AIBU: Mzee Dialo unasuburi nini kuuza hivi vyombo Star TV, RFA na Kiss FM?

AIBU: Mzee Dialo unasuburi nini kuuza hivi vyombo Star TV, RFA na Kiss FM?

Biashara ya redio na TV kwa sasa ni ngumu mno. Hakuna TV wala radio station wanaokula bata. Labda vyombo vya habari vya serikali tu. Huku kwingine mambo yashaharibika kufuatia ukuaji wa social media. Watangazaji na waandishi wa habari wa magazeti hulipwa hela kidogo.
Magazeti na radio kwa sasa siyo biashara. Ni kama ilivyo kwa sinu za mezani. Hata TV nazo zinachehemea sana.
 
Wenye media zao wanatakiwa wabadilike na mabadiliko ya teknolojia.
Wakitaka ku survive wajiongeze sana kwa kubuni products mpya kadri ya mahitaji ya jamii

Wakisema wakae kimya au walalamike tuu wamekwisha
Mambo yashaharibika kabisa Mama D. Wengi wa waliofungua redio stations kwa kufuata mkumbo wanajuta. Ukiachilia mbali social media kuwavuruga ila pia ushindani umekuwa mkali kupitiliza. Zamani kwenye kipindi unakuwa na mtangazaji mmoja tu ambaye pia ndo anakuwa DJ lakini siku hizi utakuta Wasafi au Clouds wanakuwa na watu hata watano kwenye kipindi kimoja. Na katika hao watu karibu wote ni maarufu mno.
 
Tatizo la hivi vyombo binafsi ni malipo ya mshahara na posho. Nani atataka kwenda kukauka njaa? Sahara media ni kampuni kubwa ila haina hela za kuwalipa wafanyakazi wake, hata pascal mayala gwiji wa tasnia ya habari akipelekwa kuongoza pale hataweza kama hakuna fedha
 
View attachment 2467673
Miaka mitatu iliyopita tuliweka hili bandiko kwa kinachoendelea pale Mwanza kuhusu RFA, Kiss FM na StarTV palipokuwa na mgomo baridi.

Week hii kabla ya kufunga mwaka nashangaa tena, ni full gospel na muziki aina nyingine ukipigwa non stop na hakuna matangazo, nilimpigia simu mdau wangu pale akanitonya kuwa ni mgomo umeamka tena, wafanyakazi hawana mshahara miezi kadhaa sasa.

Muite huyu mzee kijana

Pascal Mayalla atakuendeshea kwa ufanisi kazi yako kusuburi mrejesho mwisho wa mwaka.

Dialo anaogopa nini kuuza hivi vyombo au kuingia mkataba na wawekezaji?.
Nasikia pia ana kimeo cha million 800 CRDB , sijui sasa itakuwaje
 
Afadhali RFA, Kuna viredio vya fm mikoani na wilayani vinalipa waandishi na watangazaji wao mishahara ya ajabu. Unakuta mtangazaji wa kipindi ni hodari kwelikweli kuendesha kipindi chake ila anacholipwa ni aibu kukitaja. Ukute mwandishi na mtangazaji wamesoma mpaka ngazi degree wanalipwa mshahara usioendana na kiwango cha elimu zao.
 
Biashara ya redio na TV kwa sasa ni ngumu mno. Hakuna TV wala radio station wanaokula bata. Labda vyombo vya habari vya serikali tu. Huku kwingine mambo yashaharibika kufuatia ukuaji wa social media. Watangazaji na waandishi wa habari wa magazeti hulipwa hela kidogo.
Hii ndio nafasi sasa ya kwenda kumpata Odana Madai wa ITV, my crush
 
Dialo sikujua km ni mpuuzi kiasi kile

Magufuli alimsaidia kwenye mkwamo kuokoa sahara media isifilisike

Magufuli alivyofariki akaitisha Sahara media kumtukana magufuli

Alijua kumtukana magufuli kutamfanya apendwe na samia

Samia amelitupa mbali lipambane na hali yake na limepokonywa uenyekiti wa ccm mkoa
Lishenzi sio au
 
View attachment 2467673
Miaka mitatu iliyopita tuliweka hili bandiko kwa kinachoendelea pale Mwanza kuhusu RFA, Kiss FM na StarTV palipokuwa na mgomo baridi.

Week hii kabla ya kufunga mwaka nashangaa tena, ni full gospel na muziki aina nyingine ukipigwa non stop na hakuna matangazo, nilimpigia simu mdau wangu pale akanitonya kuwa ni mgomo umeamka tena, wafanyakazi hawana mshahara miezi kadhaa sasa.

Muite huyu mzee kijana

Pascal Mayalla atakuendeshea kwa ufanisi kazi yako kusuburi mrejesho mwisho wa mwaka.

Dialo anaogopa nini kuuza hivi vyombo au kuingia mkataba na wawekezaji?.
Unamshauri kuuza, wewe au baba yako alimsaidia kuanzisha!?
 
Sasa hizi Media si huwa wanapewa tender za matangazo na makampuni. Ina maana Media kama Wasafi ilivyo na matangazo ama Clouds Media group halafu waseme hela za kulipa wafanyakazi hawana si vituko hivyo.
Ni vituko hasa, clouds wana vichwa kama PJ, Mkazuzu, Prisca Kishamba, Edgar Kibwana, Amina Ally na wengine wengi kwa umahiri wao wa kuongoza vipindi ukute wanalia njaa ni aibu kubwa. RFA wanasikika nchi nzima ni aibu kushindwa kuwalipa watangazaji wake
 
ni vituko hasa, clouds wana vichwa kama pj, mkazuzu, prisca kishamba, edgar kibwana, amina ally na wengine wengi kwa umahiri wao wa kuongoza vipindi ukute wanalia njaa ni aibu kubwa. Rfa wanasikika nchi nzima ni aibu kushindwa kuwalipa watangazaji wake
Jamaa kaishiwa mbinu labda au alipukutishwa na Task force 🤣🤣🤣
 
Sasa hizi Media si huwa wanapewa tender za matangazo na makampuni. Ina maana Media kama Wasafi ilivyo na matangazo ama Clouds Media group halafu waseme hela za kulipa wafanyakazi hawana si vituko hivyo.
Hawa Sahara inaonekana walishafirisika, sababu hata matangazo hawana mkuu, ukisikiliza baadhi ya vipindi, utasikia mtangazaji tupate breki, alafu anapiga jingle la kipindi chake.

Wenye makampuni nao wanaangalia impact on duty kabla na baada ya kuweka pesa yao.
 
Mkuu wafanyakazi zaidi ya 400 wa sahara media wanadai mishahara tangia mwaka 2018.

Mwenyekiti na katibu wa maridhiano Wambura mtani na Alyoce Nyanda ndio wanaongoza kwasasa kwenye vikao kati ya wafanyakazi na mwajiri....Mgomo umeanza Jana baada ya kutofikia makubaliano.
 
Hawa Sahara inaonekana walishafirisika, sababu hata matangazo hawana mkuu, ukisikiliza baadhi ya vipindi, utasikia mtangazaji tupate breki, alafu anapiga jingle la kipindi chake.

Wenye makampuni nao wanaangalia impact on duty kabla na baada ya kuweka pesa yao.
Sema redio ikiwa haina maajabu na wasikilizaji wengi inakuwa hovyo ila nashangaa ilikuwaje maana jamaa waliiteka kanda ya ziwa. Kiss FM ilikuwa yamoto sana miaka ile 2004-2009 huku RFA ndio balaa zaidi katika majiji yote nchini kuanzia MZA, DAR na hata Arachuga
 
Back
Top Bottom