Aibu kwa kampuni ya Cocacola, fanta ndani ina kisoda kilichokunjwa

Aibu kwa kampuni ya Cocacola, fanta ndani ina kisoda kilichokunjwa

Mimi nishakut uchafu kwa soda mbili,

Tatzo tz cc waoga , inapaswa uwashitak upge ela
 
Habarini wadau....
Leo nimenunua kreti la soda kampuni ya Cocacola, wakati nataka kunywa soda nakutana na chupa Moja ikiwa ndani na kisoda kilichokunjwa.... Ina maana wakati wa package hii kitu haikuonekana au kampuni haiko serious sana kwa Sasa.
Pole. Mitambo ya Kuosha Chupa inafanya kazi yake kama kawaida hivyo shaka la kuwa umekunywa Product ambayo sio rafiki kwa Afya ya Binadamu aipo. Mitambo yote dunia ya kisafisha Chupa aina uwezo wa kutoa Kisoda kilichoingizwa kwa Makusudi na mtu kama hiki kwenye Chupa yako.Pole sana
 
Pole. Mitambo ya Kuosha Chupa inafanya kazi yake kama kawaida hivyo shaka la kuwa umekunywa Product ambayo sio rafiki kwa Afya ya Binadamu aipo. Mitambo yote dunia ya kisafisha Chupa aina uwezo wa kutoa Kisoda kilichoingizwa kwa Makusudi na mtu kama hiki kwenye Chupa yako.Pole sana
Haipo
Haina.
 
Watu wanapenda sana kuchafulia wenzao biashara ndiyo maana hatuendelei. Kila siku utasikia coca cola sijui haifai kwa matumizi mara inasukari nyingi mara sijui nini hii ni mbinu adui anatumia kumuharibia mwenzio biashara. Sawa ajali kazini tunaendelea kunywa product ya coca cola mboba mabasi yakipata ajali tunapanda bado ? Acheni kuharibu brand za wenzenu. Na kweli kaleta na kapicha kake kwa nini usiwafate coca wenyewe uwaeleze wachukue hatua kama ni kweli.
Kuchafuana ni kubaya Ila tuje koka ama soda Ina faida gani kiafya. Ila sijapenda suala la kuchafuana kibiashara Ila napenda tuongelee kuwa Ni Nani ameshawahi shauriwa na daktari kuwa kunywa soda ama unayo mapungufu ya kutokunywa soda ivyo kunywa soda nyingi.

Sukari yake unajua concentration ni ngapi?

Njoo kwenye acidic or alkaline unajua Iko range ya ph ya ngapi?
Njoo uangalie na ph ya mwili inatakiwa iwe ngapi kiafya ama Ile natural body pH ambayo mwili unastahili kuwa maintained.

Elewa chakula Cha mother nature chote ni alkaline vyote Ila vya man made ni acidic.

Elewa kuwa ukiweza ku maintain body pH katika 7.36 huwezi ugua kamwe.

Mana acidic medium ndiyo ambayo Ina favor magonjwa mengi mno ikiwemo na kansa inastawi katika acidic media.


Lete reasons na tafiti za kisayansi na kibailojia na sio kuwa kwa hisia.


Sijapenda kuchafuana na icho kisoda kinaweza kilikuwemo ama hakikuwemo ukweli anaujua mleta maada na aliye juu ndiye anakuona kila kitu mpaka mawazo yake.
 
dah mpka leo unatumia plastiki sebuleni kwako asee tafuta pesa na hako kakochi mbona kamesinyaa hivyo kitambaa cha bei chee au sio
Yap mkuu natumia plastiki...na pia kitambaa kimesinyaa.....kama unaweza kubattle sema...hivi nimetafuta kwa jasho langu and am happy kwa maisha nayoishi.....Nina pesa tofauti na unvofikiria
dah mpka leo unatumia plastiki sebuleni kwako asee tafuta pesa na hako kakochi mbona kamesinyaa hivyo kitambaa cha bei chee au sio
 
Yap mkuu natumia plastiki...na pia kitambaa kimesinyaa.....kama unaweza kubattle sema...hivi nimetafuta kwa jasho langu and am happy kwa maisha nayoishi.....Nina pesa tofauti na unvofikiria
pesa zinaemdana na thamani ya vitu unavyomiliki😂😂😂😂 bato ya nini kusema tu ukweli basi unalia lia dah...... kweli una pesa chche kuliko ninavyofikiria....



badilika mkuu plastiki ni vyombo vya mateja
 
Uo ni Ushamba kwa Wananchi unatumbukizaje kisoda ndani ya chupa
 
Habarini wadau....
Leo nimenunua kreti la soda kampuni ya Cocacola, wakati nataka kunywa soda nakutana na chupa Moja ikiwa ndani na kisoda kilichokunjwa.... Ina maana wakati wa package hii kitu haikuonekana au kampuni haiko serious sana kwa Sasa.

Hivi bado unakunywa soda
 
Kuna mashine za ku detect ina maana imepita kote na kisoda ndani mmh
 
HIZO NI MBINU TU ZA KUCHAFUANA KIBIASHARA/PROPAGANDA.
KAMA ULIWAHI KUPITA KWENYE VIWANDA VYA KINYWAJI UKAONA NI JINSI GANI VINAVYOZALISHWA UTAGUNDUA HAKUNA UWEZEKANO WOWOTE WA HICHO KISODA KUINGIA KWENYE CHUPA HALAFU IJAZWE SODA HICHO KITU HAKIPO,HUO NI USANII TU UMEFANYWA NA MTU FULANI KWA MASLAHI YAKE BINAFSI.
NGOJA NIWAFAFANULIE KIDOGO PROCESS INAVYOFANYIKA KIWANDANI BAADAE MTAKUBALIANA NA MIMI KWAMBA HICHO KITU NI IMPOSSIBLE.
KRETI ZA CHUPA ZILIZOTOKA MTAANI ZINAKUWA ZIMELETWA KIWANDANI ZIKIWA NA CHUPA FULL ZINAWEKWA KWENYE MASHINE INAITWA BOTTLE UNPACKER KAZI YA HII MASHINE INAZITOA CHUPA KUTOKA KWENYE KRETI NA KUZIWEKA KWENYE CONVEYOR BELT(MKANDA) KISHA HIZO CHUPA ZITASAFIRISHWA NA MKANDA NA KUINGIA KWENYE MASHINE INAITWA BOTTLE WASHER AMBAYO KAZI YAKE NI KUZIOSHA HIZO CHUPA KWA KUTUMIA CAUSTIC SODA(UCHAFU WA AINA ZOTE UTAONDOLEWA IKIWEMO LEBO YA KARATASI KAMA IPO ITAONDOKA) KISHA ITASUUZWA NA MAJI,BAADA YA HAPO CHUPA ZINATOKA NA KUSAFIRISHWA NA CONVEYOR BELT HADI KWENYE MASHINE INAITWA EBI(EMPTY BOTTLE INSPECTOR) AMBAYO HII MASHINE KAZI YAKE NI KUIKAGUA CHUPA KAMA INA UCHAFU WOWOTE ULIOBAKIA NDANI NA NJE YA CHUPA NA KAMA CHUPA INA UCHAFU WOWOTE INATUPWA PEMBENI YA MKANDA NA KURUDISHWA TENA KWENYE BOTTLE WASHER KWA AJILI YA KUOSHWA TENA NA ZILE CHUPA AMBAZO ZIKO SAFI ZINAENDELEA MBELE NA KUINGIA KWENYE FILLING MACHINE(MASHINE YA KUJAZA) HAPA CHUPA INAJAZWA SODA INATOKA NJE YA MASHINE NA KUENDELEA MBELE AMBAPO ITAKUTANA NA MASHINE NYINGINE INAITWA FBI(FULL BOTTLE INSPECTOR) AMBAYO KAZI YA HII MASHINE NI KUKAGUA CHUPA ILIYOJAZWA SODA KAMA INA UNWANTED PARTICLES/UCHAFU WOWOTE NDANI YA SODA NA IKITOKEA KUNA UCHAFU WOWOTE NDANI YA SODA ITATUPWA NJE YA MKANDA AMBAZO SODA HIZI ZENYE UCHAFU BAADAE WAFANYAKAZI WANAFUNGUA NA KUZIMWAGA HALAFU ZILE SODA AMBAZO NI SAFI HAZINA DOSARI ZINAENDELEA MBELE NA BAADA YA HAPO KUNA WAFANYAKAZI WANASIMAMA KUKAGUA QUALITY YA FINAL PRODUCTS ILI IKITOKEA MASHINE IMEPATA HITILAFU IKASHINDWA KUONA WAWEZE KUGUNDUA BIDHAA YENYE DOSARI KABLA HAZIJAPAKIWA KWENYE KRETI.
NA MBALI NA HIVYO WALE MACHINE OPERATORS PIA WANAKUWA NA QUALITY CHECKLIST FORMS ZA KUJAZA REPORT YA KILA LISAA LIMOJA KUHUSU UBORA WA BIDHAA ZILIZOPITA KWENYE MASHINE YAKE.
SO UKIANGALIA HII PROCESS YOTE JINSI ILIVYO HAKUNA UWEZEKANO WA CHUPA YA SODA KUFIKA SOKONI IKIWA NA KIZIBO NDANI
 
Hakuna sabotage ni negligence tu ya wafanyakazi.
Imetokea kwa kiwanda cha Boeng kwa wazungu vipi itakuwaje huku kwetu kwa waswahili?
 
pesa zinaemdana na thamani ya vitu unavyomiliki😂😂😂😂 bato ya nini kusema tu ukweli basi unalia lia dah...... kweli una pesa chche kuliko ninavyofikiria....



badilika mkuu plastiki ni vyombo vya mateja
Ni mtazamo wako mkuu....
 
Back
Top Bottom