Aibu nyingine kubwa kwa Israel

Baada ya Israel kupata kipigo cha makombora na drone toka Iran sasa Sasa inafuata Jordan kwa kujifanya kiherehere
⚡️BREAKING

Iran says it is watching Jordan and it can become a target if it helps Israel in its next move!
Muhammad amekuambukiza chuki yake kwa Mayahudi
 
Wewe inasema Paulo alikufa kabla. Unajua Paulo alikuwa kabila gani na aliishi wapi wewe? Unaweza kukimbia nyumbani kwako kwa ajili ya vita au kutafuta riziilki ila Kuna siku utatudi nyumbani. Pale ni kwao na pataendelea kuwa kwao. Hao wanaojiita Wafilist kwanza sio wafilisto Bali mijiarabu ilisombwa sombwa sehemu mbalimbali na Mturuki wakati wa ottoman empire na kuletwa hapo.Mwabieni Mturuki awarudishe hao waarabu Koko slikowatoa ili waiache ardhi ya muizrael
 
We unahisi ni rahasi kama kuandika na hicho kitecno chako?🤣
Baada ya Israel kupata kipigo cha makombora na drone toka Iran sasa Sasa inafuata Jordan kwa kujifanya kiherehere
⚡️BREAKING

Iran says it is watching Jordan and it can become a target if it helps Israel in its next move!
 
Kwa nini mumtaje US .

US ameshakuwa wazi hatopigana ugomvi unaoanzishwa na Israel, atamsaidia tu fedha na vifaa.

Kila mnapoongelea Israel vs Iran basi mnamtaja US.

LEO HII KILE KICHAKA CHA IDF KUWA JESHI BORA MIDDLE EAST KIMEFYEKWA.
Wewe kwa akili zako unahisi lingekuwa jeshi legelege angeishi pale na maadui pande zote? Ndo maana hata Iran hajapiga full scale war amerusha tukombora tu halafu akatulia...
 
nyoosha maelezo mkuu,imejilinda au imelindwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…