaanisha alijua nn kinafwata na alikuwa tayari, lazima kuna kinyongo alikuwa nacho tu kwa jamaa maana kama hakutaka asilawitiwe angeweza kukataa
 
Huyo mwanamke alikuwa anasubiri Nini mpaka jamaa anamwambia subiri nichukue mafuta? Namaanisha alijua nn kinafwata na alikuwa tayari, lazima kuna kinyongo alikuwa nacho tu kwa jamaa maana kama hakutaka asilawitiwe angeweza kukataa
Alikuwa ameshamchoka so alimtegea tu ili amalize akamshtaki.
 
Madai ya Mumewe ni kuwa mke alitoka kumsaliti na hawara yake na sio kuwa alitoka harusini...

Vipi kama Madai ya Mume yalikuwa sahihi kuwa Mke alitoka kumsaliti na hawara yake ambaye alitoka kumla ndogo (kumlawiti) hivyo Mume naye akapewa ndogo hiyo hiyo kisha kufunguliwa mashtaka kesho yake?

Wanawake wakikuchoka wana mbinu nyingi wakitaka lao...

Ndiyo maana Biblia inasema "Enyi Wanaume Ishini na Wake zenu kwa Akili..."🙌
 
Mahakama ya Wilaya ya Ludewa Mkoani Njombe imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Boniface Mtweve(28) mkazi wa kata ya Lugarawa kwa kosa la kumlawiti mke wake (27) ambaye jina lake limehifadhiwa.

Awali akisomewa shitaka hilo na mwendesha mashtaka Asifiwe Asajile mbele ya hakimu mfawidhi wa mahakama hiyo Isaac Ayeng'o ilielezwa kuwa mwanamke huyo alienda kwenye harusi na kuchelewa kurudi nyumbani kwake ambapo aliporejea majira ya usiku alimkuta mumewe nje akimsubiri huku akiwa amekasirika.

Amesema kuwa mtuhumiwa huyo alimuamuru mkewe kuingia ndani na alipoingia akaanza kimfokea kuwa ametoka kwa wanaume na hakuwa kwenye harusi hivyo anataka amuoneshe kuwa yeye ni ndiye mwanaume ndani ya nyumba ambapo akachukua mafuta na kumfanyia kitendo hicho kitu ambacho ni kinyume cha sheria kifungu namba 154(1) cha kanuni ya adhabu sura ya 16 marejeo ya mwaka 2022.

Ameongeza kuwa kulipokucha mkewe alitoa taarifa kituo cha polisi na kisha mtuhumiwa alikamatwa na kufikishwa mahakamani ambapo alikana shitaka hilo lakini baada ya kufanyika uchunguzi na kutolewa ushahidi wa pande zote mbili mtuhumiwa alikutwa na hatia na katika utetezi wake aliiomba mahakama impunguzie adhabu kwani ana watoto wadogo wanaomtegemea.

Kutokana na utetezi huo hakimu huyo aliyapokea maombolezo yake kisha kumhukumu kifungo hicho cha miaka 30 jela huku mwendesha mashtaka huyo Asifiwe Asajile akisema adhabu hiyo iwe fundisho kwa wale wote wenye tabia hizo kwani kitendo hicho ni cha kikatili na udhalilishaji.

View attachment 2869886
#WasafiDigital
Ohooo!! cocastic na wewe tangu mwanzo ungekimbilia polisi kama huyu mwenzako, mpaka muda huu kuna mtu angekuwa ananyea ndoo. Sasa bahati mbaya ndiyo hivyo tena; wema wako umekuponza.

Halafu inawezekana vipi mwanaume akupake mafuta na kukuingilia, huku wewe mwanamke ukiwa unaangalia tu!! Mbona alikuwa ana uwezo kabisa wa kujitetea!! Au ndiyo kusema huyo jamaa alimtishia kumuua? Au na mwanamke mwenyewe naye alipenda hilo tukio litokee, ili malengo yake yatimie?
 
Kesi ya namna hii... Cha kufanya nunua ticket VIP kua mtazamaji tu, Kuna mengi hapo
 
Huyu mwanamke hakuonyesha hali yoyote ya kupambana au kukataa wakati kitendo hicho kinafanyika, yaani mtu anakupaka mafuta mkund*ni na kukuingizia dude lake umetulia tu, baada ya hapo unaenda kumshitaki au alikufunga kamba kabisa wakati anapenyeza ndude

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Hiyo adhabu aliyotoa jamaa kwa mkewe kuna wanawake hiyo wala siyo adhabu.

Inaonesha hiyo ndoa ilikuwa na migogoro mingi kabla ya hilo tukio.
 
Umenikumbusha mshikaji wa ukubwani ' Elisha' sijui alikimbilia wapi alipiga mimba wanafunzi wawili wa 4m 3 na 4m 5 kwa pa1. Mapot walikua wanakuja kimya kimya jioni kumchek mtaani, madent so poa...
wangemnyakaa aisee miaka 30 kweupe na mapema sanaa labda kama baba yake ni milionea
 
Mke kabaki na mzigo wa kulea watoto peke yake.
Angekausha tu...maana mara moja haidhuru na inavumilika, japo si nzuri kiafya, huenda mke pia aliichoka ndoa, hivo alikuwa anatafuta pa kutokea.
(MSININUKUU VIBAYA.
NI MTAZAMO WANGU MIMI BINAFSI)
Unajua Hadi mwanaume anafikia huko pengne ameona mengi?? Ila ndo hivyo ukishafanya hivyo huwezi kumueleza mtu akakuelewa na pia ukiona mbwa wako anakubwekea ujue Kuna mjinga huko nje anampa mifupa
 
Aaaah huyo ni katili sana..Kuna siku atamcharanga vipande....Huko njombe wanakunywa Nini mbona wendawazimu sana?

Dah, acha niwape story moja alafu utaona jinsi watu wanavyopelekewa kua na roho za kikatili..,

Kisa kama hiki kimewahi kumtokea swahiba wangu, mke wake alikua pasua kichwa, kuna siku nimeenda nae kwake, kufika tunakuta watoto wao wawili wako nje, mama kaondoka na kafunga nyumba, mtoto mmoja anatambaa mwingine anamiaka minne (4). Nyumba ilikua mpya, maeneo yale hakuna majirani karibu, japo kuna fence fupi ya maua.

Nilikaa pale mpaka saa1, kiza kinaingia, niliondoka mke wake hajarudi, kikawaida tulikua tunatoka nae kazin mida ya saa3 kwaiyo kumbe ndo hua kawaida ya uyo mwanamke kutupa watoto hapo anaondoka. (Zingatia ni watoto wake kabisa)

Huyo mwanamke akili zake ni kama unavyomuona gigy, ni kama copy yake.

Kuna kipindi alindoka na watoto akapotea, kumbe kaenda kupanga na kibwana chake huko (kisiri), maisha yavowashinda, akampeleka jamaa yangu ustawi, ili wale pesa za matunzo, swahiba wangu alikubali ila akasema ataoa mke mwingine, yule mama kusikia ivo akafunga safari akarudi akasema ye ndo mke na ndo mama mwenye nyumba, kama vipi apewe taraka ila yeye abaki na nyumba kwajili ya watoto au nyumba ipigwe bei kilamtu apite njia yake, jamangu akaghailisha kuoa, akamwacha ili watoto wakue kwanza.

Sasa nasikia siku moja wamegombana, jamaa akapiga yule mwanamke haswa, sasa mwanamke kumkomoa jamaa kumbe alienda kwa bwana yake, “ alipokua anakaa kipindi kaondoka na watoto “. Yan kaenda akamwambia amfi*re then usiku huo huo akaenda hospital kuchukua vyelelezo kua kafanyiwa ukatiri, kapigwa na mme wake then kaingiliwa kinyume na maumbile.

Hasubui tupo kazini na jamaa, wakaja wazee wakazi na defender lao, wakamuulizia, boss akamwita, sijui waliongea nini, nikaona jamaa anapigwa pingu anaingizwa kwenye defender yao, na huo ndo ulikua mwisho wa kunwona swahiba wangu.

Nilivokuja kusikia kesi yenyewe ndo ile aah nikajua kabisa jamaa katengenezewa sababu alishanambia hua halali chumba kimoja na yule mwanamke, na pia kwa mwili wa yule mwanamke na ubabe wake hawezi kufanyiwa kitendo na uyo jamangu.

Nilikuja kupata habari jamaa kapigwa nyundo sijui miaka mingapi jela na sijui kama alishatoka au lah.

Kwaiyo, sio wote unaosikia wamehukumiwa ni kweli wamefanya hayo makosa, na sio wote unaosikia wamefanya ukatili ukawaona hawana akili, kuna mda maisha na wanadamu wanakutia wendawazimu akili zinazima, unafanya mambo usitotegemea kufanya.
 
Inasikitisha sana...
Alafu anaomba apunguziwe adhabu, ili hali kadhamiria kwa kumpakaa mke wake mafuta na kumuharibu nyuma...


Cc: Antonnia
 
Ukisikia pasi na shakaaa lazima kuja ripoti za Daktariiii jamaa alikula biriani akamwaga ndanii.. [emoji27]
Maajabu Me wote ni Malaika humu JF kuwa huwa hawali tigo za Ke ilihali hujisifu kuwa Ke wengi karne hii ya 21 hupenda sana kutigoliwa tena huwaona Me hawajawaridhisha pasipokufanyiwa huo ufuska, sasa sijui huwa wanafanya na Ke wa sayari zingine au majini [emoji848]
 
Unajua Hadi mwanaume anafikia huko pengne ameona mengi?? Ila ndo hivyo ukishafanya hivyo huwezi kumueleza mtu akakuelewa na pia ukiona mbwa wako anakubwekea ujue Kuna mjinga huko nje anampa mifupa
Hili ndilo aliloliona huyu mume nadhani.
Akaamua kama liwalo na liwe..
Ila mimi binafsi nina uhakika 90% mke kaichoka ndoa.
Wangapi wanafanyiwa na wanavumilia...ndoa ina mambo mengi sana shekhe!!
 
Back
Top Bottom