AIBU: CEO mpya wa Yanga SC alipata kesi ya wizi Zambia, alifungiwa maisha na Chama cha Soka, hajawahi kuwa CEO Mazembe. TFF kazi mnayo

AIBU: CEO mpya wa Yanga SC alipata kesi ya wizi Zambia, alifungiwa maisha na Chama cha Soka, hajawahi kuwa CEO Mazembe. TFF kazi mnayo

Mada ni mashabiki wote wa kiume wa simba muende kwa vunjabei mmpewe kanga doti mbili m’bane boga tulione kwa mbali.
mtine 3.JPG
kiingereza unajua bwana mdogo?
 
huna akili wewe idiot na habari kamili nimekuwekea bado hujaelewa, hujawahi kusikia kesi ya yule mtoto wa miaka 12 mcuba alisababisha mgogoro kati ya USA na CUBA sembuse huyu mtuhumiwa wa kesi ya utakatishaji fedha huko zambia?
ALitorosha wachezaji wa mazembe ambao passport zao zilikuwa zimeshikiliwa na serikali ya zambia wakingia kongo bila passport , sijui nimeweza kukuelewesha au kicha kigumu kama nazi
Haya tulia mwenye akili piritoni. Deputy President wa Kenya, Rigathi Gachagua, ametaifishwa Kshs million 200,000. Kama matokeo ya Rushwa. Mwezi mmoja baadae aliteuliwa kuwa DP. Same Rais Samwel Ruto Kesi ICC. Leo ni Rais. Yaani una akili ndogo ila una jidai mjuaji.
 
Acha kuumizwa na habari za utopolo wewe.. Yaani unahangaika na viji habari fake kama vile mwanamke aliyechukuliwa bwana.. Unafaidika na nini na hizi mada zako za kiwaki humu jf
tuliza kinyeo boss, usipopenda a user generated content hapa jf unapita kushoto na ku ignore..
 
Haya tulia mwenye akili piritoni. Deputy President wa Kenya, Rigathi Gachagua, ametaifishwa Kshs million 200,000. Kama matokeo ya Rushwa. Mwezi mmoja baadae aliteuliwa kuwa DP. Same Rais Samwel Ruto Kesi ICC. Leo ni Rais. Yaani una akili ndogo ila una jidai mjuaji.
aisee , Riggy G pia alishawahi kupitisha raia wa kenya mpakani bila passport kwanjia za panya? Riggy G alishawahi kukamatwa na KITENGO CHA KUPAMBANA NA MADAWA YA KULEVYA?
 
Oyaaaa , taratibu jamani embu tuwekane sawa naona vichaa wanasema huyu jamaa ndiye kawapa mafanikio mazembe

Idiots, huyu alikuwa afisa wa kawaida tu pale mazembe kama vile kina Asha baraka pale simba, mazembe hawana structure ya CEO, mkubwa kicheo ni President/chairman Moise katumbi na anayemfuatia kwa nguvu hapo klabuni ni sporting director Fredrick kitenge

Andre Mtine 2007 yeye pamoja na wafanyakazi kadhaa wa shirika la posta alikamatwa kwa wizi wa kwacha millions 100 na akashtakiwa kwa utakatishaji fedha katika KESI ILIYOHUSISHA MADAWA YA KULEVYA KUPITIA SHIRIKA LA POSTA

2014 alifungiwa MAISHA kujihusisha na soka nchini zambia baada ya kusababisha mzozo mkubwa wa kisoka kati ya zambia na DRC congo uliokuwa mkubwa hadi ikasababisha serikali za nchi hizo kuingilia kati na kuyamaliza
issue ilikuwa hivi

Akiwa afisa wa Tp mazembe alihusika kudanganya kwamba wachezaji wa kizambia , kalaba, sunzu na sinkala ni wagonjwa wakakosa game la kirafiki na Brazili lililopigwa china

Wachezaji hao walipoingia zambia , serikali ya nchi hiyo ilishikilia passport zao wasiweze kurudi lubumbashi kwa ajili ya mechi yao vs stade de malien lakini mwamba huyu aliwatorosha kwa njia za panya kupitia ndola, timbwili lilikuwa refu

Pia alikuwa mtunza hazina wa chama cha soka cha zambia alipofukuzwa kwa tuhuma za wizi
MY TAKE: HUYU SIYO SENZO KWA HAKIKA TFF KAZI MNAYO MMELETEWA MTU WA TIMBWILI KWELIKWELI MLIDHANI SOPE TAKADINI ANAJUA KULIANZISHA , MMELETEWA SOPE TAKADINI WA KIMATAIFA, LOL BIRDS OF THE SAME FEATHERS FLOCK TOGETHER



View attachment 2369512View attachment 2369513
Nakukumbusha nyie mlikuwa na kiongozi aliyetaka kuipindua serikali ya Nyerere (Hansi) na akaswekwa ndani au umejitoa ufahamu kujifanya umesahahu. Sasa huyo mtuhumiwa ambaye tuhuma zake haziku thibitishwa na ndio maana yupo huru.
 
Oyaaaa , taratibu jamani embu tuwekane sawa naona vichaa wanasema huyu jamaa ndiye kawapa mafanikio mazembe

Idiots, huyu alikuwa afisa wa kawaida tu pale mazembe kama vile kina Asha baraka pale simba, mazembe hawana structure ya CEO, mkubwa kicheo ni President/chairman Moise katumbi na anayemfuatia kwa nguvu hapo klabuni ni sporting director Fredrick kitenge

Andre Mtine 2007 yeye pamoja na wafanyakazi kadhaa wa shirika la posta alikamatwa kwa wizi wa kwacha millions 100 na akashtakiwa kwa utakatishaji fedha katika KESI ILIYOHUSISHA MADAWA YA KULEVYA KUPITIA SHIRIKA LA POSTA

2014 alifungiwa MAISHA kujihusisha na soka nchini zambia baada ya kusababisha mzozo mkubwa wa kisoka kati ya zambia na DRC congo uliokuwa mkubwa hadi ikasababisha serikali za nchi hizo kuingilia kati na kuyamaliza
issue ilikuwa hivi

Akiwa afisa wa Tp mazembe alihusika kudanganya kwamba wachezaji wa kizambia , kalaba, sunzu na sinkala ni wagonjwa wakakosa game la kirafiki na Brazili lililopigwa china

Wachezaji hao walipoingia zambia , serikali ya nchi hiyo ilishikilia passport zao wasiweze kurudi lubumbashi kwa ajili ya mechi yao vs stade de malien lakini mwamba huyu aliwatorosha kwa njia za panya kupitia ndola, timbwili lilikuwa refu

Pia alikuwa mtunza hazina wa chama cha soka cha zambia alipofukuzwa kwa tuhuma za wizi
MY TAKE: HUYU SIYO SENZO KWA HAKIKA TFF KAZI MNAYO MMELETEWA MTU WA TIMBWILI KWELIKWELI MLIDHANI SOPE TAKADINI ANAJUA KULIANZISHA , MMELETEWA SOPE TAKADINI WA KIMATAIFA, LOL BIRDS OF THE SAME FEATHERS FLOCK TOGETHER



View attachment 2369512View attachment 2369513
 

Attachments

  • Fc6sPiNX0AEXdOw.jpeg
    Fc6sPiNX0AEXdOw.jpeg
    366.2 KB · Views: 1
Nakukumbusha nyie mlikuwa na kiongozi aliyetaka kuipindua serikali ya Nyerere (Hansi) na akaswekwa ndani au umejitoa ufahamu kujifanya umesahahu. Sasa huyo mtuhumiwa ambaye tuhuma zake haziku thibitishwa na ndio maana yupo huru.
Naaam atleast kidoogo kuna topolo moja limeelewa english iliyoandikwa kwenye hizo attachment, sasa huyu CEO wenu ilikuwaje issue yake ya madawa ya kulevya ndugu yangu?
 
Si yupo huru maana hana makosa.Hansi aliswekwa ndani na Nyerere kwa tuhuma zilizo thibitishwa na bado akawa kiongozi wenu kwa mda mrefu.
njaakalihatari amesahau Mzee Aden Rage alifungwa kwa tuhuma za ubadhirifu pale TFF enzi hizo inaitwa FAT.
Lakini alifanikiwa kujisafisha kwa rufaa akaja kuwa kiongozi wa Simba Sc na kuwaita mbumbumbu.
 
Oyaaaa , taratibu jamani embu tuwekane sawa naona vichaa wanasema huyu jamaa ndiye kawapa mafanikio mazembe

Idiots, huyu alikuwa afisa wa kawaida tu pale mazembe kama vile kina Asha baraka pale simba, mazembe hawana structure ya CEO, mkubwa kicheo ni President/chairman Moise katumbi na anayemfuatia kwa nguvu hapo klabuni ni sporting director Fredrick kitenge

Andre Mtine 2007 yeye pamoja na wafanyakazi kadhaa wa shirika la posta alikamatwa kwa wizi wa kwacha millions 100 na akashtakiwa kwa utakatishaji fedha katika KESI ILIYOHUSISHA MADAWA YA KULEVYA KUPITIA SHIRIKA LA POSTA

2014 alifungiwa MAISHA kujihusisha na soka nchini zambia baada ya kusababisha mzozo mkubwa wa kisoka kati ya zambia na DRC congo uliokuwa mkubwa hadi ikasababisha serikali za nchi hizo kuingilia kati na kuyamaliza
issue ilikuwa hivi

Akiwa afisa wa Tp mazembe alihusika kudanganya kwamba wachezaji wa kizambia , kalaba, sunzu na sinkala ni wagonjwa wakakosa game la kirafiki na Brazili lililopigwa china

Wachezaji hao walipoingia zambia , serikali ya nchi hiyo ilishikilia passport zao wasiweze kurudi lubumbashi kwa ajili ya mechi yao vs stade de malien lakini mwamba huyu aliwatorosha kwa njia za panya kupitia ndola, timbwili lilikuwa refu

Pia alikuwa mtunza hazina wa chama cha soka cha zambia alipofukuzwa kwa tuhuma za wizi
MY TAKE: HUYU SIYO SENZO KWA HAKIKA TFF KAZI MNAYO MMELETEWA MTU WA TIMBWILI KWELIKWELI MLIDHANI SOPE TAKADINI ANAJUA KULIANZISHA , MMELETEWA SOPE TAKADINI WA KIMATAIFA, LOL BIRDS OF THE SAME FEATHERS FLOCK TOGETHER



View attachment 2369512View attachment 2369513
Unagongwa wewe
 
Uyo jamaa kwa kupanga matokeo hajambo,TFF wanakazi sana, uyo jamaa huko zambia hawatak hata kumsikia
 
Haya tulia mwenye akili piritoni. Deputy President wa Kenya, Rigathi Gachagua, ametaifishwa Kshs million 200,000. Kama matokeo ya Rushwa. Mwezi mmoja baadae aliteuliwa kuwa DP. Same Rais Samwel Ruto Kesi ICC. Leo ni Rais. Yaani una akili ndogo ila una jidai mjuaji.
Ila hiyo combination wakenya wanalo. Ruto, Riggy.
 
njaakalihatari amesahau Mzee Aden Rage alifungwa kwa tuhuma za ubadhirifu pale TFF enzi hizo inaitwa FAT.
Lakini alifanikiwa kujisafisha kwa rufaa akaja kuwa kiongozi wa Simba Sc na kuwaita mbumbu.
Naomba kitengo cha kuzuia madawa ya kulevya kiwasiliane na wenzao wa zambia kwa maelezo zaidi
 
Back
Top Bottom