cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Ko alikua ana muhoji huku akiwa anajua kila kitu? Sasa si unafikii huu. LolMasoud kipanya ni mshikaki wake Hersi kavujisha hii kitu mapema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ko alikua ana muhoji huku akiwa anajua kila kitu? Sasa si unafikii huu. LolMasoud kipanya ni mshikaki wake Hersi kavujisha hii kitu mapema.
Takadini lazima atengeneze uongo, si anatetea ndoa yakee mchezooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe Manara ndo kavujisha hamnaaa kitu hapoooooo
Inawezekana kuna aibu wanataka kuificha, ila mbona rahisi sana. Mpige fain fei, mruhusu aondoke. Discussion inakwisha. Hapa sasa hivi unaleta sauti mara mwenzako anakuja na video na tuhuma za ajabu mnazidi kuzalilishana.Ht sauti wametengeneza hizi ntakua wa mwisho kuwaamini Yanga
Ndo hapo sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baada ya Fei kusema yupo tayari kuchangiwa Yanga ipate maslahi yake na Hersi ndo hataki na analazimisha kurudi kambini Hapa hoja ni moja tu. Kwanini umng'ang'anie Fei? Kwani Yanga si inafanya vizuri? Kwanini usimpige faini kwa kiwango ambacho ungemuuza?
Bongo bila kuwa mnafiki hutoboi ndo maana nchi zilizotuzunguka Huwa hawatuamini.Ko alikua ana muhoji huku akiwa anajua kila kitu? Sasa si unafikii huu. Lol
Dunduka bhana! Wakati huyo Mwehu kadai Hersi alimwambia aende CAS? Endeleeni kumchangia ili aende huko CAS manake Wajinga Ndo Waliwao! Angekuwa na akili angeenda Klabuni kukutana na uongozi wa klabu na sio kwenda kukutana na Hersi hotelini wakati anadai Hersi ndo sumu pale klabuni!Baada ya Fei kusema yupo tayari kuchangiwa Yanga ipate maslahi yake na Hersi ndo hataki na analazimisha kurudi kambini Hapa hoja ni moja tu. Kwanini umng'ang'anie Fei? Kwani Yanga si inafanya vizuri? Kwanini usimpige faini kwa kiwango ambacho ungemuuza?
Kuna muda ushabiki hutufanya tuonekane WAJINGASasa hao si wanasheria wake kwani tatizo liko wapi?
Hao ni mawakili na watu wake wa karibu wao ndio wamesomea hayo maswala ya kuwapanga watu sioni shida kwenye hili
Tatizo ni yeye kupangwa namna jinsi ya kuongea au tatizo ni hayo maneno aliyopangwa kuongea sio ya kweli?
Kama maneno aliyosema ni ya kweli ishu ya kupangwa haiwezi kuwa hoja ya msingi
Kama ni kweli Hersi aliwahi kuomba radhi kwa kumkosea Feisalii na ushahidi upo basi sioni haja ya kujificha kwenye "kupangwa"
Kama ni kweli GSM alikuwa hapokei simu za Feisali na ushahidi upo basi sioni tatizo kwenye "kupangwa"
Kwanza hizo sauti ni za kutengenezaa tyuuh. Wala sio halisia, kikubwa GSM na hersi watoke hadharani kukanushaaa, vinginevyo Fei yuko sahihi.Bongo bila kuwa mnafiki hutoboi ndo maana nchi zilizotuzunguka Huwa hawatuamini.
Fei amekwambia wamekaa na Hersi masaa sita ila Hersi anachotaka waende kambini. Pesa yoyote kutoka kwa Fei kakataa, anasema Club ije, Fei anasema hana club inayomtaka. Ni nn hiki? Mambo ya ajabu sana haya.Dunduka bhana! Wakati huyo Mwehu kadai Hersi alimwambia aende CAS? Endeleeni kumchangia ili aende huko CAS manake Wajinga Ndo Waliwao! Angekuwa na akili angeenda Klabuni kukutana na uongozi wa klabu na sio kwenda kukutana na Hersi hotelini wakati anadai Hersi ndo sumu pale klabuni!
Hata kama sio mwanasheria ishu ni aliyoyasema ni ya kweli au ya uongo?Kioanya ni mwanasheria wake?
Feisal ni mdogo sana, hakina GSM hawawezi kubishana nayeSasa GSM na Hersi si watoke hadharani kukanusha tuhuma hizo. Kwani shida nn??
Huna moral authority ya kuzungumzia hili maana wewe simba kindakindaki au siyo injiniaKwanza hizo sauti ni za kutengenezaa tyuuh. Wala sio halisia, kikubwa GSM na hersi watoke hadharani kukanushaaa, vinginevyo Fei yuko sahihi.
Duh, kweli hii nchi imejaa viazi! Kwani hapo kuna kipi kibaya? Naona hadi watu na akili zao wana post kama vile ni kitu exclusive wakati tuliofatilia tunajua kilichotokea na hata mazungumzo yenyewe hakuna la ajabu.Tukisema huyu dogi anapotezwa na washauri wake, hasikii,
Kaenda clouds kuongea shits kumbe kuna watu wamempanga namna ya kuongea,
Kuna kundila watu liko nyuma yake linampoteza bila yeye kujua?
Hivi huyu hana management?
Elimu Elimu Elimu, mzee lowasa apewe maua yake
Sasa kichaa wanambania wa nn? Si wamuachee aondokeee au huko salamander tower ni kituo cha kuwalea vichaaa??Feisal ni mdogo sana, hakina GSM hawawezi kubishana na kichaa.
Haha wee mwenye moral authority ya kuzungumzia hili, sema nikusikiee.Huna moral authority ya kuzungumzia hili maana wewe simba kindakindaki au siyo injinia
Waache kuwa busy na fainali wawe busy kumjibu mlevi wa kahawa!?Sasa GSM na Hersi si watoke hadharani kukanusha tuhuma hizo. Kwani shida nn??