Gobole
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 1,806
- 4,670
Vitu viwili tunaviweza na tunavifanya kwa ufanisi.Sisi sijui tunaweza kitu gani...
Ufisadi na Ngono.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vitu viwili tunaviweza na tunavifanya kwa ufanisi.Sisi sijui tunaweza kitu gani...
Things worked wakati wa Magu (RIP), kila mtu alifanya kazi, hata ajali zilipungua, huduma kwa wananchi zilikuwepo, Serikali ilikuwa inajaribu kutatua matatizo ya wananchi siyo kama hawa, uliona wapi raisi wa nchi huru anakwenda ziara kwenye nchi nyingine for two weeks ?
Hata by African standards hakuna kitu kama hicho, the truth is she doesn’t care about the people, huyo ni nwo, ni globalist!
Sisi sijui tunaweza kitu gani...
Kwanibalikuwaga anaua wangap kwa wiki kwa mwezi au kwa mwakaLakini Jiwe kwa wiki mbili angelikuwa ameua wangapi? Wacha asiwepo