Aibu ya Mwaka: Sauti Zimevuja, Feitoto akifundishwa namna ya kuongea uongo Clouds

Aibu ya Mwaka: Sauti Zimevuja, Feitoto akifundishwa namna ya kuongea uongo Clouds

Bado sijasikiliza hiyo clip ila haujui hata Rais wa nchi huwa anapangwa na kuelekezwa aongee nini, ajibu nini na asiseme nini kila akienda kuongea mbele za watu?
 
Kwanza hizo sauti ni za kutengenezaa tyuuh. Wala sio halisia, kikubwa GSM na hersi watoke hadharani kukanushaaa, vinginevyo Fei yuko sahihi.
Makolo bhn,mtumiege akili sometimes mjue kutofautisha sauti Genuine na za kutengeneza..Hahiitaji ushabiki kujua hii sauti ni genuine japokuwa mimi sijaona la ajaby sana lililoongeleka na kama unabisha hiyo sio sauti ya Feitoto nakupa namba yake anayoitumia(sio ile ya kuchangiwa michango) mpigie jifanye tu kama umekosea halafu uje utofautishe sauti utakayosikia na hii
 
Ingekuwa kweli basi yeye ndo angewafundisha hao na sio hao wamfundishe fei


Waza vizur
Taaluma ya kuongea kwenye media sio kila mtu anayo hivyo lazima upate guide kwa watu ambao wana ujuzi wa hiyo kitu.

Inawezekana Feisali aliwasimulia kila kitu hao ila namna ya kuanza ku present mbele ya media ndio hapo alipohitaji usaidizi.
 
Ila tz kesi za Milembe ni nyingi badala ya kujibu hoja watu wanajitetea.
UKiona ivyo alichozungumza kina ukweli
 
Sasa hao si wanasheria wake kwani tatizo liko wapi?

Hao ni mawakili na watu wake wa karibu wao ndio wamesomea hayo maswala ya kuwapanga watu sioni shida kwenye hili

Tatizo ni yeye kupangwa namna jinsi ya kuongea au tatizo ni hayo maneno aliyopangwa kuongea sio ya kweli?

Kama maneno aliyosema ni ya kweli ishu ya kupangwa haiwezi kuwa hoja ya msingi

Kama ni kweli Hersi aliwahi kuomba radhi kwa kumkosea Feisalii na ushahidi upo basi sioni haja ya kujificha kwenye "kupangwa"

Kama ni kweli GSM alikuwa hapokei simu za Feisali na ushahidi upo basi sioni tatizo kwenye "kupangwa"
Una maanisha Kipanya ndiye Wakili wake/Mwanasheria?
Kipanya si anapaswa kuwa kwenye neutral ground?
 
Makolo bhn,mtumiege akili sometimes mjue kutofautisha sauti Genuine na za kutengeneza..Hahiitaji ushabiki kujua hii sauti ni genuine japokuwa mimi sijaona la ajaby sana lililoongeleka na kama unabisha hiyo sio sauti ya Feitoto nakupa namba yake anayoitumia(sio ile ya kuchangiwa michango) mpigie jifanye tu kama umekosea halafu uje utofautishe sauti utakayosikia na hii
[emoji23][emoji23][emoji23] ila hujaona ajabu kwa kilicho ongelewaa?? Basi sawa case [emoji735]

Watuhumiwa watoke kukanushaa sasa.
 
Inawezekana kuna aibu wanataka kuificha, ila mbona rahisi sana. Mpige fain fei, mruhusu aondoke. Discussion inakwisha. Hapa sasa hivi unaleta sauti mara mwenzako anakuja na video na tuhuma za ajabu mnazidi kuzalilishana.
Feisal akifunguka zaidi,kuna hatari ya mtu kudharirika pakubwa sana.Tuliomsikiliza Feisal tumemwelewa na ndiyo maana 'rais' hataki kumwachia
 
Back
Top Bottom