Aibu nyingine - Urusi inapata msaada kutoka kwa wakimbizi wa Palestina na magaidi wa Hezbollah

Mbona hata hao wazungu wanalitumia sana neno propaganda, wamezuia vyanzo mbali mbali vya Urusi ili kuwakinga watu wao wasipate propaganda za Urusi

Ndio neno mumebakia nalo tangu huu ugomvi unaanza, tumieni la kiarabu basi.
 
Umechanganyikiwa!!! kwani humu kumeandikwa kiarabu ?jikite kwenye hoja acha vioja

ili kidogo muonekane tofauti maana kila siku mnatumia neno moja hilo tu
 
Hilo neno lipo na litaendelea sana kutumika maana mazingira ni rafiki sana

Mlianza kulitumia tangu msafara unapigwa.....na mtaendelea kuumbuka hehehe
 
Wewe mburulaz ndio unaona mbele?? Hahahahaha vitu vingine vinachekesha sana.

Ukute mpaka leo babako anakaa nyumba ya nyasi alafu unajiita unaona mbali hehehehehe wabongo tunashangaza sana
 
Mimi ni mkristo lakini huyu jamaa sijui maostadh walimfanya nini. Muulizeni vizuri jamani usikute alienda vacation Mombasa akafanyiwa mambo sio na maostadh

hehehe hivyo maustadhi wanafahamika kwa hayo ya mambasa
 
hehehe hivyo maustadhi wanafahamika kwa hayo ya mambasa
Una chuki sana na maostadh. Nikwambie tu, sisi tunaishi nao vizuri na usitake kutugawanya kidini wala kuhusisha vita ya Russia na Ukraine na mambo ya dini. Majuzi Saudi Arabia wamepeleka msaada huko Ukraine sasa sijajua kama hao Saudi wamebadilika na sio waislamu tena.

Hayo mambo yako ya udini yaishie hukohuko Kenya na ukiendelea tutaomba Mods wakufungie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…