FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Wewe unafikiri kamati zote zina kazi ipi? Au lipi haswa la maana liliundiwa kamati?Sasa hiyo kamati ya vazi iliundwa kutafuna pesa za maskini au ilikuwa kuna ka hela kama kale ka EPA pale BOT hakana shughuli wakaamua katumike?