Igwe Kingdom
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 317
- 590
Hio haitaondoa kipigo mtakacho pata kutoka kwa warabu ,moto upo pale pale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Client akimpa maelezo mwanasheria au msimamizi wake, msimamizi au mwanasheria ndiye anayetoa guide ya kum lead aongee vipi kulingana na scenario hiyoElimu ELimu Elimu ,Client ndiyo anampa taarifa mwanasheria kisha Mwanasheria ndiyo anatafuta chaka jinsi ya kumtoa ,sasa inakuwaje ampange kwenye ugali na sukari? Inakuwaje ampange kwenye mil100 cash wakata Eng alishasema wazi wazi? Inakuwaje adanganye mkataba wa miaka mitatu alikuwa hajui?
masudi alichokosa ni elimu. kichwa maji.Tukisema huyu dogo anapotezwa na washauri wake, hasikii. Kaenda clouds kuongea shits kumbe kuna watu wamempanga namna ya kuongea.
Kuna kundi la watu liko nyuma yake linampoteza bila yeye kujua?
Hivi huyu hana management?
Elimu Elimu Elimu, mzee Lowassa apewe maua yake.
Wangemkorogea kwenye uji kabisa kabla ya kusonga ugali!Zanzibari hawapendi vitu vichungu au vichachu. Ndo maana.
Kwanini asifanye? Kuna ubaya gani kumsaidia Fei? Kamfundisha kudanganya au kamfundisha namna sahihi ya kuufikisha ujumbe asieleweke tofauti?Mna uhakika mwenye hiyo sauti ni Yeye Masoud Kipanya (KP).
Kwa credibility yake KP sidhani kama atafanya hivyo.
Aende ofsi za yanga aongee mkataba uvunjweSasa mnabania wa nn huyo kichaa km hamuwezi kushindana nae? Si mumuachie aondokee, au kichaaa chake mnakipenda sanaaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Njoeni na hojaUnajitoa ufahamu
Client akimpa maelezo mwanasheria au msimamizi wake, msimamizi au mwanasheria ndiye anayetoa guide ya kum lead aongee vipi kulingana na scenario hiyo
Namna mteja anavyomueleza mwanasheria ni tofauti na ambavyo anatakiwa a present kwenye court au kwenye media.
We umesikiliza hiyo clip umesikia maneno yeyote yanayoashiria kwamba Feisali analishwa maneno ambayo hayajui (yakutungwa) au anapewa utaratibu wa kuanza na maneno gani kuongea ambayo ndio yaliyomtokea ?
Na ndo anachokifanyaa anaenda CAS huku akijua nini kitakua na uzuri yeye ashakubaliana nacho. Huo "UKILAZA' ni chuki zako kwake afu sio shida zake sasa.Aende CAS akapate haki yake ya KIKATIBA na iwe fundisho kwa VILAZA wenzake!
Wee ulimsikiliza vizuri?? Hilo alilifanya kabla hata ya yeye kuchukua maamuzi binafsi kutoka ktk kifungu cha mkataba. Ila Yanga hawatakiiii.Aende ofsi za yanga aongee mkataba uvunjwe
Yaani viongozi WA Yanga Boksa zimewabana leooNa kajua kutetemesha jiji woiiiiiiiih.
Haya yote wanasheria wa Feisal hawayajui? Unaamini kabisa wanasheria akina Fatma hawafahamu process za kuvunja mkataba?Sasa unavunjaje mkataba bila kukutana na mwajiri? Sasa saini ataweka instagram au facebook? Aende wakaongee na yanga wavunje mkataba! Ana chuki na Eng kwasababu Eng amesajili wachezaji hatari kuliko yeye kwahiyo anamchukia hersi kwasababu ameleta wapinzani wa kumfunika.
Na hayo maharage mkumbushe asihau kuweka naziKesi za fisi na chui waachie wenyewe. Pika ugali wako maharage kula.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Nimeona hapa zimeletwa kama Tuhuma, hadi watu wanapendekeza KP afukuzwe kaziKwanini asifanye? Kuna ubaya gani kumsaidia Fei? Kamfundisha kudanganya au kamfundisha namna sahihi ya kuufikisha ujumbe asieleweke tofauti?