Aibu sana, Tanzania (Taifa Stars) Hatuna Utamaduni wowote

Aibu sana, Tanzania (Taifa Stars) Hatuna Utamaduni wowote

Kuelekea AFCON 2024.

Vikosi vya mataifa mbali mbali vinawasili Cote D'Ivoire (Ivory Coast).

Kila Nchi inajitahidi sana kunadi utamaduni wa mavazi yao, kitu kinachopendeza sana.

Sisi Taifa Stars wameingia wakiwa wamevaa T-shirt za Sandaland

Kikosi cha Taifa Stars Kikiwasili
View attachment 2867583
View attachment 2867584

View attachment 2867587

Hivi wameshindwa hata kuvaa kimasai?
At least ni utamaduni unaojulikana zaidi Afrika Mashariki. Ikiwa sisi ndio wawakilishi pekee kutoka Afrika Mashariki Kuu (Tanzania, Kenya na Uganda).

Nimesema (kuu) kwasababu kwa sasa hata DRC ni Afrika Mashariki.

Tumezidiwa hadi na The Mambas(Mozambique).

MOZAMBIQUE
View attachment 2867560
View attachment 2867563

Wizara ya Michezo na Utamaduni tujifunze kitu kutoka kwenye hii michuano zaidi ya kuchangishana tu.

Angalia Nchi Mbalimbali zilivyoingia Ivory Coast.

NIGERIA.
View attachment 2867556
View attachment 2867557

GHANA
View attachment 2867558

View attachment 2867559
Mkuu usijisumbue sana. Sisi watz tunajua kubwabwaja tu ile ukweli vichwani tumejaza vitu vya hovyo sana. Sasa hivi watu wanawaza uchaguzi hayo mambo ya afcon yamekuja kama ajali tu.

Hiyo safari ya staz tff wanaangalia kupiga hela tu. Utashangaa hadi wafagiaji pale tff watakua kwenye msafara wa staz.
 
Kuelekea AFCON 2024.

Vikosi vya mataifa mbali mbali vinawasili Cote D'Ivoire (Ivory Coast).

Kila Nchi inajitahidi sana kunadi utamaduni wa mavazi yao, kitu kinachopendeza sana.

Sisi Taifa Stars wameingia wakiwa wamevaa T-shirt za Sandaland

Kikosi cha Taifa Stars Kikiwasili
View attachment 2867583
View attachment 2867584

View attachment 2867587

Hivi wameshindwa hata kuvaa kimasai?
At least ni utamaduni unaojulikana zaidi Afrika Mashariki. Ikiwa sisi ndio wawakilishi pekee kutoka Afrika Mashariki Kuu (Tanzania, Kenya na Uganda).

Nimesema (kuu) kwasababu kwa sasa hata DRC ni Afrika Mashariki.

Tumezidiwa hadi na The Mambas(Mozambique).

MOZAMBIQUE
View attachment 2867560
View attachment 2867563

Wizara ya Michezo na Utamaduni tujifunze kitu kutoka kwenye hii michuano zaidi ya kuchangishana tu.

Angalia Nchi Mbalimbali zilivyoingia Ivory Coast.

NIGERIA.
View attachment 2867556
View attachment 2867557

GHANA
View attachment 2867558

View attachment 2867559
Watanzania watu wa hovyo sana,anayosema baba levo ndiyo tunaishi wote kuanzia wasomi wa PhD hadi darasa la saba.
Akisema muziki sasa ni amapiano,watanzania wote wajinga wajinga kuanzia wasomi wa PhD hadi darasa la 4B wanafuata.

Tuna feki sana maisha.Hatuwezi kuwa na chetu.Sisi ni watumwa na kiongozi wa falsafa za utumwa huo ni baba levo
 
Sio kila sehemu utamaduni kenge nyie. Kwahiyo duniani mataifa yote yana vazi la taifa?
Ila kuwa na Utamaduni na kuutumia ni jambo jema zaidi.

Nchi zinafanya hivyo kama sehemu kubwa ya kueneza uzalendo wao.
 
Bongo haina vazi la taifa...

Hata hivyo "mbunifu wa mavazi" wa TFF kwa timu za taifa sio mbunifu wa mavazi kama Ngowi...

Akili hizo za kuwa na vazi maalumu kwa ajili ya safari ya AFCON kamwe asingeweza kuwa nalo...
 
Ingetakiwa wavae hivi.
CCMEN.jpg
 
Bongo haina vazi la taifa...

Hata hivyo "mbunifu wa mavazi" wa TFF kwa timu za taifa sio mbunifu wa mavazi kama Ngowi...

Akili hizo za kuwa na vazi maalumu kwa ajili ya safari ya AFCON kamwe asingeweza kuwa nalo...
Wangepick moja.
Kutengeneza ile attention yani!!

Host anayefuata...
 
Aisee, haiko hivyo
Mi sioni shida na entrance yetu,
Habari za kueneza utamaduni waachie wengine, sisi twende kama wanamichezo tushinde tusepe,

Sijawahi ona wakorea au wajapani wameenda kwenye mashindano na yale magauni yao,

Au kuona waingereza wameenda na mavazi yao ya karne ya 7 huko,

Tucheze soka, utamaduni nenda Tamasha la sauti za busara,

habari za kuingiza kila kitu unapoona kuna fursa ndio mtaishia kuingiza siasa kwenye mpira, watu wa soka waachwe na soka,
Wacheza ngoma wacheze ngoma,

Mana hapo baadae utawalazimisha wavae magauni ya kimasai vipi wakivaa kimasai kisha wakawela na picha ya samia? Kila kitu kiwe mahali pake, msiforce ajenda zenu, kule ni soka sio takataka nyingi mara sijui utamaduni, mara siasa, mara nn
 
Mi sioni shida na entrance yetu,
Habari za kueneza utamaduni waachie wengine, sisi twende kama wanamichezo tushinde tusepe,

Sijawahi ona wakorea au wajapani wameenda kwenye mashindano na yale magauni yao,

Au kuona waingereza wameenda na mavazi yao ya karne ya 7 huko,

Tucheze soka, utamaduni nenda Tamasha la sauti za busara,

habari za kuingiza kila kitu unapoona kuna fursa ndio mtaishia kuingiza siasa kwenye mpira, watu wa soka waachwe na soka,
Wacheza ngoma wacheze ngoma,

Mana hapo baadae utawalazimisha wavae magauni ya kimasai vipi wakivaa kimasai kisha wakawela na picha ya samia? Kila kitu kiwe mahali pake, msiforce ajenda zenu, kule ni soka sio takataka nyingi mara sijui utamaduni, mara siasa, mara nn
AFCON 2027.
Tuwe pamoja Mungu akipenda ujue kama kwenye soka kuna Utamaduni au lah!!
 
Wanachangisha Mtonyo Leo, Tukubali Uwezo Wa Viongozi Wetu Mdogo
 
Mtu anavaa kanzu anaona kwa vile na babu yake alivaa basi ushakuwa utamaduni tayari,akiamka salamu yake kiarabu kwani kizaramo ni haramu?!
 
Watanzania watu wa hovyo sana,anayosema baba levo ndiyo tunaishi wote kuanzia wasomi wa PhD hadi darasa la saba.
Akisema muziki sasa ni amapiano,watanzania wote wajinga wajinga kuanzia wasomi wa PhD hadi darasa la 4B wanafuata.

Tuna feki sana maisha.Hatuwezi kuwa na chetu.Sisi ni watumwa na kiongozi wa falsafa za utumwa huo ni baba levo

Sahizi hamjasema TISS wameleta AFCON ili kuwatoa kwenye reli 😅
 
Mi sioni shida na entrance yetu,
Habari za kueneza utamaduni waachie wengine, sisi twende kama wanamichezo tushinde tusepe,

Sijawahi ona wakorea au wajapani wameenda kwenye mashindano na yale magauni yao,

Au kuona waingereza wameenda na mavazi yao ya karne ya 7 huko,

Tucheze soka, utamaduni nenda Tamasha la sauti za busara,

habari za kuingiza kila kitu unapoona kuna fursa ndio mtaishia kuingiza siasa kwenye mpira, watu wa soka waachwe na soka,
Wacheza ngoma wacheze ngoma,

Mana hapo baadae utawalazimisha wavae magauni ya kimasai vipi wakivaa kimasai kisha wakawela na picha ya samia? Kila kitu kiwe mahali pake, msiforce ajenda zenu, kule ni soka sio takataka nyingi mara sijui utamaduni, mara siasa, mara nn
Mmh wale wascotish unawaonaga
 
Back
Top Bottom