Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna akili. Wewe unataka kuwa na misimamo juu ya ukristo kuliko hao wazungu waliokuletea huo ukristo? Inawezekanaje sikio kuzidi kichwa?! Haijawahi kutokea.Ukristo unakoelekea ni kama ulaya, makanisa ya ulaya hayakua na misimamo, matokeo yake makanisa yamegeuka kituko watu wameacha kwenda,
Misimamo !! Misimamo !! Misimamo !!
Uovu ukemewe sio wa kuukalia kimya !!
Ukristo siyo dini.Siku zote huwa nasema Dini za kikristo nyingi zinageuka kuwa kituko kwasababu hakuna misimamo ya kukemea maovu, vitu vinachukuliwa poa kwa kisingizio kwamba kila mtu ana maamuzi yake,
mtu kaenda kutubu kanisani dhambi zake za uzinzi na kutafuta njia ili kuziepuka lakini kanisa linaruhusu mabinti kuingia huku wamevaa magauni yanayowachora shepu, ni sawa na mraibu wa dawa za kulevya kupelekwa sober house inayoruhusu kutumia madawa.
It's BusinessSiku zote huwa nasema Dini za kikristo nyingi zinageuka kuwa kituko kwasababu hakuna misimamo ya kukemea maovu, vitu vinachukuliwa poa kwa kisingizio kwamba kila mtu ana maamuzi yake,
mtu kaenda kutubu kanisani dhambi zake za uzinzi na kutafuta njia ili kuziepuka lakini kanisa linaruhusu mabinti kuingia huku wamevaa magauni yanayowachora shepu, ni sawa na mraibu wa dawa za kulevya kupelekwa sober house inayoruhusu kutumia madawa.
Maandiko yanataka Mkristo asifanane na watu wa kidunia kuanzia mavazi, chakula,nk
Dhehebu lilianzishwa na mwanadamu unategemea nini? Wasabato wamepotoka sana, yani ni aibu ata kuwaita wakristo. Ni cult kama ilivyo ya Mackenzie wa kenya au siloamNi moja ya kanisa linaloendelea kufuata sheria za agano la kale ikiwemo kuheshimu sheria zilizowekwa na Mungu kuhusu uchambuzi wake wanyama wa kula pamoja na kuendelea kuamini Pombe ni chukizo kwa Mungu, Siku yao ya kuabudu ni Jumamosi kama ilivyo kwa wayahudi wanaofanya hivyo tangu enzi za kale (Sijajua uhalali wa wao kuona ndio siku ya sabato)
Ila sasa kuna baadhi ya sheria wameanza kupwaya.
Miaka ya 90s na 2000s mwanzoni nilishuhudia familia kibao watoto wakinyolewa kinyozi alikazwa kuwachonga nywele, Lakini leo hii ukienda makanisa ya wasabato utaona mpaka wachungaji wamepiga panki na kuzichonga nywele, kidevuni wamechonga ndevu kwa mtindo wa O.
Huyu ni mojawapo wa kundi la wachungaji wengi wa kisabato wanaochonga nywele na ndevu.
View attachment 2778741
Pia mabinti wengi sana walikuwa hawasuki wala kuvaa hereni waliamini kwa
mujibu wa Nyaraka za Mitume- Paulo na Petro, KUSUKA kumetizamwa kama MAPAMBO, Kwa mujibu wa Biblia, MAPAMBO MAZURI ni Tabia Njema, utu wa Moyoni, kuvaa kwa kujisitiri, kujikubali uumbaji wako bila kujitoboa (hereni), kuchora tattoo, ama kubadili mtindo wa nywele ulizoumbiwa mfano kuzirefusha nywele fupi kwa kuzisuka rasta.
, lakini leo hii imeshakuwa kawaida kuwakuta hereni zinaninginia masikioni na kila wiki/mwezi msuko mpya.
View attachment 2778744
Ni moja ya kanisa linaloendelea kufuata sheria za agano la kale ikiwemo kuheshimu sheria zilizowekwa na Mungu kuhusu uchambuzi wake wanyama wa kula pamoja na kuendelea kuamini Pombe ni chukizo kwa Mungu, Siku yao ya kuabudu ni Jumamosi kama ilivyo kwa wayahudi wanaofanya hivyo tangu enzi za kale (Sijajua uhalali wa wao kuona ndio siku ya sabato)
Ila sasa kuna baadhi ya sheria wameanza kupwaya.
Miaka ya 90s na 2000s mwanzoni nilishuhudia familia kibao watoto wakinyolewa kinyozi alikazwa kuwachonga nywele, Lakini leo hii ukienda makanisa ya wasabato utaona mpaka wachungaji wamepiga panki na kuzichonga nywele, kidevuni wamechonga ndevu kwa mtindo wa O.
Huyu ni mojawapo wa kundi la wachungaji wengi wa kisabato wanaochonga nywele na ndevu.
View attachment 2778741
Pia mabinti wengi sana walikuwa hawasuki wala kuvaa hereni waliamini kwa
mujibu wa Nyaraka za Mitume- Paulo na Petro, KUSUKA kumetizamwa kama MAPAMBO, Kwa mujibu wa Biblia, MAPAMBO MAZURI ni Tabia Njema, utu wa Moyoni, kuvaa kwa kujisitiri, kujikubali uumbaji wako bila kujitoboa (hereni), kuchora tattoo, ama kubadili mtindo wa nywele ulizoumbiwa mfano kuzirefusha nywele fupi kwa kuzisuka rasta.
, lakini leo hii imeshakuwa kawaida kuwakuta hereni zinaninginia masikioni na kila wiki/mwezi msuko mpya.
View attachment 2778744
Shida ya kizazi hiki ni kizazi kilicho athiriwa na mawazi ya ngono hivi mwanaume kuongozana na mwanaume mwezako huku mmeshikana mikono ni kuchochea ushoga? au ni agapeHao si wanaukubali ushoga wazi wazi?
View attachment 2778811
Janja2 kama wale wanakobasi.Ni moja ya kanisa linaloendelea kufuata sheria za agano la kale ikiwemo kuheshimu sheria zilizowekwa na Mungu kuhusu uchambuzi wake wanyama wa kula pamoja na kuendelea kuamini Pombe ni chukizo kwa Mungu, Siku yao ya kuabudu huanza ijumaa jioni hadi jumamosi kama ilivyo kwa wayahudi wanaoabudu siku hio kwa kuiita shabat (Sijajua uhalali wa wao kuona ndio siku ya sabato)
Ila sasa kuna baadhi ya sheria wameanza kupwaya.
Miaka ya 90s na 2000s mwanzoni nilishuhudia wasabato wengi wakienda kunyoa walikuwa wanakataa kuchongwa mpaka wakajipatia umaarufu wa mtindo wao kuitwa "kunyoa kisabato", Lakini leo hii hali ni tofauti, ukienda makanisa ya wasabato utaona mpaka wachungaji wamepiga panki na kuzichonga nywele, ndevu wamechonga kwa mtindo wa O.
Huyu ni mojawapo wa kundi la wachungaji wengi wa kisabato wanaochonga nywele na ndevu.
View attachment 2778741
Pia mabinti wengi sana walikuwa hawasuki wala kuvaa hereni waliamini kwa
mujibu wa Nyaraka za Mitume- Paulo na Petro, KUSUKA kumetizamwa kama MAPAMBO, Kwa mujibu wa Biblia, MAPAMBO MAZURI ni Tabia Njema, utu wa Moyoni, kuvaa kwa kujisitiri, kujikubali uumbaji wako bila kujitoboa (hereni), kuchora tattoo, ama kubadili mtindo wa nywele ulizoumbiwa mfano kuzirefusha nywele fupi kwa kuzisuka rasta.
, lakini leo hii imeshakuwa kawaida kuwakuta hereni zinaninginia masikioni na kila wiki/mwezi msuko mpya.
View attachment 2778744
Kwanza mwambie awaangalie wanawake wa kiislam Saudi Arabia, Dubai, Qatar na Egypt ya leoWewe si ni mvaa kobazi.. Diamond Platnumz anafanyeje, Hamisa Mobetto anavaaje, Zari the Bosslady anavaaje...
Wavaa kobazi ndio wanaongoza kwa kuvaa Heleni, kuchora tatuu, kwenda maklabu, wanawake wao ndio wanaongoza kwa umalaya, angalia kina zuchu, wanapigwa pumbu tu awaolewi
Kwani Mungu alianzisha dhehebu.Dhehebu ni jamii ya watu wenye shauri moja,hata mm na ww tukiwa na shauri moja hilo ni dhehebu.Sema hilo halitachukuliwa hivyo sababu ya mifumo ambayo iko established.Ila ndani ya dhehebu moja formal,ndani yake kuna madhehebu mengi informal.Dhehebu lilianzishwa na mwanadamu unategemea nini? Wasabato wamepotoka sana, yani ni aibu ata kuwaita wakristo. Ni cult kama ilivyo ya Mackenzie wa kenya au siloam