Aibu: Anayetafsiri Uwanja wa Jamhuri kamati hakujiandaa

Mtaalamu ni wewe...sawa?
Ukalimani ni profession. Kwa nini hawatumiki watu waliyosomea hiyo kazi badala ya kumpa mtu yeyote tu anayeonekana anaweza. Naamini kuna watu waliyosomea hiyo kazi na wapo Tanzania.... Kama hao wa leo wamesoma hiyo kazi, basi siju walifaulu vipi.
 
Hii si ni zao ya English course ya pale Royal Goldland college au brothers academy ukonga au Rasi simba. Unafundishwa kingereza cha kuongea miezi mitatu.
Haya ni mazao ya vyuo vinavyopatikana ghorofa ya kwanza.

Juu kuna chuo, chini gereji.
 
Usijifanye kuwa mjuaji...ni Nani alikuambia kuwa hiyo kazi ya leo alipewa mtu yeyote na siyo professional interpreter?
 
Ni kweli lakini si lazima tukizungumzia sana suala hilo kuliko hotuba ya rais Samia
Ile ilisimama aisee
 
Tumjue jina jamani [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tumsamehe kwakuwa si lugha yake mama hiyo ipo tu saaana tu hasa kwa beberu na wala hajali akikosea
Hayati alisisitiza tutumie kiswahili ili kikuwe kiwekinatumika kimataifa,
 
Hatakiwi mtu wa majribio kwenye kazi kama hiyo, ni aibu sana.
Yeye ni nafuu mara 100 zaidi yako! Tafuasiri ni neno la kiswahili? Mwenzio walau anajaribu Kiingereza, wewe hata Kiswahili ni tabu. 'Anayetafuasiri'.
 
Ni kweli! Japo English yangu ni ya kawaida sana,Ila huyo mtafsiri siyo. Na hapo ndipo sasa tuone kama kweli elimu yetu inahitaji kuwa kwa Kiswahili au tunatakiwa kuboresha English Ili Kila mtu amalize elimu akiwa na ujuzi nayo
 
Yani huyo jamaa ameendeleza uongo tena ilhali waliyekua wanamuogopa hayupo tena!
 

Acha utani bwana wewe, wakati anapewa kazi hii bila shaka walizingatia uwezo wake na huenda hii ndio kazi yake katika kitengo cha mawasiliano. Sasa je huyo ndio muwakilishi wetu?? Lugha ya kiingereza bado ni muhimu, labda kama tunataka kujitenga ni sawa! Ndio lugha namba moja inayozungumzwa duniani!!

Umeleta mada mfu hapa. Kwanini tukio zima limekuwepo tunajua, hakuna haja ya kulitaja mara 100. Hapa hoja ni mkalimani na kutuabisha kwa kutuambia mawazo yake na sio alichotakiwa kufanya - kutafsiri!!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Karma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…