Aibu kwa kampuni ya Cocacola, fanta ndani ina kisoda kilichokunjwa

Aibu kwa kampuni ya Cocacola, fanta ndani ina kisoda kilichokunjwa

Hii ni kweli...mimi imenitokea mara mbili sikumbuki hata ni kampuni gani. Mbaya zaidi hata hiyo soda ikatokea bahati mbaya umekunywa ni mbovu kabisa. So sio kwamba nikuharibu biashara hapana, Ila huo ni ukweli mm binafsi imenitokea. Na inaweza tokea hata kwa kampuni yoyote sio lazima coca.
 
Ina maana awa waduwanzi hawasafishi chupa ama.

Halafu style ya kung'ata kisoda na kutia kwenye soda nimeizoea kweli, nisipoweka kisoda kupunguza gesi, basi ujue humo natia karanga.
Ngoja utawaambia hao koka kuliwa ilikuaje ukatia kisoda🤗
 
Marketing Competition Sabotage. Naona Wapinzani wao wakubwa wa Vingunguti nao safari hii wamelipa Kisasi chao.
Ila tuache utani nimewahi kuta kipande cha limao kwenye chupa ya bia fulani,na sijui ina kuwaje,ila nilifikisha malalamiko kwa aliye nihudumia,kwa kuwa na mimi nilikuwa na karibia kuimaliza bia yenyewe nikaona poa tukwani sikutambua hata tofauti kwenye ladha.
 
Watu wanapenda sana kuchafulia wenzao biashara ndiyo maana hatuendelei. Kila siku utasikia coca cola sijui haifai kwa matumizi mara inasukari nyingi mara sijui nini hii ni mbinu adui anatumia kumuharibia mwenzio biashara. Sawa ajali kazini tunaendelea kunywa product ya coca cola mboba mabasi yakipata ajali tunapanda bado ? Acheni kuharibu brand za wenzenu. Na kweli kaleta na kapicha kake kwa nini usiwafate coca wenyewe uwaeleze wachukue hatua kama ni kweli.
Watu wanapenda sana kuchafulia wenzao biashara ndiyo maana hatuendelei. Kila siku utasikia coca cola sijui haifai kwa matumizi mara inasukari nyingi mara sijui nini hii ni mbinu adui anatumia kumuharibia mwenzio biashara. Sawa ajali kazini tunaendelea kunywa product ya coca cola mboba mabasi yakipata ajali tunapanda bado ? Acheni kuharibu brand za wenzenu. Na kweli kaleta na kapicha kake kwa nini usiwafate coca wenyewe uwaeleze wachukue hatua kama ni kweli.
Kwhyo kama ni ajali isireportiwe mbona ajali za magari zinarepotiwa !? Na ukienda kuwaeleza CocaCola wenyewe ww Mwananchi huku utakuwa vp makini hao Coca hawawez kukuambia wewe uwe makini .

Hakuna atakae kuharibia brand endapo unajua umuhimu wake kama wakiendelea hvo lazma wajiharibie brand na sio kuharibiwa.
 
Huu mchezo wa kukunja kisoda kumbe wengi wanao. Ka mchezo flani amazing🤣🤣🤣🤣
Kwani hiyo soda unaiosha ndio unywe?
Najiuliza tu kuwa unawezaje kukunja kizibo kichafu halafu utumbukize kwenye soda halafu unywe? ndio sababu magonjwa ya tumbo hayaishi
 
Nashukuru Nimeweza kujizuia kunywa soda ndani ya miezi miwili nimekunywa soda mbili tu
 
Mkuu wapi nimesema huwa naweka kisoda kilichokunjwa kukiwa na soda humo kwenye chupa?
Kwani hiyo soda unaiosha ndio unywe?
Najiuliza tu kuwa unawezaje kukunja kizibo kichafu halafu utumbukize kwenye soda halafu unywe? ndio sababu magonjwa ya tumbo hayaishi
 
Back
Top Bottom