Ahukumiwa miaka 30 jela kwa kumlawiti mke wake

Ahukumiwa miaka 30 jela kwa kumlawiti mke wake

Mahakama ya Wilaya ya Ludewa Mkoani Njombe imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Boniface Mtweve(28) mkazi wa kata ya Lugarawa kwa kosa la kumlawiti mke wake (27) ambaye jina lake limehifadhiwa.
Njombe ina shida hivi sasa, matukio ya kujamiana hayaishi
 

1 Kor 6:9-11​

1 Kor 6:9-11 SUV​

Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang’anyi.
Weka na aya kutoka kwenye kitabu cha mnyaazi au kule ni ruksa watu kuzama topeni??
Tupe aya ustadhati..
 
Jina lake Bonifasi Tweve halafu jina la mkewe limehifadhiwa🤔

Anyway TUJITAHIDI kuzuia kuchukua maamuzi ambayo huwa na Majuto baadae
 
Kwa hiyo rinda lilifanyiwa vipimo, wakakuta mbegu za mume, wakazipima?

Ingekuwa daslam dada wa watu wala asingemind, manake kwa daslam ishakuwa kawaida
 
Weka na aya kutoka kwenye kitabu cha mnyaazi au kule ni ruksa watu kuzama topeni??
Tupe aya ustadhati..
Subiri kijana usiwe na hofu, Uislam ndiyo mfumo wa maisha pekee unaokubalika kwa muumba wako.

Umeisoma vizuri hiyo mistari? hapo tatizo ni wenye kufanya tu, wenye kufanyiwa umewaona hapo?
 
Subiri kijana usiwe na hofu, Uislam ndiyo mfumo wa maisha pekee unaokubalika kwa muumba wako.

Umeisoma vizuri hiyo mistari? hapo tatizo ni wenye kufanya tu, wenye kufanyiwa umewaona hapo?
Nisubiri kitu gani??
Weka aya acha porojo au hujui kitu?
Huko kwenu ruksa na ndio waasisi wa hayo mambo.
Nimeishi Unguja na Pemba kwa miaka kadhaa kule kukuta mwanamke mwenye sealed nyuma ni nadra sana ni sawa na kutafuta bikra wodi ya wazazi.


Sitaki povu la mtu.
 
Wanawake wa kipemba, zenji, huwezi kusikia kesi kama hii walishajizoelea
 
Hao usikute kalikua katabia kao hao..Mtu mpaka anakumbuka kupaka mafuta..Huyo mama kaamua kimlipua mwenzie...Kuna siri nyingi watu hawasemi: Huyo mwamba hawezi kuwaka hasira tuu bila sababu...kuna vitu alivijua kuhusu mke wake...Tunajua vichache sana...
Sema jamaa naye kazingua...mke ukiona haeleweki..kaa kwa makini..unaweza ukapewa hata kesi ya kubaka wakati ni mkeo......
Hasira hasara
 
Back
Top Bottom