AIBU: CEO mpya wa Yanga SC alipata kesi ya wizi Zambia, alifungiwa maisha na Chama cha Soka, hajawahi kuwa CEO Mazembe. TFF kazi mnayo

Ndiyo tuendelee nayo sasa.
Nakuletea kanga mbili za simba ubane boga tukuone kwa mbali.
Inaonekana wewe hata lingerie unavaa sana na vikuku juu kila mda unawaza kuzibuana mtaro, hapo kwenu kuna wazibua mtaro hata old trafford wanakupeleka upige picha na ronaldo,wapelekeee budi budi hilo waarabu wenu
 
Inaonekana wewe hata lingerie unavaa sana na vikuku juu kila mda unawaza kuzibuana mtaro, hapo kwenu kuna wazibua mtaro hata old trafford wanakupeleka upige picha na ronaldo,wapelekeee budi budi hilo waarabu wenu
Hapa tayari pua zimekutanuka umepanic 😂😂😂
 
Habari ishasambaa ,kumbuka ilianzia hapa kwa njaakalihatari,ipo insta,twitter wana topolo kapambaneni huko
 
Fanya juu chini ukatibiwe akili
 
Yanga inaonekana hawakufanya due diligence vizuri..kilichobaki kwa mashabiki ni kupamba huyu jamaaa aonekane ndio mzuri anatakiwa...huyu ni mtu wa makando kando Sana ..Iko siku atapiga tukio halafu TFF wamlime mtaanza kusingizia TFF inawaonea...Yanga Kuna uhuni mwingi unafanyika ambao huuoni Simba wakifanya.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Unaumia?
 
NYIE KUMBE CEO MPYA WA YANGA NI PANYA ROAD WA ZAMBIA [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
 
Aisee kazi mnayo leo,hii habari ishapokelewa instagram na twitter nenda kapeleke matusi yako ya kuzibuana mtaro
Haha mashabiki wa simba mko very desperate mnatafuta angle ya kujifariji baada ya kupigwa mabao mfululizo na Yanga.
Swali ni moja tu, huyo CEO wetu mwizi tuliyemwajiri ndiyo atasababisha Simba ipate ubingwa dhidi ya yanga???

Mo ameshawajulia mashabiki wa simba ndiyo maana kaweka nguvu kwenye Mo boxxing na pambano la kwanza ni kati ya Dejan na Okra
 
Karia ajipange sana , CEO jumlisha sope takadini bonge la kombinesheni
 
Una mtaro mchafu?
inaonekana hata ukilala unawaza mambo ya MZEE TOZI na hapo kilabuni kwenu kawekeza ana mke white white tangu miaka ya 90 anamliki chombo hicho ingawa nacho kinajifanya kidume kwa jamii
 
Siasa za mpira tu mkuu. Hapa Africa ukisha sikia tu kesi ya utakatishaji fedha na madawa ya kulevya weka alama ya kiulizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…