Aibu sana, Tanzania (Taifa Stars) Hatuna Utamaduni wowote

Aibu sana, Tanzania (Taifa Stars) Hatuna Utamaduni wowote

Hao wa msumbiji si mashati ya batiki? Nayo ni utamaduni, ? Halafu kule tunaenda kushindana mpira sio maonyesho ya utamaduni,

Msipovaa jersey za sandaland akiwashtaki kwa kukiuka mkataba na kumnyima airtime mna hela za kumlipa? Au mtachangishana ?
Sio kila kitu kuiga
Yeye Sandaland ndo alitakiwa atengeneze Jezi zenye muonekano wa kitamaduni.
 
Sio kila sehemu utamaduni kenge nyie. Kwahiyo duniani mataifa yote yana vazi la taifa?
 
Wamedarizi na kitambaa cha bendera yao.

Kwani Jersey si zinavaliwa uwanjani?
Kwa hio ndio utamaduni wa watu wa msumbiji?

Halafu jua sandaland anasupply nguo za mazoez, michezo na safari, kwa hio mkienda na mashuka yenu inabidi mlipe pesa
 
Kuelekea AFCON 2024.

Vikosi vya mataifa mbali mbali vinawasili Cote D'Ivoire (Ivory Coast).

Kila Nchi inajitahidi sana kunadi utamaduni wa mavazi yao, kitu kinachopendeza sana.

Sisi Taifa Stars wameingia wakiwa wamevaa T-shirt za Sandaland

Kikosi cha Taifa Stars Kikiwasili
View attachment 2867583
View attachment 2867584

View attachment 2867587

Hivi wameshindwa hata kuvaa kimasai?
At least ni utamaduni unaojulikana zaidi Afrika Mashariki. Ikiwa sisi ndio wawakilishi pekee kutoka Afrika Mashariki Kuu (Tanzania, Kenya na Uganda).

Nimesema (kuu) kwasababu kwa sasa hata DRC ni Afrika Mashariki.

Tumezidiwa hadi na The Mambas(Mozambique).

MOZAMBIQUE
View attachment 2867560
View attachment 2867563

Wizara ya Michezo na Utamaduni tujifunze kitu kutoka kwenye hii michuano zaidi ya kuchangishana tu.

Angalia Nchi Mbalimbali zilivyoingia Ivory Coast.

NIGERIA.
View attachment 2867556
View attachment 2867557

GHANA
View attachment 2867558

View attachment 2867559
Utamaduni wetu haupo kwenye mavazi tu.
 
Kwa hio ndio utamaduni wa watu wa msumbiji?

Halafu jua sandaland anasupply nguo za mazoez, michezo na safari, kwa hio mkienda na mashuka yenu inabidi mlipe pesa
Aisee, haiko hivyo
 
Hao wa msumbiji si mashati ya batiki? Nayo ni utamaduni, ? Halafu kule tunaenda kushindana mpira sio maonyesho ya utamaduni,

Msipovaa jersey za sandaland akiwashtaki kwa kukiuka mkataba na kumnyima airtime mna hela za kumlipa? Au mtachangishana ?
Sio kila kitu kuiga
Una hoja usikilizwe
 
Back
Top Bottom