Aibu kwa kampuni ya Cocacola, fanta ndani ina kisoda kilichokunjwa

Aibu kwa kampuni ya Cocacola, fanta ndani ina kisoda kilichokunjwa

Hawa ndio wachawi wenyewe . Wafuate uwajulishe wakulipe . Umeleta huku upate nini sasa
 
Habarini wadau....
Leo nimenunua kreti la soda kampuni ya Cocacola, wakati nataka kunywa soda nakutana na chupa Moja ikiwa ndani na kisoda kilichokunjwa.... Ina maana wakati wa package hii kitu haikuonekana au kampuni haiko serious sana kwa Sasa.
This means hizi chupa huwa hazisafishwi kabla ya kujazwa vinywaji kwa mara nyingine
 
Habarini wadau....
Leo nimenunua kreti la soda kampuni ya Cocacola, wakati nataka kunywa soda nakutana na chupa Moja ikiwa ndani na kisoda kilichokunjwa.... Ina maana wakati wa package hii kitu haikuonekana au kampuni haiko serious sana kwa Sasa.
dah mpka leo unatumia plastiki sebuleni kwako asee tafuta pesa na hako kakochi mbona kamesinyaa hivyo kitambaa cha bei chee au sio
 
Hii soda ipo na haijafunguliwa. Siwezi fanya jambo kama Hilo Mzee, binafsi nimeshangaa sana kuona upuuzi kama huu tena kwa kampuni kubwa kama Coca cola

Nani anachafua biashara ya mtu...sijaweka kwa Nia ya kuchafua biashara, nimeweka kwani ndo mara ya kwanza nakutana na hiki kitu. Punguza mihemko jamaa.

Kwann chupa zako umezipost kuanzia tumboni kushuka,kwani kule juu unatuficha nini?
Wewe ni mfanyakazi wa Kampuni ya PEPSI?
 
swala la kukuta kizibo sio ww tu watu washakuta mjusi mweupe kapozi zake ndani ya chupa kiufupi kuna muda wanajisahau..
hata ma QC kuna muda hawaajiriwi wa kutosha hivyo hufamya kazi kuwa ngumu mtu analipua kazi ilimradi masaa yake 8 yaishe asepe........ hapo cha msingi ni kuchukua hiyo chupa ipeleke kiwandani kwao alafu watakupa muongozo au peleka kwa mamlaka ya kudhibiti ubora wa chakula wakupe muongozo.....

hivyo visoda vyenyewe sikuhizi wamepunguza ubora vinashika kutu haraka sana inamaana hapo hakikosi chembe za kutu ukinywa huenda ukapata madhara....
 
Mawazo mfu sana haya....sijasema nahitaji kulipwa wala Nini, ila nimeweka kwa lengo la kujifunza hivi vitu, kwani ni mara ngapi unaweza nunua soda na kukuta chupa imepasuka kidogo mdomoni au kukuta kutu?
Kupasuka Kwa chupa kunasababishwa na mambo mengi,
1. Wakati WA ushushaji, ambapo wengi huwa wanarudia rusha zile creti
2. Wakati WA usafirishaji, tho mara nyingi ni rare coz chupa hazikutani na wala chupa hazibeni creti la juu, zinakutana crates. Zile crate za zamani fupi ndo zilikuwa zinaleta Hilo tatizo, coz chupa ndo zilikuwa zinabeba crate la juu.
3. Ufunguaji mbaya WA soda au beer.
Kutu mara nyingi inasabishwa na uhifadhi mbaya WA hivyo vinywaji. Deport nyingi au wale agents wakubwa huwa Wanamaeneo madogo ya uhifadhi, unakuta wanapanga hizo crates Hadi sehemu isiyokuwa na vikingio vya jua au mvua. Na mara nyingi hizo cases za kutu hutokea sana kipindi cha mvua.

Note: Viwanda vya vinywaji wanayo technolojia inayoweza kutambua na kureject haya yafuatayo;
  • soda au beer au kinywaji kikichojaa zaidi( overfill)
  • kilichopungua ( underfill)
  • yenye uchafu ndani ( chupa kabla haijajazwa na iliyojazwa kinywaji)
  • chupa illovunjika
  • chupa iliyoregea kizibo/ kifuniko
➡️Licha ya technologia kuna watu pia ambao wanafanya physical verification.
Sasa sioni chances ya kutoka huo ujinga hapo unataka kutuaminisha.
➡️Kama unauhakika na Hilo Jambo nenda kacomplain kiwandani kwao au Kwa agent wao, wanafanya verification kama ni complain ya uhalali watakurefund.
 
Habarini wadau....
Leo nimenunua kreti la soda kampuni ya Cocacola, wakati nataka kunywa soda nakutana na chupa Moja ikiwa ndani na kisoda kilichokunjwa.... Ina maana wakati wa package hii kitu haikuonekana au kampuni haiko serious sana kwa Sasa.
😜😁😁😁😁😁
 
Sasa inakuaje soda mpaka inaingia sokoni Ina kisoda kwa ndani.
Ujinga mwingi, kuna wengine wanafanya hayo wakidhani watalipwa. Wakati mwingine ni sabotage unayofanya na rivals, ili wateja wahamie kwake
 
Sinywi tena soda, watu wameshakalia chupa, kisha unakua kuigida, kumbe umepiga denda PAPA ya mdada m1 😂
Kuna hatuna kama 1000 hivi chupa huwa inapita kwenye kusafishwa kabla haijawekea soda au kinywaji kingine. Chips inasafishwa na kuhakikiwa zaidi ya vyombo vyako nyumbani
 
Bro hiyo yako nyepesi mimi nilisha kutana na makohozi kwenye coca paka leo soda za chupa no labla take away
 
hivyo visoda vyenyewe sikuhizi wamepunguza ubora vinashika kutu haraka sana inamaana hapo hakikosi chembe za kutu ukinywa huenda ukapata madhara....
Castle lite wamezidi, visoda vyao kuwa na kutu, nilikuwa napenda sana kunywea beer kwenye chupa ila sasa natumia glass.

Chupa zao zina kutu zinazosababishwa na visoda duni.
 
Back
Top Bottom