Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Na kamati iliundwaHii hoja kuna kipindi ilianza ikafifia.
Watu wakafungia ubunifu wao kabatini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kamati iliundwaHii hoja kuna kipindi ilianza ikafifia.
Watu wakafungia ubunifu wao kabatini
Yeye Sandaland ndo alitakiwa atengeneze Jezi zenye muonekano wa kitamaduni.Hao wa msumbiji si mashati ya batiki? Nayo ni utamaduni, ? Halafu kule tunaenda kushindana mpira sio maonyesho ya utamaduni,
Msipovaa jersey za sandaland akiwashtaki kwa kukiuka mkataba na kumnyima airtime mna hela za kumlipa? Au mtachangishana ?
Sio kila kitu kuiga
Kamati Tanzania ni upigaji tu ..sasa usishangae baada ya hili saga hilo wazo likarudi tena ..ukasikia vazi la taifa wadau toeni maoniAu ule msiba wa Mhe. Komba ulibadilisha hatma ya ile kamati?
Wakipewa hiyo kazi mbn wanaweza ?Inawezekana.
Hivi kina Sheria Ngowi hawawezi kubuni vazi la taifa?
Hahahaha sawa sawa ili ashawishi mauzo , ile jezi sijui ndo ya ugenini ni mbayaYeye Sandaland ndo alitakiwa atengeneze Jezi zenye muonekano wa kitamaduni.
Hili la leo nadhani wameliona watalifanyia kaziWatokee watu serious 2027.
Maujanja yawe kibao
Kwa hio ndio utamaduni wa watu wa msumbiji?Wamedarizi na kitambaa cha bendera yao.
Kwani Jersey si zinavaliwa uwanjani?
Mzee acha uzee, sio kila mahali pa utamaduni, pale ni AFCON sio tamasha la utamaduni, kama mnataka utamaduni nendeni sauti za busaraYeye Sandaland ndo alitakiwa atengeneze Jezi zenye muonekano wa kitamaduni.
Mzee, elewa yale mashindano ya football sio utamaduni,Sisi tuna vingi kitamaduni.
Utamaduni wetu haupo kwenye mavazi tu.Kuelekea AFCON 2024.
Vikosi vya mataifa mbali mbali vinawasili Cote D'Ivoire (Ivory Coast).
Kila Nchi inajitahidi sana kunadi utamaduni wa mavazi yao, kitu kinachopendeza sana.
Sisi Taifa Stars wameingia wakiwa wamevaa T-shirt za Sandaland
Kikosi cha Taifa Stars Kikiwasili
View attachment 2867583
View attachment 2867584
View attachment 2867587
Hivi wameshindwa hata kuvaa kimasai?
At least ni utamaduni unaojulikana zaidi Afrika Mashariki. Ikiwa sisi ndio wawakilishi pekee kutoka Afrika Mashariki Kuu (Tanzania, Kenya na Uganda).
Nimesema (kuu) kwasababu kwa sasa hata DRC ni Afrika Mashariki.
Tumezidiwa hadi na The Mambas(Mozambique).
MOZAMBIQUE
View attachment 2867560
View attachment 2867563
Wizara ya Michezo na Utamaduni tujifunze kitu kutoka kwenye hii michuano zaidi ya kuchangishana tu.
Angalia Nchi Mbalimbali zilivyoingia Ivory Coast.
NIGERIA.
View attachment 2867556
View attachment 2867557
GHANA
View attachment 2867558
View attachment 2867559
Una hoja usikilizweHao wa msumbiji si mashati ya batiki? Nayo ni utamaduni, ? Halafu kule tunaenda kushindana mpira sio maonyesho ya utamaduni,
Msipovaa jersey za sandaland akiwashtaki kwa kukiuka mkataba na kumnyima airtime mna hela za kumlipa? Au mtachangishana ?
Sio kila kitu kuiga