njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
- Thread starter
-
- #21
Mada ni mashabiki wote wa kiume wa simba muende kwa vunjabei mmpewe kanga doti mbili m’bane boga tulione kwa mbali.
Haya alikua ni mwizi na kibaka, fisadi, gaidi alafu sisi Yanga tumemuajiri.View attachment 2369528kiingereza unajua bwana mdogo?
Okay kwanza ushapata DOTI YAKO, hata ukiifanya kama mtandio sio mbaya.usihamishe magoli wa kujichekesha , issue ya mzungu anzishia mada yake jikite kwenye mada bro
Haya tulia mwenye akili piritoni. Deputy President wa Kenya, Rigathi Gachagua, ametaifishwa Kshs million 200,000. Kama matokeo ya Rushwa. Mwezi mmoja baadae aliteuliwa kuwa DP. Same Rais Samwel Ruto Kesi ICC. Leo ni Rais. Yaani una akili ndogo ila una jidai mjuaji.huna akili wewe idiot na habari kamili nimekuwekea bado hujaelewa, hujawahi kusikia kesi ya yule mtoto wa miaka 12 mcuba alisababisha mgogoro kati ya USA na CUBA sembuse huyu mtuhumiwa wa kesi ya utakatishaji fedha huko zambia?
ALitorosha wachezaji wa mazembe ambao passport zao zilikuwa zimeshikiliwa na serikali ya zambia wakingia kongo bila passport , sijui nimeweza kukuelewesha au kicha kigumu kama nazi
tuliza kinyeo boss, usipopenda a user generated content hapa jf unapita kushoto na ku ignore..Acha kuumizwa na habari za utopolo wewe.. Yaani unahangaika na viji habari fake kama vile mwanamke aliyechukuliwa bwana.. Unafaidika na nini na hizi mada zako za kiwaki humu jf
aisee , Riggy G pia alishawahi kupitisha raia wa kenya mpakani bila passport kwanjia za panya? Riggy G alishawahi kukamatwa na KITENGO CHA KUPAMBANA NA MADAWA YA KULEVYA?Haya tulia mwenye akili piritoni. Deputy President wa Kenya, Rigathi Gachagua, ametaifishwa Kshs million 200,000. Kama matokeo ya Rushwa. Mwezi mmoja baadae aliteuliwa kuwa DP. Same Rais Samwel Ruto Kesi ICC. Leo ni Rais. Yaani una akili ndogo ila una jidai mjuaji.
Nakukumbusha nyie mlikuwa na kiongozi aliyetaka kuipindua serikali ya Nyerere (Hansi) na akaswekwa ndani au umejitoa ufahamu kujifanya umesahahu. Sasa huyo mtuhumiwa ambaye tuhuma zake haziku thibitishwa na ndio maana yupo huru.Oyaaaa , taratibu jamani embu tuwekane sawa naona vichaa wanasema huyu jamaa ndiye kawapa mafanikio mazembe
Idiots, huyu alikuwa afisa wa kawaida tu pale mazembe kama vile kina Asha baraka pale simba, mazembe hawana structure ya CEO, mkubwa kicheo ni President/chairman Moise katumbi na anayemfuatia kwa nguvu hapo klabuni ni sporting director Fredrick kitenge
Andre Mtine 2007 yeye pamoja na wafanyakazi kadhaa wa shirika la posta alikamatwa kwa wizi wa kwacha millions 100 na akashtakiwa kwa utakatishaji fedha katika KESI ILIYOHUSISHA MADAWA YA KULEVYA KUPITIA SHIRIKA LA POSTA
2014 alifungiwa MAISHA kujihusisha na soka nchini zambia baada ya kusababisha mzozo mkubwa wa kisoka kati ya zambia na DRC congo uliokuwa mkubwa hadi ikasababisha serikali za nchi hizo kuingilia kati na kuyamaliza
issue ilikuwa hivi
Akiwa afisa wa Tp mazembe alihusika kudanganya kwamba wachezaji wa kizambia , kalaba, sunzu na sinkala ni wagonjwa wakakosa game la kirafiki na Brazili lililopigwa china
Wachezaji hao walipoingia zambia , serikali ya nchi hiyo ilishikilia passport zao wasiweze kurudi lubumbashi kwa ajili ya mechi yao vs stade de malien lakini mwamba huyu aliwatorosha kwa njia za panya kupitia ndola, timbwili lilikuwa refu
Pia alikuwa mtunza hazina wa chama cha soka cha zambia alipofukuzwa kwa tuhuma za wizi
MY TAKE: HUYU SIYO SENZO KWA HAKIKA TFF KAZI MNAYO MMELETEWA MTU WA TIMBWILI KWELIKWELI MLIDHANI SOPE TAKADINI ANAJUA KULIANZISHA , MMELETEWA SOPE TAKADINI WA KIMATAIFA, LOL BIRDS OF THE SAME FEATHERS FLOCK TOGETHER
View attachment 2369512View attachment 2369513
Hata mkijikesha na kujitoa fahamu , ukweli ni kwamba KITENGO CHA KUPAMBANA NA MADAWA YA KULEVYA TANZANIA KIWE MAKINI SASAOkay kwanza ushapata DOTI YAKO, hata ukiifanya kama mtandio sio mbaya.
Oyaaaa , taratibu jamani embu tuwekane sawa naona vichaa wanasema huyu jamaa ndiye kawapa mafanikio mazembe
Idiots, huyu alikuwa afisa wa kawaida tu pale mazembe kama vile kina Asha baraka pale simba, mazembe hawana structure ya CEO, mkubwa kicheo ni President/chairman Moise katumbi na anayemfuatia kwa nguvu hapo klabuni ni sporting director Fredrick kitenge
Andre Mtine 2007 yeye pamoja na wafanyakazi kadhaa wa shirika la posta alikamatwa kwa wizi wa kwacha millions 100 na akashtakiwa kwa utakatishaji fedha katika KESI ILIYOHUSISHA MADAWA YA KULEVYA KUPITIA SHIRIKA LA POSTA
2014 alifungiwa MAISHA kujihusisha na soka nchini zambia baada ya kusababisha mzozo mkubwa wa kisoka kati ya zambia na DRC congo uliokuwa mkubwa hadi ikasababisha serikali za nchi hizo kuingilia kati na kuyamaliza
issue ilikuwa hivi
Akiwa afisa wa Tp mazembe alihusika kudanganya kwamba wachezaji wa kizambia , kalaba, sunzu na sinkala ni wagonjwa wakakosa game la kirafiki na Brazili lililopigwa china
Wachezaji hao walipoingia zambia , serikali ya nchi hiyo ilishikilia passport zao wasiweze kurudi lubumbashi kwa ajili ya mechi yao vs stade de malien lakini mwamba huyu aliwatorosha kwa njia za panya kupitia ndola, timbwili lilikuwa refu
Pia alikuwa mtunza hazina wa chama cha soka cha zambia alipofukuzwa kwa tuhuma za wizi
MY TAKE: HUYU SIYO SENZO KWA HAKIKA TFF KAZI MNAYO MMELETEWA MTU WA TIMBWILI KWELIKWELI MLIDHANI SOPE TAKADINI ANAJUA KULIANZISHA , MMELETEWA SOPE TAKADINI WA KIMATAIFA, LOL BIRDS OF THE SAME FEATHERS FLOCK TOGETHER
View attachment 2369512View attachment 2369513
Naaam atleast kidoogo kuna topolo moja limeelewa english iliyoandikwa kwenye hizo attachment, sasa huyu CEO wenu ilikuwaje issue yake ya madawa ya kulevya ndugu yangu?Nakukumbusha nyie mlikuwa na kiongozi aliyetaka kuipindua serikali ya Nyerere (Hansi) na akaswekwa ndani au umejitoa ufahamu kujifanya umesahahu. Sasa huyo mtuhumiwa ambaye tuhuma zake haziku thibitishwa na ndio maana yupo huru.
mada ya vitenge vya vunja bei ulishaimaliza?Haya alikua ni mwizi na kibaka, fisadi, gaidi alafu sisi Yanga tumemuajiri.
Tukusaidiaje??
Si yupo huru maana hana makosa.Hansi aliswekwa ndani na Nyerere kwa tuhuma zilizo thibitishwa na bado akawa kiongozi wenu kwa mda mrefu.Naaam atleast kidoogo kuna topolo moja limeelewa english iliyoandikwa kwenye hizo attachment, sasa huyu CEO wenu ilikuwaje issue yake ya madawa ya kulevya ndugu yangu?
njaakalihatari amesahau Mzee Aden Rage alifungwa kwa tuhuma za ubadhirifu pale TFF enzi hizo inaitwa FAT.Si yupo huru maana hana makosa.Hansi aliswekwa ndani na Nyerere kwa tuhuma zilizo thibitishwa na bado akawa kiongozi wenu kwa mda mrefu.
Unagongwa weweOyaaaa , taratibu jamani embu tuwekane sawa naona vichaa wanasema huyu jamaa ndiye kawapa mafanikio mazembe
Idiots, huyu alikuwa afisa wa kawaida tu pale mazembe kama vile kina Asha baraka pale simba, mazembe hawana structure ya CEO, mkubwa kicheo ni President/chairman Moise katumbi na anayemfuatia kwa nguvu hapo klabuni ni sporting director Fredrick kitenge
Andre Mtine 2007 yeye pamoja na wafanyakazi kadhaa wa shirika la posta alikamatwa kwa wizi wa kwacha millions 100 na akashtakiwa kwa utakatishaji fedha katika KESI ILIYOHUSISHA MADAWA YA KULEVYA KUPITIA SHIRIKA LA POSTA
2014 alifungiwa MAISHA kujihusisha na soka nchini zambia baada ya kusababisha mzozo mkubwa wa kisoka kati ya zambia na DRC congo uliokuwa mkubwa hadi ikasababisha serikali za nchi hizo kuingilia kati na kuyamaliza
issue ilikuwa hivi
Akiwa afisa wa Tp mazembe alihusika kudanganya kwamba wachezaji wa kizambia , kalaba, sunzu na sinkala ni wagonjwa wakakosa game la kirafiki na Brazili lililopigwa china
Wachezaji hao walipoingia zambia , serikali ya nchi hiyo ilishikilia passport zao wasiweze kurudi lubumbashi kwa ajili ya mechi yao vs stade de malien lakini mwamba huyu aliwatorosha kwa njia za panya kupitia ndola, timbwili lilikuwa refu
Pia alikuwa mtunza hazina wa chama cha soka cha zambia alipofukuzwa kwa tuhuma za wizi
MY TAKE: HUYU SIYO SENZO KWA HAKIKA TFF KAZI MNAYO MMELETEWA MTU WA TIMBWILI KWELIKWELI MLIDHANI SOPE TAKADINI ANAJUA KULIANZISHA , MMELETEWA SOPE TAKADINI WA KIMATAIFA, LOL BIRDS OF THE SAME FEATHERS FLOCK TOGETHER
View attachment 2369512View attachment 2369513
Kasahau leo.njaakalihatari amesahau Mzee Aden Rage alifungwa kwa tuhuma za ubadhirifu pale TFF enzi hizo inaitwa FAT.
Lakini alifanikiwa kujisafisha kwa rufaa akaja kuwa kiongozi wa Simba Sc na kuwaita mbumbu.
Ila hiyo combination wakenya wanalo. Ruto, Riggy.Haya tulia mwenye akili piritoni. Deputy President wa Kenya, Rigathi Gachagua, ametaifishwa Kshs million 200,000. Kama matokeo ya Rushwa. Mwezi mmoja baadae aliteuliwa kuwa DP. Same Rais Samwel Ruto Kesi ICC. Leo ni Rais. Yaani una akili ndogo ila una jidai mjuaji.
Naomba kitengo cha kuzuia madawa ya kulevya kiwasiliane na wenzao wa zambia kwa maelezo zaidinjaakalihatari amesahau Mzee Aden Rage alifungwa kwa tuhuma za ubadhirifu pale TFF enzi hizo inaitwa FAT.
Lakini alifanikiwa kujisafisha kwa rufaa akaja kuwa kiongozi wa Simba Sc na kuwaita mbumbu.
Huyu kaletwa kupambana na karia,hata kadi za njano ataanzisha timbwili zitoUyo jamaa kwa kupanga matokeo hajambo,TFF wanakazi sana, uyo jamaa huko zambia hawatak hata kumsikia