KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Hizi lelemama za akina Samia, na 'brutality' za akina Magufuli hazitufikishi popote.
Sasa tunahitaji kiongozi smart, kiongozi mwenye busara na maarifa kuibadili Tanzania iondokane na uozo mwingi huu ulioota mizizi kila sehemu.
Sasa tunahitaji kiongozi smart, kiongozi mwenye busara na maarifa kuibadili Tanzania iondokane na uozo mwingi huu ulioota mizizi kila sehemu.