Tetesi: Aibu bandari ya Tanga shehena ya clinker inayoelekea Rwanda imekwama

Tetesi: Aibu bandari ya Tanga shehena ya clinker inayoelekea Rwanda imekwama

Hapo juu iliyobebwa ni wheel loader pekee iliyokuwa inafanya shughuli ya kupakia shehena ya clinker kuelekea Rwanda imeharibika tena tokea majuzi na operation ya kupakia shehena ya clinker imekwama hali iliyosababisha msongamano mkubwa wa maroli bandarini hapo.

Ikumbukwe wheel loader lile lilianza kuharibika tokea mwezi jana hali iliyopelekea upakiaji wa shehena hiyo kusuasua huku mteja akihangaika kukodisha wheel loader za wakandarasi wa mabarabara hapo Tanga kwa gharama kubwa pale inapobidi.

Ajabu ni kwa nini TPA Tanga ina wheel loader moja tena dogo linalotakiwa kufanya kazi ilihali mahitaji ya kitendea kazi hicho ni ya haja?!

Kwamba TPA Tanzania haioni hali hiyo inapelekea wadau kutokuwa na imani na utendaji kazi wa bandari zetu?!

Inasemekana mteja wa shehena ya clinker PRIME CEMENT KIWANDA CHAKE HUKO RWANDA KIMEZIMWA KWA KUKOSA SHEHENA YA material hayo kwa sababu ya kukosekana wheel loader ya kupakia mzigo wake.

Hakika Watanzania aliyeturoga....
Huyo mteja mwenyewe mhuni tu; mwaka mzima amelundika clinker yake hapo bandarini anashindwa kuondosha kila siku kulialia tu
 
Hapo juu iliyobebwa ni wheel loader pekee iliyokuwa inafanya shughuli ya kupakia shehena ya clinker kuelekea Rwanda imeharibika tena tokea majuzi na operation ya kupakia shehena ya clinker imekwama hali iliyosababisha msongamano mkubwa wa maroli bandarini hapo.

Ikumbukwe wheel loader lile lilianza kuharibika tokea mwezi jana hali iliyopelekea upakiaji wa shehena hiyo kusuasua huku mteja akihangaika kukodisha wheel loader za wakandarasi wa mabarabara hapo Tanga kwa gharama kubwa pale inapobidi.

Ajabu ni kwa nini TPA Tanga ina wheel loader moja tena dogo linalotakiwa kufanya kazi ilihali mahitaji ya kitendea kazi hicho ni ya haja?!

Kwamba TPA Tanzania haioni hali hiyo inapelekea wadau kutokuwa na imani na utendaji kazi wa bandari zetu?!

Inasemekana mteja wa shehena ya clinker PRIME CEMENT KIWANDA CHAKE HUKO RWANDA KIMEZIMWA KWA KUKOSA SHEHENA YA material hayo kwa sababu ya kukosekana wheel loader ya kupakia mzigo wake.

Hakika Watanzania aliyeturoga....
Tanzania huwa tunajichanganya wenyewe...tunaenda Ulaya kutafuta wateja, wakati waliopo karibu tunawazingua. Labda faida yake ni Per Diem
 
Wheel loader kweli ni jambo la waziri mbona ni kitu kidogo sana kama wameshindwa si wawape watu tender hapo tanga yenyewe nina uakika wheel loader 40 hazikosekani
 
Mama yupo US anazurura na filamu yake na akina Mwigulu wakati huku mapato yanapotea
 
Hapo juu iliyobebwa ni wheel loader pekee iliyokuwa inafanya shughuli ya kupakia shehena ya clinker kuelekea Rwanda imeharibika tena tokea majuzi na operation ya kupakia shehena ya clinker imekwama hali iliyosababisha msongamano mkubwa wa maroli bandarini hapo.

Ikumbukwe wheel loader lile lilianza kuharibika tokea mwezi jana hali iliyopelekea upakiaji wa shehena hiyo kusuasua huku mteja akihangaika kukodisha wheel loader za wakandarasi wa mabarabara hapo Tanga kwa gharama kubwa pale inapobidi.

Ajabu ni kwa nini TPA Tanga ina wheel loader moja tena dogo linalotakiwa kufanya kazi ilihali mahitaji ya kitendea kazi hicho ni ya haja?!

Kwamba TPA Tanzania haioni hali hiyo inapelekea wadau kutokuwa na imani na utendaji kazi wa bandari zetu?!

Inasemekana mteja wa shehena ya clinker PRIME CEMENT KIWANDA CHAKE HUKO RWANDA KIMEZIMWA KWA KUKOSA SHEHENA YA material hayo kwa sababu ya kukosekana wheel loader ya kupakia mzigo wake.

Hakika Watanzania aliyeturoga....
Naona we na Rwanda tu?

Umoja Party imefikia wapi?
 
Hapo juu iliyobebwa ni wheel loader pekee iliyokuwa inafanya shughuli ya kupakia shehena ya clinker kuelekea Rwanda imeharibika tena tokea majuzi na operation ya kupakia shehena ya clinker imekwama hali iliyosababisha msongamano mkubwa wa maroli bandarini hapo.

Ikumbukwe wheel loader lile lilianza kuharibika tokea mwezi jana hali iliyopelekea upakiaji wa shehena hiyo kusuasua huku mteja akihangaika kukodisha wheel loader za wakandarasi wa mabarabara hapo Tanga kwa gharama kubwa pale inapobidi.

Ajabu ni kwa nini TPA Tanga ina wheel loader moja tena dogo linalotakiwa kufanya kazi ilihali mahitaji ya kitendea kazi hicho ni ya haja?!

Kwamba TPA Tanzania haioni hali hiyo inapelekea wadau kutokuwa na imani na utendaji kazi wa bandari zetu?!

Inasemekana mteja wa shehena ya clinker PRIME CEMENT KIWANDA CHAKE HUKO RWANDA KIMEZIMWA KWA KUKOSA SHEHENA YA material hayo kwa sababu ya kukosekana wheel loader ya kupakia mzigo wake.

Hakika Watanzania aliyeturoga....
Wamasai wanahamia tanga kwahiyo watawasaidia kupakua kwa kutumia ngombe
 
24 April 2022

Rwanda wanatazama fursa ya uwezekano wa kutumia bandari ya Djibouti. Kwa namna hiyo Rwanda inatafuta kuwa na uwezo wa kutumia bandari mbadala nyingi zaidi ukanda huu wa Afrika Mashariki

Port of Djibouti: What Rwandan businesses think of it




Rwandan Businessmen and women have noted that using the Port of Djibouti provides more alternatives of importing and exporting goods and the port authorities also emphasize that using it, reduces the time goods spend in transit compared to when other ports are used, from 3 months to just 20 days. Betty Mutoni reports

Source : RwandaTV
 
24 April 2022

Rwanda wanatazama fursa ya uwezekano wa kutumia bandari ya Djibouti. Kwa namna hiyo Rwanda inatafuta kuwa na uwezo wa kutumia bandari mbadala nyingi zaidi ukanda huu wa Afrika Mashariki

Port of Djibouti: What Rwandan businesses think of it




Rwandan Businessmen and women have noted that using the Port of Djibouti provides more alternatives of importing and exporting goods and the port authorities also emphasize that using it, reduces the time goods spend in transit compared to when other ports are used, from 3 months to just 20 days. Betty Mutoni reports

Source : RwandaTV

Biashara ni mahusiano! Hata ikijengwa bagamoyo port ukiritimba tulionao watu watatukimbia tu!
 
Back
Top Bottom