Aibu: Israel na ushahidi wa mchongo Gaza

Hata ziwa Nyasa linaiwa ziwa Malawi hivyo lite ni Malawi. Upoyoyo kazi.
wapi linaitwa Ziwa Malawi huku au kule Malawi ? je kuna sheria za kuzuia watu wasiite sehem majina wayatayo?
 
wapi linaitwa Ziwa Malawi huku au kule Malawi ? je kuna sheria za kuzuia watu wasiite sehem majina wayatayo?


Rejea mfanano wa upoyoyo wa hoja ya nyamisi kwenye kutaka kuhalalisha jambo lake:



Usikurupuke.
 
Hata kabla ya wakoloni kuja kutawala Tanzania kulikuwa na machifu kina mkwawa,mangi Meli,kinjekitile Ngwale,Isike sasa nakuuliza kabla ya himaya ya ottomans sijui mwingereza hiyo Palestine ilianzishwa na mfalme yupi,au machifu wao,wafalme alikuwa nani? Mbona Israel inajua historia yake yupo mfalme Daudi, Suleiman,sauli,kina Mussa, Joshua

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Tumwamini nani sasa

 
kwamba Idd na Idf wanafanana ? Idd alifanya sw na Hamas walivyofanya na Idd alikuwa na sababu za kipuuz kama Hamas ila mwisho wa siku waliadhibiwa kwa kuchagua njia mbovu kwenye kufikia malengo yao
Idd amefanya sawa na Israel walichofanya. Wanakalia ardhi ya wapalestina kilazima sasa Hamas wanaipambania mnawaona magaidi ila JWTZ walipofanya mliwaona mashujaa.
 

Huyo psychophant uchwara wa kidini (MK254) mwenye huo uzi kaangaziwa vyema huku ndugu:

Vita ya Hamas na Israel inaonyesha watu walivyo na Imani haba kwa Mungu
 
Hao watoto unakubali umejiridhisha siyo mchongo? Eleza jinsi walivyotegeza.
Hilo shimo hapo hospitali nalo wamechimba wao?. Subirini ni swala la.wakati tu itajulikana kila kitu kilichofichika.
Usiangalie aljazira,tazama na vyanzo vingine vya habari utajua unachokisema.
Sheria ya ulinzi wa hospitali na maeneo mengine ya kijamii, imesema ni makosa kushambulia maeneo hayo, isipokuwa kama adui anatoa maeneo hayo kufanya mashambilizi au maficho yake.
 

Punguza mahaba kuvamia wagonjwa ni uhayawani. Natenyahu amekiri wasio hatia wengi kuuliwa isipokuwa wewe ndugu?
 
Amekiri hivyo lakini makosa ni ya Hamas kwanini wanajificha shuleni,misikitini, hospitalini

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app

Ameshindwa kuthibitisha tuhuma hizo hadi kutengeneza nesi mpalestina wa mchongo kutokea Tel Aviv ..

Bila uthibitisho jambazi fedhwuli kabisa asiyefaa kuwapo duniani ni yeye.
 
Nasikia wanachimba turnel pale Al shifaa Hosipital ili wasingizie turnel la Hamasi πŸ˜„
 
Mitahira humu ni mingi sana , toa wakwako.
 
Nasikia pia wanataka kuwavisha wale maiti nguo za Hamasi waseme wamewaua πŸ˜„

Karibu mtasikia America anatafuta urafiki na Hamasi, ili amsaidie vita yake na mchina.

Israel ananza kukimbiwa sasa taratibu na si ajabu America akamkimbia
 
vita ni vita mura, hata kwa mchongo cha muhimu ni kwamba tumekupiga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…