Tetesi: Aibu bandari ya Tanga shehena ya clinker inayoelekea Rwanda imekwama

Tetesi: Aibu bandari ya Tanga shehena ya clinker inayoelekea Rwanda imekwama

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Wheel loader pekee iliyokuwa inafanya shughuli ya kupakia shehena ya clinker kuelekea Rwanda imeharibika tena tokea majuzi na operation ya kupakia shehena ya clinker imekwama hali iliyosababisha msongamano mkubwa wa maroli bandarini hapo.

Ikumbukwe wheel loader lile lilianza kuharibika tokea mwezi jana hali iliyopelekea upakiaji wa shehena hiyo kusuasua huku mteja akihangaika kukodisha wheel loader za wakandarasi wa mabarabara hapo Tanga kwa gharama kubwa pale inapobidi.

Ajabu ni kwa nini TPA Tanga ina wheel loader moja tena dogo linalotakiwa kufanya kazi ilihali mahitaji ya kitendea kazi hicho ni ya haja?!

Kwamba TPA Tanzania haioni hali hiyo inapelekea wadau kutokuwa na imani na utendaji kazi wa bandari zetu?!

Inasemekana mteja wa shehena ya clinker PRIME CEMENT KIWANDA CHAKE HUKO RWANDA KIMEZIMWA KWA KUKOSA SHEHENA YA material hayo kwa sababu ya kukosekana wheel loader ya kupakia mzigo wake.

Hakika Watanzania aliyeturoga....
 
Hapo juu iliyobebwa ni wheel loader pekee iliyokuwa inafanya shughuli ya kupakia shehena ya clinker kuelekea Rwanda imeharibika tena tokea majuzi na operation ya kupakia shehena ya clinker imekwama hali iliyosababisha msongamano mkubwa wa maroli bandarini hapo.

Ikumbukwe wheel loader lile lilianza kuharibika tokea mwezi jana hali iliyopelekea upakiaji wa shehena hiyo kusuasua.

Ajabu ni kwa nini TPA Tanga ina wheel loader moja tena dogo linalotakiwa kufanya kazi ilihali mahitaji ya kitendea kazi hicho ni ya haja?!

Kwamba TPA Tanzania haioni hali hiyo inapelekea wadau kutokuwa na imani na utendaji kazi wa bandari zetu?!

Inasemekana mteja wa shehena ya clinker PRIME CEMENT KIWANDA CHAKE HUKO RWANDA KIMEZIMWA KWA KUKOSA SHEHENA YA material hayo kwa sababu ya kukosekana wheel loader ya kupakia mzigo wake.

Hakika Watanzania aliyeturoga....
Duh...!.
P
 
Hapo juu iliyobebwa ni wheel loader pekee iliyokuwa inafanya shughuli ya kupakia shehena ya clinker kuelekea Rwanda imeharibika tena tokea majuzi na operation ya kupakia shehena ya clinker imekwama hali iliyosababisha msongamano mkubwa wa maroli bandarini hapo.

Ikumbukwe wheel loader lile lilianza kuharibika tokea mwezi jana hali iliyopelekea upakiaji wa shehena hiyo kusuasua.

Ajabu ni kwa nini TPA Tanga ina wheel loader moja tena dogo linalotakiwa kufanya kazi ilihali mahitaji ya kitendea kazi hicho ni ya haja?!

Kwamba TPA Tanzania haioni hali hiyo inapelekea wadau kutokuwa na imani na utendaji kazi wa bandari zetu?!

Inasemekana mteja wa shehena ya clinker PRIME CEMENT KIWANDA CHAKE HUKO RWANDA KIMEZIMWA KWA KUKOSA SHEHENA YA material hayo kwa sababu ya kukosekana wheel loader ya kupakia mzigo wake.

Hakika Watanzania aliyeturoga....
Hii nchi watu wanajua kuiba tu. Ila siyo kuwajibika.
 
upload video mkuu tujionee maana umetuambia hapo juu bila kutuwekea picha au video...

Wheel loader - Tanga inakosekana vipi hata ya kukodi hapo kwa wahindi? au chapu kutoka Dar hapo kwenye lowbed masaa kumi iko Tanga...

Ruanda inakuaje wanaexport Clinkers kutoka mbali wakati hapo Tanga hao wachina wa XINHUA wanazalisha clinker ya kutosha anyway labda wana order nyingi..
 
Nashin
upload video mkuu tujionee maana umetuambia hapo juu bila kutuwekea picha au video...

Wheel loader - Tanga inakosekana vipi hata ya kukodi hapo kwa wahindi? au chapu kutoka Dar hapo kwenye lowbed masaa kumi iko Tanga...

Ruanda inakuaje wanaexport Clinkers kutoka mbali wakati hapo Tanga hao wachina wa XINHUA wanazalisha clinker ya kutosha anyway labda wana order nyingi..
Inanigomea kiongozi.
 
upload video mkuu tujionee maana umetuambia hapo juu bila kutuwekea picha au video...

Wheel loader - Tanga inakosekana vipi hata ya kukodi hapo kwa wahindi? au chapu kutoka Dar hapo kwenye lowbed masaa kumi iko Tanga...

Ruanda inakuaje wanaexport Clinkers kutoka mbali wakati hapo Tanga hao wachina wa XINHUA wanazalisha clinker ya kutosha anyway labda wana order nyingi..
Wachina wa hapo Tanga ni wachoyo wanadai clinker wanayozalisha ni kwa matumizi yao.
 
Lakini Jiwe kwa wiki mbili angelikuwa ameua wangapi? Wacha asiwepo

Things worked wakati wa Magu (RIP), kila mtu alifanya kazi, hata ajali zilipungua, huduma kwa wananchi zilikuwepo, Serikali ilikuwa inajaribu kutatua matatizo ya wananchi siyo kama hawa, uliona wapi raisi wa nchi huru anakwenda ziara kwenye nchi nyingine for two weeks ?

Hata by African standards hakuna kitu kama hicho, the truth is she doesn’t care about the people, huyo ni nwo, ni globalist!
 
miaka yoote hiyo bandari ndio inayotumiwa kushusha clinker, inamaana mpaka leo pamoja na kufanya extension wameshindwa kuwa na tools kwa ajili ya kuaccomodate wateja wao?..

Hivi vitu vingine viko kwenye finger tips za port manager na watu wake hapo wala havihitaji hata waziri....kununua wheel loader mpya ya 300mil iko kabisa ndani ya uwezo wao hapo..... ingekuwa dili ya wizi hapo ya 500mil ingepigwa faster lakini jambo linalohusu uzarishaji na faida kwa Taifa wanajivuta.....mengine yanahitaji uzalendo tu na utashi wa watu wenyewe..
 
Things worked wakati wa Magu (RIP), kila mtu alifanya kazi, hata ajali zilipungua, huduma kwa wananchi zilikuwepo, Serikali ilikuwa inajaribu kutatua matatizo ya wananchi siyo kama hawa, uliona wapi raisi wa nchi huru anakwenda ziara kwenye nchi nyingine for two weeks ?

Hata by African standards hakuna kitu kama hi hi, the truth is she doesn’t care about the people, huyo ni nwo!

JPM amekufa kutimiza ibada ya mwenyezi Mungu, tutakwendaje mbele sasa....Inamaana akifa JPM basi hatuwezi kuishi au kuendelea na maisha...

Kuna kitu kinaitwa kukufuru, kwasasa tunakuwa kama tunakufuru kwa maana ya Mwenyezi Mungu alimuumba JPM tu hapa TZ na wengine ni mbwa tu.....HAPANA TUSIKUFURU, KIFO ALIUMBIWA MWANADAMU NA AKIFA KILA LAKE LIMEFUNGWA NA WALIOBAKI WANAPASWA KUENDELEA NA MAISHA.....
 
Back
Top Bottom