Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Kambi ya Hersi wanatapatapa.....wameshikwa pabaya.Sijasikia la maana la kufanya mambo waliyoongea kuwa kama njama au tatizo. Ni mambo ya kawaida na ya uwazi kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kambi ya Hersi wanatapatapa.....wameshikwa pabaya.Sijasikia la maana la kufanya mambo waliyoongea kuwa kama njama au tatizo. Ni mambo ya kawaida na ya uwazi kabisa.
Makolo bhn,mtumiege akili sometimes mjue kutofautisha sauti Genuine na za kutengeneza..Hahiitaji ushabiki kujua hii sauti ni genuine japokuwa mimi sijaona la ajaby sana lililoongeleka na kama unabisha hiyo sio sauti ya Feitoto nakupa namba yake anayoitumia(sio ile ya kuchangiwa michango) mpigie jifanye tu kama umekosea halafu uje utofautishe sauti utakayosikia na hiiKwanza hizo sauti ni za kutengenezaa tyuuh. Wala sio halisia, kikubwa GSM na hersi watoke hadharani kukanushaaa, vinginevyo Fei yuko sahihi.
Ila wanaweza kung'ang'ania wamkumbatie asichomoke. Kuna shida gani kumpiga Fei faini ya maana na kumfukuza? Vita ya maslahi inakuwa kama vita ya mapenzi?Feisal ni mdogo sana, hakina GSM hawawezi kubishana na kichaa.
Kumbe watangazaji ni wanasheria wa feiHalafu ni haki mtu kufundishwa Cha kuongea na mwanasheria wake sema sie tunaona ajabu.
Ingekuwa kweli basi yeye ndo angewafundisha hao na sio hao wamfundishe feiHata kama sio mwanasheria ishu ni aliyoyasema ni ya kweli au ya uongo?
Kama ni kweli basi haina mantiki ya kumtuhumu kipanya kwa lolote
Fatuma karume anayesikika kwenye audio ni nani???Kumbe watangazaji ni wanasheria wa fei
Sa mbona hamkusema mapema
Taaluma ya kuongea kwenye media sio kila mtu anayo hivyo lazima upate guide kwa watu ambao wana ujuzi wa hiyo kitu.Ingekuwa kweli basi yeye ndo angewafundisha hao na sio hao wamfundishe fei
Waza vizur
Kwa Final gani?? Hii iliyoisha kwa Mkapa? Kule si kukamilisha ratibaa tyuuh.Waache kuwa busy na fainali wawe busy kumjibu mlevi wa kahawa!?
Una maanisha Kipanya ndiye Wakili wake/Mwanasheria?Sasa hao si wanasheria wake kwani tatizo liko wapi?
Hao ni mawakili na watu wake wa karibu wao ndio wamesomea hayo maswala ya kuwapanga watu sioni shida kwenye hili
Tatizo ni yeye kupangwa namna jinsi ya kuongea au tatizo ni hayo maneno aliyopangwa kuongea sio ya kweli?
Kama maneno aliyosema ni ya kweli ishu ya kupangwa haiwezi kuwa hoja ya msingi
Kama ni kweli Hersi aliwahi kuomba radhi kwa kumkosea Feisalii na ushahidi upo basi sioni haja ya kujificha kwenye "kupangwa"
Kama ni kweli GSM alikuwa hapokei simu za Feisali na ushahidi upo basi sioni tatizo kwenye "kupangwa"
[emoji23][emoji23][emoji23] ila hujaona ajabu kwa kilicho ongelewaa?? Basi sawa case [emoji735]Makolo bhn,mtumiege akili sometimes mjue kutofautisha sauti Genuine na za kutengeneza..Hahiitaji ushabiki kujua hii sauti ni genuine japokuwa mimi sijaona la ajaby sana lililoongeleka na kama unabisha hiyo sio sauti ya Feitoto nakupa namba yake anayoitumia(sio ile ya kuchangiwa michango) mpigie jifanye tu kama umekosea halafu uje utofautishe sauti utakayosikia na hii
USM Algiers 0 - 4 Young Africans SCKwa Final gani?? Hii iliyoisha kwa Mkapa? Kule si kukamilisha ratibaa tyuuh.
Wao Watoke hadharani kukanusha tuhuma na madai ya Fei kwao.
Nilivyoona tu yeye ndiyo 'kavujisha' nikadharau hapo hapoKumbe Manara ndo kavujisha hamnaaa kitu hapoooooo
Mtoto wa Kipemba leo kaweka mambo hadharani.Watu wamepoteana mpaka wanatengeneza sauti [emoji23][emoji23]Na kajua kutetemesha jiji woiiiiiiiih.
Unaotaa wee amkaaa, utajikojoleaa bure mchana kweupee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]USM Algiers 0 - 4 Young Africans SC
Aggregate: USM Algiers 2 - 5 Young Africans SC
Chezeaa mpemba weyeeee, wasomali na wayemen koko wanaharaaaaaMtoto wa Kipemba leo kaweka mambo hadharani.Watu wamepoteana mpaka wanatengeneza sauti [emoji23][emoji23]
Feisal akifunguka zaidi,kuna hatari ya mtu kudharirika pakubwa sana.Tuliomsikiliza Feisal tumemwelewa na ndiyo maana 'rais' hataki kumwachiaInawezekana kuna aibu wanataka kuificha, ila mbona rahisi sana. Mpige fain fei, mruhusu aondoke. Discussion inakwisha. Hapa sasa hivi unaleta sauti mara mwenzako anakuja na video na tuhuma za ajabu mnazidi kuzalilishana.