KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Kiukweli kwa fani ya habari na utangazaji, kiukweli kabisa sisi ni watu wadogo sana tuu, ile Saba Saba na PPR ni kipindi tuu, ila ...Nimekosea. Nilimaanisha kwanini ujiite mdogo wakati wewe ni mtu mzito mzee wa Saba Saba na PPR.
Huyo mteja mwenyewe mhuni tu; mwaka mzima amelundika clinker yake hapo bandarini anashindwa kuondosha kila siku kulialia tuHapo juu iliyobebwa ni wheel loader pekee iliyokuwa inafanya shughuli ya kupakia shehena ya clinker kuelekea Rwanda imeharibika tena tokea majuzi na operation ya kupakia shehena ya clinker imekwama hali iliyosababisha msongamano mkubwa wa maroli bandarini hapo.
Ikumbukwe wheel loader lile lilianza kuharibika tokea mwezi jana hali iliyopelekea upakiaji wa shehena hiyo kusuasua huku mteja akihangaika kukodisha wheel loader za wakandarasi wa mabarabara hapo Tanga kwa gharama kubwa pale inapobidi.
Ajabu ni kwa nini TPA Tanga ina wheel loader moja tena dogo linalotakiwa kufanya kazi ilihali mahitaji ya kitendea kazi hicho ni ya haja?!
Kwamba TPA Tanzania haioni hali hiyo inapelekea wadau kutokuwa na imani na utendaji kazi wa bandari zetu?!
Inasemekana mteja wa shehena ya clinker PRIME CEMENT KIWANDA CHAKE HUKO RWANDA KIMEZIMWA KWA KUKOSA SHEHENA YA material hayo kwa sababu ya kukosekana wheel loader ya kupakia mzigo wake.
Hakika Watanzania aliyeturoga....
Si vyema kutoa lawama za jumla, huo ni uzembe mdogo wa mtu kiongozi kitengo.Awamu hii inashangaza kwa kila kitu.
Tumepotez uelekeo kama Taifa.
We have no vision.
Tanzania huwa tunajichanganya wenyewe...tunaenda Ulaya kutafuta wateja, wakati waliopo karibu tunawazingua. Labda faida yake ni Per DiemHapo juu iliyobebwa ni wheel loader pekee iliyokuwa inafanya shughuli ya kupakia shehena ya clinker kuelekea Rwanda imeharibika tena tokea majuzi na operation ya kupakia shehena ya clinker imekwama hali iliyosababisha msongamano mkubwa wa maroli bandarini hapo.
Ikumbukwe wheel loader lile lilianza kuharibika tokea mwezi jana hali iliyopelekea upakiaji wa shehena hiyo kusuasua huku mteja akihangaika kukodisha wheel loader za wakandarasi wa mabarabara hapo Tanga kwa gharama kubwa pale inapobidi.
Ajabu ni kwa nini TPA Tanga ina wheel loader moja tena dogo linalotakiwa kufanya kazi ilihali mahitaji ya kitendea kazi hicho ni ya haja?!
Kwamba TPA Tanzania haioni hali hiyo inapelekea wadau kutokuwa na imani na utendaji kazi wa bandari zetu?!
Inasemekana mteja wa shehena ya clinker PRIME CEMENT KIWANDA CHAKE HUKO RWANDA KIMEZIMWA KWA KUKOSA SHEHENA YA material hayo kwa sababu ya kukosekana wheel loader ya kupakia mzigo wake.
Hakika Watanzania aliyeturoga....
Mashoga kama wewe ni wakuuwa tuu hakuna hasara kwa taifa.Lakini Jiwe kwa wiki mbili angelikuwa ameua wangapi? Wacha asiwepo
Kwahiyo ndio walioihujumu hio Loader?Wachina wa hapo Tanga ni wachoyo wanadai clinker wanayozalisha ni kwa matumizi yao.
Waombe mods wakusaidie ku-uploadNashin
Inanigomea kiongozi.
Naona we na Rwanda tu?Hapo juu iliyobebwa ni wheel loader pekee iliyokuwa inafanya shughuli ya kupakia shehena ya clinker kuelekea Rwanda imeharibika tena tokea majuzi na operation ya kupakia shehena ya clinker imekwama hali iliyosababisha msongamano mkubwa wa maroli bandarini hapo.
Ikumbukwe wheel loader lile lilianza kuharibika tokea mwezi jana hali iliyopelekea upakiaji wa shehena hiyo kusuasua huku mteja akihangaika kukodisha wheel loader za wakandarasi wa mabarabara hapo Tanga kwa gharama kubwa pale inapobidi.
Ajabu ni kwa nini TPA Tanga ina wheel loader moja tena dogo linalotakiwa kufanya kazi ilihali mahitaji ya kitendea kazi hicho ni ya haja?!
Kwamba TPA Tanzania haioni hali hiyo inapelekea wadau kutokuwa na imani na utendaji kazi wa bandari zetu?!
Inasemekana mteja wa shehena ya clinker PRIME CEMENT KIWANDA CHAKE HUKO RWANDA KIMEZIMWA KWA KUKOSA SHEHENA YA material hayo kwa sababu ya kukosekana wheel loader ya kupakia mzigo wake.
Hakika Watanzania aliyeturoga....
Hata angeua wote mradi haki za wanyonge zipatikaneLakini Jiwe kwa wiki mbili angelikuwa ameua wangapi? Wacha asiwepo
Wamasai wanahamia tanga kwahiyo watawasaidia kupakua kwa kutumia ngombeHapo juu iliyobebwa ni wheel loader pekee iliyokuwa inafanya shughuli ya kupakia shehena ya clinker kuelekea Rwanda imeharibika tena tokea majuzi na operation ya kupakia shehena ya clinker imekwama hali iliyosababisha msongamano mkubwa wa maroli bandarini hapo.
Ikumbukwe wheel loader lile lilianza kuharibika tokea mwezi jana hali iliyopelekea upakiaji wa shehena hiyo kusuasua huku mteja akihangaika kukodisha wheel loader za wakandarasi wa mabarabara hapo Tanga kwa gharama kubwa pale inapobidi.
Ajabu ni kwa nini TPA Tanga ina wheel loader moja tena dogo linalotakiwa kufanya kazi ilihali mahitaji ya kitendea kazi hicho ni ya haja?!
Kwamba TPA Tanzania haioni hali hiyo inapelekea wadau kutokuwa na imani na utendaji kazi wa bandari zetu?!
Inasemekana mteja wa shehena ya clinker PRIME CEMENT KIWANDA CHAKE HUKO RWANDA KIMEZIMWA KWA KUKOSA SHEHENA YA material hayo kwa sababu ya kukosekana wheel loader ya kupakia mzigo wake.
Hakika Watanzania aliyeturoga....
Biashara ni mahusiano! Hata ikijengwa bagamoyo port ukiritimba tulionao watu watatukimbia tu!24 April 2022
Rwanda wanatazama fursa ya uwezekano wa kutumia bandari ya Djibouti. Kwa namna hiyo Rwanda inatafuta kuwa na uwezo wa kutumia bandari mbadala nyingi zaidi ukanda huu wa Afrika Mashariki
Port of Djibouti: What Rwandan businesses think of it
Rwandan Businessmen and women have noted that using the Port of Djibouti provides more alternatives of importing and exporting goods and the port authorities also emphasize that using it, reduces the time goods spend in transit compared to when other ports are used, from 3 months to just 20 days. Betty Mutoni reports
Source : RwandaTV