Aibu sana, Tanzania (Taifa Stars) Hatuna Utamaduni wowote

Aibu sana, Tanzania (Taifa Stars) Hatuna Utamaduni wowote

Wala sijalalamika mkuu.
Nimeandika ili Wizara husika ishtuke.

Tuanze kudroo attention zao mapema.

Kumbuka next tournament inapigwa kwenye ardhi yetu 2027.
Three years to come.
Sio vibaya.
Next tournament ni 2025 boss
 
Kuelekea AFCON 2024.

Vikosi vya mataifa mbali mbali vinawasili Cote D'Ivoire (Ivory Coast).

Kila Nchi inajitahidi sana kunadi utamaduni wa mavazi yao, kitu kinachopendeza sana.

Sisi Taifa Stars wameingia wakiwa wamevaa T-shirt za Sandaland

Kikosi cha Taifa Stars Kikiwasili
View attachment 2867583
View attachment 2867584

View attachment 2867587

Hivi wameshindwa hata kuvaa kimasai?
At least ni utamaduni unaojulikana zaidi Afrika Mashariki. Ikiwa sisi ndio wawakilishi pekee kutoka Afrika Mashariki Kuu (Tanzania, Kenya na Uganda).

Nimesema (kuu) kwasababu kwa sasa hata DRC ni Afrika Mashariki.

Tumezidiwa hadi na The Mambas(Mozambique).

MOZAMBIQUE
View attachment 2867560
View attachment 2867563

Wizara ya Michezo na Utamaduni tujifunze kitu kutoka kwenye hii michuano zaidi ya kuchangishana tu.

Angalia Nchi Mbalimbali zilivyoingia Ivory Coast.

NIGERIA.
View attachment 2867556
View attachment 2867557

GHANA
View attachment 2867558

View attachment 2867559

SENEGAL
View attachment 2867989

CAMEROON
View attachment 2867991

GAMBIA
View attachment 2867992

NAMIBIA.
View attachment 2867995
Hatuna utamaduni wa mavazi kama taifa. Siyo kila nchi inatakiwa iwe nao
 
Yuko wapi waziri wa kuona hayo?Yule ambaye anasema katiba Kwa sasa haina maana hadi miaka 50 [emoji1787] ,halafu Katibu ni Yule anayeshinda Instagram[emoji1787]
Tanzania vitu vingi vimelala inahitajika juhudi zako,zangu na wengine tutafute njia za kusikilizwa tukatoa mapendekezo hayo ambayo tunadhani yanafaa, (platform)
 
"A Man without his Culture is like a Tree without its roots"

By Marcus Garvey

Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
Culture sio kuvaa mavazi kinafiki, culture inakuwa damuni, hapa Tz wote tunavaa nguo za Mzungu, then tukiwa tunatoka ndio tuokoteze vazi la kabila moja kujifanya watu wa culture? Huu ni unafiki wa grade A+
 
Next tournament ni 2025 boss
Hata ikija hakuna kitu kipya maana wanajua utamaduni wa nchi ni akina diamond ,alikiba na konde. Watawachukua hao warukeruke uwanjani na kuwaachia wanyaturu na ngoma ya mawindi, wasukuma wa magu kikundi Cha mwanalyaku ambao wakiingia uwanjani kutumbuiza kama Kuna watoto wadogo wanalipa jinsi walivyovaa, wahadzabe wa Arusha ambao Sasa wanatilisa dunia nk. Wao wakishaqeka like jukwaa la udwara na hao wasanii wakija pale mbele wao wamemaliza
 
Kuelekea AFCON 2024.

Vikosi vya mataifa mbali mbali vinawasili Cote D'Ivoire (Ivory Coast).

Kila Nchi inajitahidi sana kunadi utamaduni wa mavazi yao, kitu kinachopendeza sana.

Sisi Taifa Stars wameingia wakiwa wamevaa T-shirt za Sandaland

Kikosi cha Taifa Stars Kikiwasili
View attachment 2867583
View attachment 2867584

View attachment 2867587

Hivi wameshindwa hata kuvaa kimasai?
At least ni utamaduni unaojulikana zaidi Afrika Mashariki. Ikiwa sisi ndio wawakilishi pekee kutoka Afrika Mashariki Kuu (Tanzania, Kenya na Uganda).

Nimesema (kuu) kwasababu kwa sasa hata DRC ni Afrika Mashariki.

Tumezidiwa hadi na The Mambas(Mozambique).

MOZAMBIQUE
View attachment 2867560
View attachment 2867563

Wizara ya Michezo na Utamaduni tujifunze kitu kutoka kwenye hii michuano zaidi ya kuchangishana tu.

Angalia Nchi Mbalimbali zilivyoingia Ivory Coast.

NIGERIA.
View attachment 2867556
View attachment 2867557

GHANA
View attachment 2867558

View attachment 2867559

SENEGAL
View attachment 2867989

CAMEROON
View attachment 2867991

GAMBIA
View attachment 2867992

NAMIBIA.
View attachment 2867995
Kamati ya Vazi la Taifa ilitumia milioni Bilioni 2 na hakuna walichofanya zaidi ndio hayo majumba wanajenga na kuwachamba wengine, akina mwijaku na wengine?

Mdundo wa Taifa wametumia milioni 900. na hakuna kitu, wanatuchamba tusio na hela na wameishia kuja na miso misondo ndio mdundo wa Taifa, upuuzi mtupu.

KAMATI YA MDUNDO WA TAIFA
Wajumbe wa Kamati ya Mdundo wa Taifa wakiongozwa na Katibu Mtendaji wa BASATA Dkt.Kedmon Mapana ambaye pia ndiye Mwenyekiti wa Kamati hiyo leo tarehe 12 Dec.2022 wamekutana jijini Dar Es Salaam ambapo kamati hiyo ilikuwa na kazi ya kuandaa na kuchakata vionjo vyenye asili ya kitanzania.

Baadhi ya wajumbe waliokuwepo ni pamoja na Dkt. Herbert Makoye(Katibu) Masoud Masoud,Zahir Ally Zorro,Chifu Aron Mikomangwa,Fatma Hassan(Dj Fetty) kutoka Clouds Media, Abdallah Othman Abdallah kutoka Zanzibar,Dkt.Gervas A.Kasiga kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma, Humphrey Domoka kutoka Wanene Studio.
 
Mi sioni shida na entrance yetu,
Habari za kueneza utamaduni waachie wengine, sisi twende kama wanamichezo tushinde tusepe,

Sijawahi ona wakorea au wajapani wameenda kwenye mashindano na yale magauni yao,

Au kuona waingereza wameenda na mavazi yao ya karne ya 7 huko,

Tucheze soka, utamaduni nenda Tamasha la sauti za busara,

habari za kuingiza kila kitu unapoona kuna fursa ndio mtaishia kuingiza siasa kwenye mpira, watu wa soka waachwe na soka,
Wacheza ngoma wacheze ngoma,

Mana hapo baadae utawalazimisha wavae magauni ya kimasai vipi wakivaa kimasai kisha wakawela na picha ya samia? Kila kitu kiwe mahali pake, msiforce ajenda zenu, kule ni soka sio takataka nyingi mara sijui utamaduni, mara siasa, mara nn
Yale maburudani mfano NGOMA za kitamaduni zinazosheresha wakati wa ufunguzi wa michuano Huwa za Nini!? Kwa nini wasianze TU Moja Kwa Moja na filimbi ya Refa kuashiria kipute kuanzia!?
 
Kamati ya Vazi la Taifa ilitumia milioni Bilioni 2 na hakuna walichofanya zaidi ndio hayo majumba wanajenga na kuwachamba wengine, akina mwijaku na wengine?

Mdundo wa Taifa wametumia milioni 900. na hakuna kitu, wanatuchamba tusio na hela na wameishia kuja na miso misondo ndio mdundo wa Taifa, upuuzi mtupu.

KAMATI YA MDUNDO WA TAIFA
Wajumbe wa Kamati ya Mdundo wa Taifa wakiongozwa na Katibu Mtendaji wa BASATA Dkt.Kedmon Mapana ambaye pia ndiye Mwenyekiti wa Kamati hiyo leo tarehe 12 Dec.2022 wamekutana jijini Dar Es Salaam ambapo kamati hiyo ilikuwa na kazi ya kuandaa na kuchakata vionjo vyenye asili ya kitanzania.

Baadhi ya wajumbe waliokuwepo ni pamoja na Dkt. Herbert Makoye(Katibu) Masoud Masoud,Zahir Ally Zorro,Chifu Aron Mikomangwa,Fatma Hassan(Dj Fetty) kutoka Clouds Media, Abdallah Othman Abdallah kutoka Zanzibar,Dkt.Gervas A.Kasiga kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma, Humphrey Domoka kutoka Wanene Studio.
Hii Nchi ina mambo mengi sana aisee
 
Yale maburudani mfano NGOMA za kitamaduni zinazosheresha wakati wa ufunguzi wa michuano Huwa za Nini!? Kwa nini wasianze TU Moja Kwa Moja na filimbi ya Refa kuashiria kipute kuanzia!?
Huyo Mwamba nimemwambia Aangalie nguvu ya Utamaduni kwa mataifa mengine
 
Mamtu yamefutantamaduni zao za asili na kufuata tamaduni za Mavazi ya waarabu na wazungu waliowaletea dini. Sasa inapotokea ulazima wa kuonyesha utamaduni Kila kabila linajifanya mmasai wakati awali walikuwa na mfumo wao wa uvaaji. Hata hivyo wamasai sio utambulisho wa Tanzania kwani Kenya wapo wengi na well organized kuliko bongo. Bora ungesema angalau vazi la wa Handzabe ambao ndio habari ya mjini Sasa hivi kwenye sekta ya utalii na kuitangaza nchi na mavazi Yao ya ngoziza nyani
Ngozi za nyani mtaambiwa huo ni ukatili wa viumbe.
 
Tanzania vitu vingi vimelala inahitajika juhudi zako,zangu na wengine tutafute njia za kusikilizwa tukatoa mapendekezo hayo ambayo tunadhani yanafaa, (platform)
Until CCM is Down
 
Yale maburudani mfano NGOMA za kitamaduni zinazosheresha wakati wa ufunguzi wa michuano Huwa za Nini!? Kwa nini wasianze TU Moja Kwa Moja na filimbi ya Refa kuashiria kipute kuanzia!?
Wanachezaga zile ngoma wachezaji wa football? Zile huwa sherehe, na kuna watu wa utamaduni wameandaliwa kwenda kucheza hizo ngoma,


Sasa watafute hao waulize kwann hawajavaa nguo za utamaduni, ila wachezaji wao watavaa nguo za kazi yao,
 
Wanachezaga zile ngoma wachezaji wa football? Zile huwa sherehe, na kuna watu wa utamaduni wameandaliwa kwenda kucheza hizo ngoma,


Sasa watafute hao waulize kwann hawajavaa nguo za utamaduni, ila wachezaji wao watavaa nguo za kazi yao,
Umekomaa
 
Si wangeweka hata picha ya mlima kilimanjaro
 
Kamati ya Vazi la Taifa ilitumia milioni Bilioni 2 na hakuna walichofanya zaidi ndio hayo majumba wanajenga na kuwachamba wengine, akina mwijaku na wengine?

Mdundo wa Taifa wametumia milioni 900. na hakuna kitu, wanatuchamba tusio na hela na wameishia kuja na miso misondo ndio mdundo wa Taifa, upuuzi mtupu.

KAMATI YA MDUNDO WA TAIFA
Wajumbe wa Kamati ya Mdundo wa Taifa wakiongozwa na Katibu Mtendaji wa BASATA Dkt.Kedmon Mapana ambaye pia ndiye Mwenyekiti wa Kamati hiyo leo tarehe 12 Dec.2022 wamekutana jijini Dar Es Salaam ambapo kamati hiyo ilikuwa na kazi ya kuandaa na kuchakata vionjo vyenye asili ya kitanzania.

Baadhi ya wajumbe waliokuwepo ni pamoja na Dkt. Herbert Makoye(Katibu) Masoud Masoud,Zahir Ally Zorro,Chifu Aron Mikomangwa,Fatma Hassan(Dj Fetty) kutoka Clouds Media, Abdallah Othman Abdallah kutoka Zanzibar,Dkt.Gervas A.Kasiga kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma, Humphrey Domoka kutoka Wanene Studio.
Hizi kamati zote hata ya Hamasa AFCON ni wizi na ulaji, pale hela zinapokaa na hazina matumzi ndio wahusika huja na vijitu kama hivi.
 
Kuelekea AFCON 2024.

Vikosi vya mataifa mbali mbali vinawasili Cote D'Ivoire (Ivory Coast).

Kila Nchi inajitahidi sana kunadi utamaduni wa mavazi yao, kitu kinachopendeza sana.

Sisi Taifa Stars wameingia wakiwa wamevaa T-shirt za Sandaland

Kikosi cha Taifa Stars Kikiwasili




Hivi wameshindwa hata kuvaa kimasai?
At least ni utamaduni unaojulikana zaidi Afrika Mashariki. Ikiwa sisi ndio wawakilishi pekee kutoka Afrika Mashariki Kuu (Tanzania, Kenya na Uganda).

Nimesema (kuu) kwasababu kwa sasa hata DRC ni Afrika Mashariki.

Tumezidiwa hadi na The Mambas(Mozambique).

MOZAMBIQUE



Wizara ya Michezo na Utamaduni tujifunze kitu kutoka kwenye hii michuano zaidi ya kuchangishana tu.


NIGERI
Vazi la Kitanzania lipo miaka na miaka na hakuna kabila isilolivaa. Kaznzu ya darzi, Kofia ya mkono na Koti. Kwa wanaume.

Hata bungeni linatambulika. Labda viongozi wa team ni mapoyoyo tu.
 
Vazi la Kitanzania lipo miaka na miaka na hakuna kabila isilolivaa. Kaznzu ya darzi, Kofia ya mkono na Koti. Kwa wanaume.

Hata bungeni linatambulika. Labda viongozi wa team ni mapoyoyo tu.
Sasa hiyo kamati ya vazi iliundwa kutafuna pesa za maskini au ilikuwa kuna ka hela kama kale ka EPA pale BOT hakana shughuli wakaamua katumike?
 
Vazi la Kitanzania lipo miaka na miaka na hakuna kabila isilolivaa. Kaznzu ya darzi, Kofia ya mkono na Koti. Kwa wanaume.

Hata bungeni linatambulika. Labda viongozi wa team ni mapoyoyo tu.
Waoh!! Tunaomba picha please
 
Back
Top Bottom