Aibu ya Mwaka: Sauti Zimevuja, Feitoto akifundishwa namna ya kuongea uongo Clouds

Aibu ya Mwaka: Sauti Zimevuja, Feitoto akifundishwa namna ya kuongea uongo Clouds

Inawezekana kuna aibu wanataka kuificha, ila mbona rahisi sana. Mpige fain fei, mruhusu aondoke. Discussion inakwisha. Hapa sasa hivi unaleta sauti mara mwenzako anakuja na video na tuhuma za ajabu mnazidi kuzalilishana.
Ngoja tukomeshe sasa waliopo nyuma yake waumbuke, Eng Shikilia hapo hapo usiache moja wakome, tena bora aende huko CAS tupigwe fine tutalipa ndegles kabisa
 
Aibu gani inafichwa?!?! Mahojiano yaliyofanyika yameonesha. Upeo mdogo was Fei na ni aibu kubwa Kwa Clouds kuwa sponsored kufanya mahojiano hayo kipindi hiki katika jitihada za kuihujumu Yanga na mechi ya marudiano na Algers..
Sio clouds wala Feisal watakaowafunga Yanga miguu wakiwa uwanjani, hizo hujuma zitatoka wapi ?......tafuteni sababu zingine mkifungwa ila hii haina mashiko.
 
Makolo bhn,mtumiege akili sometimes mjue kutofautisha sauti Genuine na za kutengeneza..Hahiitaji ushabiki kujua hii sauti ni genuine japokuwa mimi sijaona la ajaby sana lililoongeleka na kama unabisha hiyo sio sauti ya Feitoto nakupa namba yake anayoitumia(sio ile ya kuchangiwa michango) mpigie jifanye tu kama umekosea halafu uje utofautishe sauti utakayosikia na hii
Duh hujui kitu tulia
 
Ngoja tukomeshe sasa waliopo nyuma yake waumbuke, Eng Shikilia hapo hapo usiache moja wakome, tena bora aende huko CAS tupigwe fine tutalipa ndegles kabisa

Umekaa unaandika tu kama kulipa faini ni rahisi una type tu kama wewe ndio unalipa mkuu acha makuzi angalia familia yako imepungua nn? Uiongezee dogo fei anadai haki yake mkuu , tuliza fuvu hilo
 
Tukisema huyu dogo anapotezwa na washauri wake, hasikii. Kaenda clouds kuongea shits kumbe kuna watu wamempanga namna ya kuongea.

Kuna kundi la watu liko nyuma yake linampoteza bila yeye kujua?

Hivi huyu hana management?

Elimu Elimu Elimu, mzee Lowassa apewe maua yake.

Watu wabaya sana huyu dogo anapotea sasa.
 
Sasa unavunjaje mkataba bila kukutana na mwajiri? Sasa saini ataweka instagram au facebook? Aende wakaongee na yanga wavunje mkataba! Ana chuki na Eng kwasababu Eng amesajili wachezaji hatari kuliko yeye kwahiyo anamchukia hersi kwasababu ameleta wapinzani wa kumfunika.
Amesema alisha kutana na hao viongozi wa Yanga kuhusu yeye kuondoka wakakataa, baadae yeye alitumia kifungu cha mkataba kuvunja km kinavyo dai, bado wao yanga hawataki.

Na anasema alikutana na Hersi ili wazungumzie hatma yake, yeye alijibiwa kuwa arudi kambini kwa team kuendelea na majukumu yake ya uchezaji, na fei hataki hilo. Sasa afanyeje?

Hebu muwe mnafuatilia jambo bila muhemko. Lol
 
Una maanisha Kipanya ndiye Wakili wake/Mwanasheria?
Kipanya si anapaswa kuwa kwenye neutral ground?
Hata kama sio wakili mzee ishu hapo ji ukweli

Raisi anapangwa kwenye hotuba ndio iwe Feisali?
 
Ngoja tukomeshe sasa waliopo nyuma yake waumbuke, Eng Shikilia hapo hapo usiache moja wakome, tena bora aende huko CAS tupigwe fine tutalipa ndegles kabisa
Akilipa faini akaondoka ni mshindi na akilipwa faini akaondoka ni mshindi. Kumkomoa labda afungiwe asicheze soka.
 
Amesema alisha kutana na hao viongozi wa Yanga kuhusu yeye kuondoka wakakataa, baadae yeye alitumia kifungu cha mkataba kuvunja km kinavyo dai, bado wao yanga hawataki.

Na anasema alikutana na Hersi ili wazungumzie hatma yake, yeye alijibiwa kuwa arudi kambini kwa team kuendelea na majukumu yake ya uchezaji, na fei hataki hilo. Sasa afanyeje?

Hebu muwe mnafuatilia jambo bila muhemko. Lol

Aende CAS akapate haki yake ya KIKATIBA na iwe fundisho kwa VILAZA wenzake!
 
Aibu gani inafichwa?!?! Mahojiano yaliyofanyika yameonesha. Upeo mdogo was Fei na ni aibu kubwa Kwa Clouds kuwa sponsored kufanya mahojiano hayo kipindi hiki katika jitihada za kuihujumu Yanga na mechi ya marudiano na Algers..

Yanga ilijihujumu yenyewe tar 28/05,kule Algers wanakwenda kukamilisha tu ratiba na kuwashuhudia USM wakikabidhiwa kombe.
 
Clouds fm ni kituo cha redio kilichojijengea umaarufu kwa muda mrefu tangu enzi za marehemu Ruge. Lakini kwasiku za hivi karibuni heshima ya clouds imeshuka Sana.
Mfano mzuri ni hiyo clip iliyovuja Masoud kipanya akimkaririsha Feisal MANENO ya kuongea alaf yeye mwenyewe ndo akaenda kumfanyia mahojiano!
Hii inatia kichefuchefu na inaichafua brand kubwa Kama clouds fm. Nashauri mmiliki wa kituo hicho amfute kazi mara moja kabla mambo hayajawa mabaya zaidi.
Faisal ana elimu gani? Ninavyomuona na mambo yake kama asiyejielewa hivi!
 
Back
Top Bottom