Aibu: Air Tanzania yalalamikiwa kuchelewesha abiria na kisha kuwakodia hoteli ya hadhi ya chini

Aibu: Air Tanzania yalalamikiwa kuchelewesha abiria na kisha kuwakodia hoteli ya hadhi ya chini

Pole unaonekana ulifika ukiwa umechoka sana
Nilikua nimeshapiga simu ki hotel flani nikalipa nikiwa airport Dar, nafika pale hotelini niliweka bag nikatoka hio asubuhi kuelekea kutafuta chakula halafu niunge kuelekea Mara, nilirudi hata sikulala nikachukua bag nikaondoka nililala kwenye gari. Mkuu nilifika nimechoka sana..
 
Hapa kweli nilienda Zambia last year Fortuner za kutosha tena sio Lusaka ni sehemu wanaita Serenje.
Ukipeleka gari Zambia utashangaa sehemu inayoenda haifanani na gari na mtu anatulia nayo sisi bara bara nzuri za kumwaga tumejaza maboxi tu bara bara zote hiyo ni Roho mbaya ya wapanga Kodi kwa sababu magari yananulika kodi inazidi gharama ya gari mara mbili..
 
Nilikua nimeshapiga simu ki hotel flani nikalipa nikiwa airport Dar, nafika pale hotelini niliweka bag nikatoka hio asubuhi kuelekea kutafuta chakula halafu niunge kuelekea Mara, nilirudi hata sikulala nikachukua bag nikaondoka nililala kwenye gari. Mkuu nilifika nimechoka sana..
Pole sana mkuu hio ndio Air Tanzania yetu watanzania
 
Habari wakuu Mimi Nina certificate ya laboratory technician pia Nina experience ya miaka 3 kuhusu laboratory technician, laboratory analysis, QC,QA pia blending oparetor au syrup oparetor pia naweza kufanya kazi popote pale penye maabara au panapozalishwa bidhaa .yeyote atakaye nisaidia kupata connection ya job nipo tayari kumpa % kadhaa katika mshahara kama shukurani
 
Watanzania hatuwezi kuendesha chochote kwa ujinga wetu.


Niliwahi kuandika hivi:


Na hivi:

Hatuwezi kuendesha chochote kwa sababu wakurugenzi wa haya mashirika ni wateule wa rais na wanapokea mshahara toka hazina. Hawa hawawezi kuwajibika maana hakuna wa kumfanya kitu hadi rais aamue.

Na siku rais akiamua anamwamishia sehemu nyingine. Kwa nini ajisumbue? Hata ungekuwa wewe ungefanya hivyo hivyo kama wao.

Hizi kazi zitangazwe, ziwe perfomance based contract uone kama hawataweza kufanya vizuri
 
Kwa kodi za magari tunazowekeana Watanzania wote ni washamba nenda Zambia kodi ya gari 2023 inalipwa Tsh 6m tena fortuner GD 6 tupo busy na vipasso na magari machakavu kwa nini tusiwe washamba...
Kiukweli kodi za magari ni dhahili hawa Walamba asali wamedhamiria kabisa hatumiliki hata mikweche wao tu ndio watutambie barabarani.

Zile kodi hazina maana hata kidogo.
IST ununue second Hand tena kwa wenyewe waliotengeneza wakakusafirishia lakini Maskini ambaye hata mabati hawezi kutengeneza anataka kukamua humo humo na hajagharamia chochote.
 
kwa nini unaona aibu? au unafikiri wao wageni hawajui kama tanzagiza ni poor underdeveloped country? mnajidanganya sana, kwanza ingewashangaza wageni kama wangekuta maisha mazuri tanzagiza, hivyo wanachokiona ndicho walichokitegemea hivyo usijipe stress za sijui kuona aibu believe me they know kwamba tanzagiza is a wretched country …
Kwa hiyo unajivunia kuwa under wretched country?
 
Kwa hiyo unajivunia kuwa under wretched country?

hapana sijivunii, lkn usijipe stress za sijui aibu kwa wageni, wanajua na hata waliexpect hivyo siajabu hata walishangazwa kukodishiwa hoteli na shirika la ndege nchi kama yetu, wengi wanaexpect hata worse …
 
Kiukweli kodi za magari ni dhahili hawa Walamba asali wamedhamiria kabisa hatumiliki hata mikweche wao tu ndio watutambie barabarani.

Zile kodi hazina maana hata kidogo.
IST ununue second Hand tena kwa wenyewe waliotengeneza wakakusafirishia lakini Maskini ambaye hata mabati hawezi kutengeneza anataka kukamua humo humo na hajagharamia chochote.
Na ukitaka ucheke hizo ist ni za 2004 sijui 2005 ya 2009 utaambiwa new model wakati pana gari kaburu ya 2020 anauza milioni 16 ila kutokana na kodi kubwa inabidi watu waiangalie tu na kuchukua ile yenye kodi nafuu..Bajaji tu inafika Tanzania kwa 10m Nchi hiyo kweli..
 
Back
Top Bottom