Kioanya ni mwanasheria wake?Sasa hao si wanasheria wake kwani tatizo liko wapi?
Hao ni mawakili na watu wake wa karibu wao ndio wamesomea hayo maswala ya kuwapanga watu sioni shida kwenye hili
Tatizo ni yeye kupangwa namna jinsi ya kuongea au tatizo ni hayo maneno aliyopangwa kuongea sio ya kweli?
Kama maneno aliyosema ni ya kweli ishu ya kupangwa haiwezi kuwa hoja ya msingi
Kama ni kweli Hersi aliwahi kuomba radhi kwa kumkosea Feisalii na ushahidi upo basi sioni haja ya kujificha kwenye "kupangwa"
Kama ni kweli GSM alikuwa hapokei simu za Feisali na ushahidi upo basi sioni tatizo kwenye "kupangwa"
Leo habari ya mjini ni Feisal tuuuSasa GSM na Hersi si watoke hadharani kukanusha tuhuma hizo. Kwani shida nn??
Itakuwa Masood KipanyaKumbe Manara ndo kavujisha hamnaaa kitu hapoooooo
Ht sauti wametengeneza hizi ntakua wa mwisho kuwaamini YangaBaada ya Fei kusema yupo tayari kuchangiwa Yanga ipate maslahi yake na Hersi ndo hataki na analazimisha kurudi kambini Hapa hoja ni moja tu. Kwanini umng'ang'anie Fei? Kwani Yanga si inafanya vizuri? Kwanini usimpige faini kwa kiwango ambacho ungemuuza?
100%correctTusubiri mwisho itafahamika nani mkweli nani muongo
Na kajua kutetemesha jiji woiiiiiiiih.Leo habari ya mjini ni Feisal tuuu