Aibu kubwa kwa BBC swahili kupitia chaneli ya Star TV kutoonyesha habari ya mkutano wa FOCAC huko China

I don't care nani mfadhili, hoja yangu ni kwamba kujifunza kilimo bora na kuangalia mkutano unaofanyika China kipi bora? Utakula mkutano wewe mtu masikini??
FOCAC una malengo makubwa zaidi ya huo mkutano wa Rwanda....

Hivi unajua kuwa CHINA inanunua sana kahawa yetu ya ROBUSTA na ARABIKA zaidi ya Marekani na Uingereza?!!!

Kahawa haitokani na kilimo ?!!

Halafu kuna mkutano gani ukosao faida ?!!

Mkuu unafeli wapi mwaisa?!! [emoji1787]
 
Wewe una kichaa cha mbwa yaani rabies, unabwaka kama kichaa.

BBC au hao wengine unafikiri wanapata habari bure bure? Au hawaandai? Labda ungenikita na TBC hao ndiyo unawalipa kwa kodi yako
 
China inanunua kahawa kutoka nchi zote duniani. Kiasi inachonunua kwako ni chembe tu yaani negligible
 
Wewe una kichaa cha mbwa yaani rabies, unabwaka kama kichaa.

BBC au hao wengine unafikiri wanapata habari bure bure? Au hawaandai? Labda ungenikita na TBC hao ndiyo unawalipa kwa kodi yako
Argumentum ad hominem...

....kichaa changu cha "Simba dume TL wa kule kizimkazi " [emoji1787]

Umeamka mida yako mibovu ?!! [emoji1787]

Umekuja kumshikia lindo dadangu Erthyrocytes?!!

Siku hizi shemeji yangu anambana sana kwani alitibiwa na dawa ya "kabunguru"...sasa hivi kazi kazi za mida mibovu [emoji1787]

Taratibu....

Kila eneo pesa hutumika....sikuongelea pesa....kwa hiyo BBC hawana ANCHOR* wa habari kubwa za China ?!!!

Halafu acha uongo....unataka kutuaminisha kuwa chombo kama BBC kinaalikwa na lazima kulipwa kitoe TAARIFA?!![emoji1787]

Hata kule kwenye machafuko Palestina ,Sudan ,Kongo [emoji44]

Sawa nimeelewa kuwa WALILIPWA huko Kenya...ili tuzipate habari za GenZ kwani wako kikazi zaidi....KIAJENDA zaidi....

#Kweli watu na AJENDA zao [emoji1787]
 
China inanunua kahawa kutoka nchi zote duniani. Kiasi inachonunua kwako ni chembe tu yaani negligible
Mbango....

Kudos kwa "kuzikita" [emoji1787]

2017-2023 balozi Mbelwa Kairuki alikuwa huko....ungekuwa ni mfuatiliaji wa mambo kumuhusu yeye na "ushajiishaji wake juu ya kahawa yetu" wala usingekuja kiwepesi namna hii ?!!

Shida nini , kunguni ?!!! [emoji1787]
 
Kwa nini hukuangalia TBC?
 
Kwani Mkutano wa Focac si unaanza tarehe 4 sept?
 
BBC wanawaonea huruma kwa mkoloni mpya anaekuja kuwakomoa anaewaita kwake kusaini mikopo na baadae awafilisi
 
bbc ilikuwa zamani,sasa hivi ni sawa na manara tv
 
BBC mlimpa ajira Zuhura mara paap kapigwa chini.

Oops Kikeke sijui njoo uwe bosi sijui wapi, mara papu, Majungu yakamtangulia, sasa tunae humu humu mtaani

Leo BBC eti wawatangaze, aa wapi.
Aisee 😯 kumbe!
 
Viongozi wa Afrika ni wehu mnasafiri masafa marefu kwenda kumuabudu XI PING
 
Tusipangiane maisha Mkuuu,fungua channel yako onyesha unachotakaaa ,pili inaonekana Odemba kumsulubu Nchimbi imekuuma sanaa ,toka lini Odemba anafanya kazi BBC,Odemba ni mwaandishi wa star tv ,na Star tv wako na ushirikiano na BBC miaka mingi sanaa hata kabila wewe hujazaliwa ,achaa unaaaa
 
Kwani lazima watangaze?
Unachotaka wewe sio ulimwengu unataka!
Anzisha BBC yako ukatangaze wewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…