Njombe ina shida hivi sasa, matukio ya kujamiana hayaishiMahakama ya Wilaya ya Ludewa Mkoani Njombe imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Boniface Mtweve(28) mkazi wa kata ya Lugarawa kwa kosa la kumlawiti mke wake (27) ambaye jina lake limehifadhiwa.
Weka na aya kutoka kwenye kitabu cha mnyaazi au kule ni ruksa watu kuzama topeni??1 Kor 6:9-11
1 Kor 6:9-11 SUV
Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyangβanyi.
Vp nawewe Mbona me cfuatilii comment zakoWe Jamaa unajisifu kabisa kuwa Mashoga wengi? Aysee...[emoji848][emoji2961]
Tuanze na huyo aliyefanya huo ufirauni ni dini gani? Ndio mengine yafuate.Weka na aya kutoka kwenye kitabu cha mnyaazi au kule ni ruksa watu kuzama topeni??
Tupe aya ustadhati..
Subiri kijana usiwe na hofu, Uislam ndiyo mfumo wa maisha pekee unaokubalika kwa muumba wako.Weka na aya kutoka kwenye kitabu cha mnyaazi au kule ni ruksa watu kuzama topeni??
Tupe aya ustadhati..
Anyway, nisamehe ikiwa nimekukwaza Ndugu yangu.Vp nawewe Mbona me cfuatilii comment zako
Nisubiri kitu gani??Subiri kijana usiwe na hofu, Uislam ndiyo mfumo wa maisha pekee unaokubalika kwa muumba wako.
Umeisoma vizuri hiyo mistari? hapo tatizo ni wenye kufanya tu, wenye kufanyiwa umewaona hapo?
Hatari sana,,Hao wana ugomvi wao mwingine
Hujanikwaza ila punguza majuajiAnyway, nisamehe ikiwa nimekukwaza Ndugu yangu.
ndio shida ya nchi hiisema nini sheria za kichoko sana, yule crush wangu kaingiza chupa kwa puru ya msela, kaachiliwa anadunda Babati kule
dual inverter rotary pumpndio shida ya nchi hii
Hasira huku unadindisha!π π π alikuwa na hasira
Ahahahahah aombwe kwa upoleMbona mashoga kibao tu,mwamba alifeli wife niwakuheshimiwa au aombwe kwa upole