Lamzettttt
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 1,218
- 3,481
Kama kilimo kingekuwa kinalipa,basi mikoa ya Kanda ya ziwa,nyanda za juu kusini ingeongoza kwa kipato kimkoa na mchango kwenye pato la Taifa,lakini unajua mkoa unaoongoza?ni Dar es salaam,mkoa ambao hauna shughuri kubwa za kilimo lakini unachangia asilimia 80 ya pato la Taifa!!
Kwa kila shilingi 100 inayoingizwa kwenye mfuko wa Taifa,asilimia 80 inatoka Dar!!hiyo mikoa inayolima ipo wapi??
Hoja zako kwamba vijana wakiomaliza vyuo waende mikoani,wakamate ardhi(ambayo ipo bwelele)walime,zimekaa kinadhalia tu na ni story za kwenye makaratasi hazina uhusiano na Hari halisi iliyopo kwenye mazingira yao.
Huwezi kutoka hapa ukaenda Katavi,ukachukua ardhi,ukaanza kulima mahindi,ukavuna!na ukapiga pesa ndeefu!?
Mfuko wa mbolea unauzwa 100000Tsh,gunia la mahindi linauzwa 20000Tsh!
Kilimo sio lelemama vipi kuhusu wewe je! ni lelemama au lah?Kilimo unafikiri ni lelemama
Baeleze mazee, maana kuna watu wanatoa maoni kana kwamba kusoma =kazi.Umuhimu wa kusoma ni kuongeza maarifa ili utatue changamoto za maisha.
kama umesoma ili upate kazi na bado una changamoto ya uchumi basi jua hauna akili na kweli hakuna umuhimu wa kusoma.
Upuuzi mtupu huu yani inakatisha tamaaHii ndio shida, mfumo wa elimu na mfumo wa ajira havina mawasliano
Unampeleka mtoto kukaa darasani miaka 17 halafu akitoka huko hamna kazi.... anaishia kuja kumwomba msaada yule ambae hakukaa darasani kabisaaa na kuanza kujifunza kwake kulima na kufuga🙄🙄
Zipo nyingi sana mkuu.Ukiachana na kilimo ni kazi ngapi zingine unaweza kushauri vijana wajiajiri nazo?
Kwani umuhimu wa elimu ni nini?Kwa hiyo unataka kusema hakuna haja ya kuwa na elimu?
Wasomi hamtaki kilimo. Kuweni wakweli msijifiche kwenye changamoto. Kuthihitisha hilo ndiyo maana hata wahitimu wa SUA hatuwaoni mashambani wako kwa masheji zao wanafua boksa wakisubiria kazi.Anabwabwaja anafikiri Kilimo ni KAZI rahisi.Kilimo cha kisasa kinahitaji mtaji,ujuzi na maarifa, Elimu ya ugani nk.Anasema wazee wetu walitusomesha kwa Kilimo chenye tija ipo,unalima heka moja unapata junia kumi za mahindi badala ya junia zaidi ya hamsini.
Nlitaka niseme uvuvi ila watasema watachafuka mno[emoji850]Ukiachana na kilimo ni kazi ngapi zingine unaweza kushauri vijana wajiajiri nazo?
Wewe jamaa nilifikiria una akili kumbe choko tu! Hivi nani ambaye ana hela za kukupa ukajaribu kilimo? Huyo mwenyewe aliekusomesha ameunga unga mpaka ukamaliza chuo nae amepata ahueni apumue sasa!Ukiwa na nia inawezekana kabisa. Omba fedha toka kwa hao wanaokulisha na kukuvisha miaka yote hii ambayo unasubiria qjira.
Ama uza hicho kifaa kinachokuwezesha kuingia humu jf. Pia save hiyo hela ya bando utapata mtaji wa kilimo. Kilimo hwkihitaji mtaji mkubwa ndiyo maana hata bibi ywngu ni mkulima
Sera za ccm ni kuwafanya watz wawe wavivu Ili itawale.Wanasubiri mvua
Hakuna watu wavivu kama Watanzania
Mwanzo mgumu mkuu mkuu. Unapoanza tumia nguvu zako zaidi kama mtaji namba moja, lima, palilia na kuvuna mwenyewe. Wewe ulitumia hela nyingi kwasabb ulilima kwa remote (maagizo).We unafikiri ukiuza smartphone kwa laki 2 tu hio laki 2 utakodi eneo na kununua dawa na petrol ya kumwagilia kwa kipindi chote hicho? Maana mazao ya muda mfupi ni miezi 3-5! Shamba heka nzima utasafishia bila vibarua!
Unaropoka kama vile hujawahi kulima kabisa mwehu wewe! Kilimo ni pesa! Kulima maharage tu acre 2 i wasted almost 2.5m na hio ni kwa uangalizi wa karibu na still nilipigwa usinga nikatoa gunia 8 instead ya 15 ambazo nili expect!
Nilienda mwenyewe daily, Kama ushapasikia mahali panaitwa Kahe!Mwanzo mgumu mkuu mkuu. Unapoanza tumia nguvu zako zaidi kama mtaji namba moja, lima, palilia na kuvuna mwenyewe. Wewe ulitumia hela nyingi kwasabb ulilima kwa remote (maagizo).
Pambana mwenyewe kwa miaka miwili upate mtaji wako halafu kidogo kidogo anza kujiondoa kwenye ushiriki wako wa moja kwa moja
Kwani we mwenzetu umesoma mpaka wapi? Maana hapa sioni kitu chochote cha msaada kwa hao vijana.Vipi huu ni mchambo ama ni kitu gani? Kingine hiyo ardhi unayosema ni kuwa inatolewa bure au vipi? Kama inatolewa bure unaweza wasaidia wapi inapatikana wakalime au kwa sababu we umezaliwa ukakuta mababu zako wana mashamba ukahisi kila mtu anayo hiyo fursa.Hivi wewe ambaye unajiita umesoma halafu inalalamika kuwa huna kazi, unafahamu kwamba unajidhalilisha?
Acha wakose kazi vijana wa Ulaya na Marekani huko lkn siyo hapa Tanzania. Ardhi yenye rutuba isiyohitaji mbolea imejaa tele kwann usijiajiri kwenye kilimo?
Ardhi ya bure ipo tele katika mikoa ya Tabora, Katavi, Tanga, Ruvuma, n.k.
Kwani lazima ukae mjini? Mbona watanzania zaidi ya 80% wamejiajiri ktk kilimo tena wengi wao hawana madigrii kama ninyi lkn maisha yanasonga na ni watulivu wala hawapigi kelel za kukosa ajira.
Wengi wenu mmesomeshwa na wazazi wenu ambao ni wakulima wasiokuwa na elimu. Hawajawahi kuajiriwa na yeyote maisha yao yote.
Mmerogwa na nani ninyi mnaoenda shule? Kama hizi shule na vyuo mnavyoenda ndiyo vinawapeni huu ujinga mm nashauri zifutwe.
Kuna vijana chungu nzima walioishia darasa la saba wanaendeleza maisha kwa kilimo na shughuli nyingine hatusikii wakililia ajira. Wewe msomi umesoma halafu unalia. Usingesoma je? Jinga kabisa!
View attachment 1974112
Una elimu gani hiyo mdogo wangu?yani na elimu yetu tulime, umuhimu wa kusoma upo wapi
Acre kukodi ni 150K mpaka 200K kulingana na location yake na umbali toka mtoni.Wasomi hamtaki kilimo. Kuweni wakweli msijifiche kwenye changamoto. Kuthihitisha hilo ndiyo maana hata wahitimu wa SUA hatuwaoni mashambani wako kwa masheji zao wanafua boksa wakisubiria kazi.
Kusema kwamba hukufundishwa kilimo ndiyo maana hulimi ni uwongo wa shetani kabisa. Kuna wahitimu wanafanya umachinga, bodaboda, na udalali. Nani aliwafundisha?
Dah mrembo hapa umenogeshaa...!!Zama zimebadilika. Nao wabadilike,vinginevyo wataishia kudeki na kufua nguo za mashemeji zao huku wakiwa na miaka 30
Everybody needs a little somethn for them to be independent! Nobody just grew up and became independent! ~ Tafakari za Genius Tupac Shakur atleast uta gain kitu mzee! Amna mtu alianza akatoboa tu bila support hakunaaa!!!Mwaka 2007 kuna kitabu nilisoma na nikaambiwa ili ufanikiwe unahitaji MTAJI, kitabu kikasema tena namna RAHISI KABISA ya kupata mtaji ni kwa kutumia ARDHI
Na nikaambiwa utajiri (maana ndiyo mnapenda kuita ndiyo mafanikio) unapatikana popote iwe ni mjini au kijijini
Mpaka leo bado nakubaliana na kitabu hiki na ni kweli kwa asilimia 100.