Things worked wakati wa Magu (RIP), kila mtu alifanya kazi, hata ajali zilipungua, huduma kwa wananchi zilikuwepo, Serikali ilikuwa inajaribu kutatua matatizo ya wananchi siyo kama hawa, uliona wapi raisi wa nchi huru anakwenda ziara kwenye nchi nyingine for two weeks ?
Hata by African standards hakuna kitu kama hicho, the truth is she doesn’t care about the people, huyo ni nwo, ni globalist!