Tetesi: Aibu bandari ya Tanga shehena ya clinker inayoelekea Rwanda imekwama


Hata JPM alienda ziara Chato kijijini kwake akakaa miezi, kwa hiyo hakuna jipya. Acheni Hangaya apige kazi, ni wakati wake.
 
Kama ni kweli, matatizo mengine siyo ya lazima. Bandari ni uti wa mgongo katika uchumi wa Tanzania. Kaimu Rais ingilia kati pls
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…