Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,753
- 10,747
Ngoja tukomeshe sasa waliopo nyuma yake waumbuke, Eng Shikilia hapo hapo usiache moja wakome, tena bora aende huko CAS tupigwe fine tutalipa ndegles kabisaInawezekana kuna aibu wanataka kuificha, ila mbona rahisi sana. Mpige fain fei, mruhusu aondoke. Discussion inakwisha. Hapa sasa hivi unaleta sauti mara mwenzako anakuja na video na tuhuma za ajabu mnazidi kuzalilishana.