Necromancer
JF-Expert Member
- Sep 20, 2018
- 3,187
- 3,138
Muhammad amekuambukiza chuki yake kwa MayahudiBaada ya Israel kupata kipigo cha makombora na drone toka Iran sasa Sasa inafuata Jordan kwa kujifanya kiherehere
⚡️BREAKING
Iran says it is watching Jordan and it can become a target if it helps Israel in its next move!
Wewe inasema Paulo alikufa kabla. Unajua Paulo alikuwa kabila gani na aliishi wapi wewe? Unaweza kukimbia nyumbani kwako kwa ajili ya vita au kutafuta riziilki ila Kuna siku utatudi nyumbani. Pale ni kwao na pataendelea kuwa kwao. Hao wanaojiita Wafilist kwanza sio wafilisto Bali mijiarabu ilisombwa sombwa sehemu mbalimbali na Mturuki wakati wa ottoman empire na kuletwa hapo.Mwabieni Mturuki awarudishe hao waarabu Koko slikowatoa ili waiache ardhi ya muizraelKweli huyu nimeamini ndie mlinzi wa mstari wa mbele wa taifa teule la Muingereza na America hata Paulo alikufa kabla ya kuwepo taifa lilopandikizwa na Muingereza, Paulo alimkusudia Yakobo ndio Israel c nchi.
Kweli wengine tukiwambia Jordan, Egypt, Saud Arabia, UAE na Morocco ni warabu lakini wanawapenda cousin zao kuliko warabu wenzao 😄
Yani wanakubali wa Palestine wafe ili abaki Zionist
Ongezea ma propagandaKutungua 99.9%,hakika jeshi la Israel ndio jeshi bora kabisa duniani
Baada ya Israel kupata kipigo cha makombora na drone toka Iran sasa Sasa inafuata Jordan kwa kujifanya kiherehere
⚡️BREAKING
Iran says it is watching Jordan and it can become a target if it helps Israel in its next move!
Propaganda za kitoto hizoKutungua 99.9%,hakika jeshi la Israel ndio jeshi bora kabisa duniani
Wewe kwa akili zako unahisi lingekuwa jeshi legelege angeishi pale na maadui pande zote? Ndo maana hata Iran hajapiga full scale war amerusha tukombora tu halafu akatulia...Kwa nini mumtaje US .
US ameshakuwa wazi hatopigana ugomvi unaoanzishwa na Israel, atamsaidia tu fedha na vifaa.
Kila mnapoongelea Israel vs Iran basi mnamtaja US.
LEO HII KILE KICHAKA CHA IDF KUWA JESHI BORA MIDDLE EAST KIMEFYEKWA.
nyoosha maelezo mkuu,imejilinda au imelindwa?Iran amerusha makombola na drones mamia asilimia 99 yamepigwa chini usipotoshe watu humu kwamba Israel imepigwa na Israel imetoa green light kwa jeshi lake kujibu subilieni tu namm nasemaje kwa Israel ilivyoweza jilinda kwa hayo mashambulizi je Iran ataweza akipigwa counter attacks 😂😂😂
Nimeona usa ameshaamchoka Netanyahu maana kila kitu ni kuleta taharuki tu na safari hii kamwmbia shauri yake hatahusuka tena na chokochoko nyingine , za kujitakianyoosha maelezo mkuu,imejilinda au imelindwa?