Aibu sana: IDF wagundua data center ya HAMAS nchini ya majengo ya shirika la Umoja wa Mataifa (UNRWA)

Mimi ndio niliyefungua uzi?

Uzi mmefungua kibubusa, zimekutwa data center kwenye ofisi za UNRWA. Mmekurupukwa kwa kutuambia ni za Hamas bila ushaidi wowote wa kujitosheea. Au unataka kusema UNRWA hawakutakiwa kuwa na data center??
Unapinga Kwa ushahidi.
 
Hawa jamaa walishajiandaa siku nyingi ile kuteka wale vijana walisema wapo tayari. Lakini walitengeneza hospitali bandia, vituo vya wakimbizi bandia, misikiti bandia na ambulance bandia ili kuuhadaa Umma. Kumbe Taifa teule Wana akili kubwa juzi niliona ambulance imepigwa bomu kumbe ndio mafifenda ya Hamas wanazuga wanabeba wagonjwa kumbe wamembeba silaha na magaidi. Habari kama hizi ALJAZIRA hawezi kuzitoa
 
Only bad people believe what IDF and israel says. IDF like netanhahu are thugs and criminals. What has unrwa to do with subterrenean hamas stations. Most probably UNRWA did not even know of the existance of such station deep under their premise. Hamas tunnels are quite deep and it depends who you are to think that their existance is wrong. Israel in the first instance is an ilegal occopier of palestine and the people are fighting for their liberation therefore for all people of goodwill the tunnels are justified to organise for resistance.
 
Mitoto maamuma ya shetan ilifikiri ina akili kuliko watoto wa Mungu na bado watapigwa mpaka kunako...
 
Fucking ISRAEL propaganda. Bullshit , all of it
 
Halafu yanatokea majitu meusi tii kwenda kufungua kesi in favor of terrorists! Unajiuliza hawa wako sawa!
TERRORIST ni ww na DADA zako, wanaume wa Hamas wanapigania nchi yao, hizi ni propaganda za vita acheni ujinga, Hakuna watu WAONGO kama wayahudi
 
Toa ushaidi hizo data center ni za hams na si za UNRWA. Usituwekee hapa propaganda za IDF

Ushahidi upo kwenye taarifa hadi mapicha, toka hapo Buza uende kule ukaonyeshwe unachokitaka.
 

Uthibitisho wa maugaidi ya dini yenu umekua ukionyeshwa kila siku, hata hapo hospitalini walialika CNN kabisa wakashuhudia handaki la kigaidi chini ya hospitali, kwa kifupi hiyo Gaza ilihiyaji kupigwa carpet bombing maana pamejaa mauchafu yenu.
 

Wewe na njaa zako hapo Buza unawazidi wakuu wa UNRWA wenyewe walipokiri kweli hilo shirika lilitumika na magaidi.
 
Ushahidi upo kwenye taarifa hadi mapicha, toka hapo Buza uende kule ukaonyeshwe unachokitaka.
Ujinga. Picha za kuonyesha makablasha yamekutwa kwenye ofisi za UNRWA! Kwanini usifikiri hiyo data centre ni ya UNRWA?? UNRWA hawakutakiwa kuwa na data center?
 

An electrical room serving an underground Hamas data center, beneath the UNRWA headquarters, uncovered by the IDF in Gaza City, February 8, 2024. (Emanuel Fabian/Times of Israel

Jamaa wamejipanga sana, naona wana hadi inverters + storage system, hapo hata umeme ukatwe maisha yanaendelea...
 
Ujinga. Picha za kuonyesha makablasha yamekutwa kwenye ofisi za UNRWA! Kwanini usifikiri hiyo data centre ni ya UNRWA?? UNRWA hawakutakiwa kuwa na data center?

Nenda kawabishie uone kama hautawahishwa kwa alla akbar ukatafune mabikira, viongozi wa UNRWA wenyewe walishakiri shirika kuingiliwa na magaidi ya dini yenu, na pia wametoa tamko hilo handaki hawakua na taarifa nalo.
 
Jamaa wamejipanga sana, naona wana hadi inverters + storage system, hapo hata umeme ukatwe maisha yanaendelea...

Yaani "industrial battery power banks".........
 
Cc Makondoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…