Aibu: Air Tanzania yalalamikiwa kuchelewesha abiria na kisha kuwakodia hoteli ya hadhi ya chini

Aibu: Air Tanzania yalalamikiwa kuchelewesha abiria na kisha kuwakodia hoteli ya hadhi ya chini

Mwaka ajana naenda Uwanja wa andege moja wapo wa Kimataifa hapa Tanzania, naondoka na Halotel yangu.

Nafika Uwanjani no Cellphone internet lakini pia Wife ya uwanjani ni mbovu kupita maelezo.

Hata kupost ujumbe whatsapp haiwezi.
Tunaelekea Dubai-hapo Airpot internet yake ni ya maajabu, speed ambayo sijawahi kushuhudia.

Nikajiuliza hivi sisi wafrika kwanini tuko nyuma kila kitu. Wale Mainjinia wa Viwanja vya ndege, wafanyakazi, mafundi wa ICT n.k hakuna anayeona hili au hawatembei kujifunza kwa wengine?

Nakaa Dubai siku Tatu baadae naelekea Uturki Instabul very wonderful services.

Nikarudi Tena Nyumbani nikadhani labda siku ile mtandao ulikuwa mbovu......nakutana wasafiri wanalalamikia Internet mbovu mtu hata ndugu yake anashindwa kuwasiliana.

Viwanja vyetu vinapokea maelfu ya wageni kutoka duniani kote. Kukosa internet ya uhakika kwa watu kuwasiliana ni aibu kubwa sana.
Hivi aliyetuloga ni nani? Inasikitisha sana...sijui hata tunaweza kitu gani yarabi
 
 
 
Alitegemea CENTRAL PARK VIEW kama New York ili apost status.
Huu utaratibu wa kulipia abiria hotel unatumika kama njia moja ya upigaji pale ATCL.
Nakubaliana na wewe nakumbuka 2010 wakati shirika lipo hoi nilipata flight delay kutoka KIA Kuja dar na walitulaza pale kia lodge ni mahara pazuri ila ukiangalia gharama za kulala pale kwa siku na nauli ni sawa naungananna wewe kuwa ni sehemu ya upigaji ya Hawa wahuni wa ATCL
 
1719039418226.jpg
 
Back
Top Bottom