Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Ndiyo tuendelee nayo sasa.mada ya vitenge vya vunja bei ulishaimaliza?
Topolo limekasirika baada ya kusikia ceo wao mpya ana makandokando ya kutishaUnagongwa wewe
Inaonekana wewe hata lingerie unavaa sana na vikuku juu kila mda unawaza kuzibuana mtaro, hapo kwenu kuna wazibua mtaro hata old trafford wanakupeleka upige picha na ronaldo,wapelekeee budi budi hilo waarabu wenuNdiyo tuendelee nayo sasa.
Nakuletea kanga mbili za simba ubane boga tukuone kwa mbali.
Karia akae mkao wa kula ila karia pia ni mtata uyo CEO wa yanga akileta usinge atajua hajuiHuyu kaletwa kupambana na karia,hata kadi za njano ataanzisha timbwili zito
Hapa tayari pua zimekutanuka umepanic 😂😂😂Inaonekana wewe hata lingerie unavaa sana na vikuku juu kila mda unawaza kuzibuana mtaro, hapo kwenu kuna wazibua mtaro hata old trafford wanakupeleka upige picha na ronaldo,wapelekeee budi budi hilo waarabu wenu
Aisee kazi mnayo leo,hii habari ishapokelewa instagram na twitter nenda kapeleke matusi yako ya kuzibuana mtaroHapa tayari pua zimekutanuka umepanic 😂😂😂
Fanya juu chini ukatibiwe akiliOyaaaa , taratibu jamani embu tuwekane sawa naona vichaa wanasema huyu jamaa ndiye kawapa mafanikio mazembe
Idiots, huyu alikuwa afisa wa kawaida tu pale mazembe kama vile kina Asha baraka pale simba, mazembe hawana structure ya CEO, mkubwa kicheo ni President/chairman Moise katumbi na anayemfuatia kwa nguvu hapo klabuni ni sporting director Fredrick kitenge
Andre Mtine 2007 yeye pamoja na wafanyakazi kadhaa wa shirika la posta alikamatwa kwa wizi wa kwacha millions 100 na akashtakiwa kwa utakatishaji fedha katika KESI ILIYOHUSISHA MADAWA YA KULEVYA KUPITIA SHIRIKA LA POSTA
2014 alifungiwa MAISHA kujihusisha na soka nchini zambia baada ya kusababisha mzozo mkubwa wa kisoka kati ya zambia na DRC congo uliokuwa mkubwa hadi ikasababisha serikali za nchi hizo kuingilia kati na kuyamaliza
issue ilikuwa hivi
Akiwa afisa wa Tp mazembe alihusika kudanganya kwamba wachezaji wa kizambia , kalaba, sunzu na sinkala ni wagonjwa wakakosa game la kirafiki na Brazili lililopigwa china
Wachezaji hao walipoingia zambia , serikali ya nchi hiyo ilishikilia passport zao wasiweze kurudi lubumbashi kwa ajili ya mechi yao vs stade de malien lakini mwamba huyu aliwatorosha kwa njia za panya kupitia ndola, timbwili lilikuwa refu
Pia alikuwa mtunza hazina wa chama cha soka cha zambia alipofukuzwa kwa tuhuma za wizi
MY TAKE: HUYU SIYO SENZO KWA HAKIKA TFF KAZI MNAYO MMELETEWA MTU WA TIMBWILI KWELIKWELI MLIDHANI SOPE TAKADINI ANAJUA KULIANZISHA , MMELETEWA SOPE TAKADINI WA KIMATAIFA, LOL BIRDS OF THE SAME FEATHERS FLOCK TOGETHER
View attachment 2369512View attachment 2369513
Unaumia?Yanga inaonekana hawakufanya due diligence vizuri..kilichobaki kwa mashabiki ni kupamba huyu jamaaa aonekane ndio mzuri anatakiwa...huyu ni mtu wa makando kando Sana ..Iko siku atapiga tukio halafu TFF wamlime mtaanza kusingizia TFF inawaonea...Yanga Kuna uhuni mwingi unafanyika ambao huuoni Simba wakifanya.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
habari za kuzibuana mtaro kwenye uzi huu hujazileta siyo? ni kupimwa akili?Fanya juu chini ukatibiwe akili
Haha mashabiki wa simba mko very desperate mnatafuta angle ya kujifariji baada ya kupigwa mabao mfululizo na Yanga.Aisee kazi mnayo leo,hii habari ishapokelewa instagram na twitter nenda kapeleke matusi yako ya kuzibuana mtaro
Mumeajiri Panya road wa zambia..Haya alikua ni mwizi na kibaka, fisadi, gaidi alafu sisi Yanga tumemuajiri.
Tukusaidiaje??
Karia ajipange sana , CEO jumlisha sope takadini bonge la kombinesheniHaha mashabiki wa simba mko very desperate mnatafuta angle ya kujifariji baada ya kupigwa mabao mfululizo na Yanga.
Swali ni moja tu, huyo CEO wetu mwizi tuliyemwajiri ndiyo atasababisha Simba ipate ubingwa dhidi ya yanga???
Mo ameshawajulia mashabiki wa simba ndiyo maana kaweka nguvu kwenye Mo boxxing na pambano la kwanza kati ya Dejan na Okra
Yes tumeajiri fisadi na wala hatuna tabu.Mumeajiri Panya road wa zambia..
Shame
Una mtaro mchafu?habari za kuzibuana mtaro kwenye uzi huu hujazileta siyo? ni kupimwa akili?
Yah na ndiyo maana tumemuajiri huyu fisadiKaria ajipange sana , CEO jumlisha sope takadini bonge la kombinesheni
inaonekana hata ukilala unawaza mambo ya MZEE TOZI na hapo kilabuni kwenu kawekeza ana mke white white tangu miaka ya 90 anamliki chombo hicho ingawa nacho kinajifanya kidume kwa jamiiUna mtaro mchafu?
Siasa za mpira tu mkuu. Hapa Africa ukisha sikia tu kesi ya utakatishaji fedha na madawa ya kulevya weka alama ya kiulizo.Yanga inaonekana hawakufanya due diligence vizuri..kilichobaki kwa mashabiki ni kupamba huyu jamaaa aonekane ndio mzuri anatakiwa...huyu ni mtu wa makando kando Sana ..Iko siku atapiga tukio halafu TFF wamlime mtaanza kusingizia TFF inawaonea...Yanga Kuna uhuni mwingi unafanyika ambao huuoni Simba wakifanya.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app