Chupayamaji
JF-Expert Member
- Sep 19, 2017
- 5,784
- 13,642
Halafu yeye ndo kavujisha si mshikaji wake Hersi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaongea kisomi afu wenzako wanaongea kishabiki ndo shida ilipo...Haya yote wanasheria wa Feisal hawayajui? Unaamini kabisa wanasheria akina Fatma hawafahamu process za kuvunja mkataba?
Huoni kuwa Feisal anawekewa vigingi na sababu everyone anaweza kununulika mwisho wa siku atakosa haki yake, atapoteza muelekeo, kipaji kitazeeka, ndicho mnachotaka?
Nimeuliza huko juu ni kifungu gani cha sheria kimeshindikana kutafsirika? Kuna room ya discussion kama kweli yanga wanataka kumrelease Feisal? Wewe binafsi, kama mtu akiwa hataki kuendelea kufanya kazi kwako unafanyaje?
Unamkandakiza huyo dogo hivyo, je wewe ni shabiki tu au ndio nyie mabwana wakubwa wenye maslahi ya moja kwa moja na yanga? Kwenye hiyo audio ambayo binafsi naamini ni genuine, kuna chochote umekisikia cha ajabu kiasi iletwe kwenye jamii as if ni habari kubwa au ni jinai?
fatma karume hajui. kwa wasio wanasheria,fatma alisoma ufaransa shule zake, akamalizia uingereza, na akawa anapractice sheria uingereza, alipokuja hapa akafanya kazi na kina imma, bado hakuadopt sheria na practice ya hapa kwetu vizuri. ni mojawapo wa wanasheria wnaaojua kuongea siasa tu na vitu ambavyo kwenye sheria zetu havipo kabisa. no wonder hadi leo anasapoti ushoga na anaamini mashoga wana haki ndani ya katiba ya Tanzania kufanya ushoga, wakati kuna sheria wazi zinasema mtu anayefira na anayefirwa miaka 30 jela. huyo ndio unategemea amsimamie fei toto? hapo alienda tu kuonyesha uzanzibari, ili watu watakapoona uzanzibari umeibuka wamwachie fei ila sio hoja za kisheria za mahakamani. fei hata akienda kuzimu hiyo kesi hawezi kushinda. labda waamue tu kumwachie atakufa njaa.Haya yote wanasheria wa Feisal hawayajui? Unaamini kabisa wanasheria akina Fatma hawafahamu process za kuvunja mkataba?
Huoni kuwa Feisal anawekewa vigingi na sababu everyone anaweza kununulika mwisho wa siku atakosa haki yake, atapoteza muelekeo, kipaji kitazeeka, ndicho mnachotaka?
Nimeuliza huko juu ni kifungu gani cha sheria kimeshindikana kutafsirika? Kuna room ya discussion kama kweli yanga wanataka kumrelease Feisal? Wewe binafsi, kama mtu akiwa hataki kuendelea kufanya kazi kwako unafanyaje?
Unamkandakiza huyo dogo hivyo, je wewe ni shabiki tu au ndio nyie mabwana wakubwa wenye maslahi ya moja kwa moja na yanga? Kwenye hiyo audio ambayo binafsi naamini ni genuine, kuna chochote umekisikia cha ajabu kiasi iletwe kwenye jamii as if ni habari kubwa au ni jinai?
Unamlisha Fei ManenoAmesema alisha kutana na hao viongozi wa Yanga kuhusu yeye kuondoka wakakataa, baadae yeye alitumia kifungu cha mkataba kuvunja km kinavyo dai, bado wao yanga hawataki.
Na anasema alikutana na Hersi ili wazungumzie hatma yake, yeye alijibiwa kuwa arudi kambini kwa team kuendelea na majukumu yake ya uchezaji, na fei hataki hilo. Sasa afanyeje?
Hebu muwe mnafuatilia jambo bila muhemko. Lol
Inaonekana hujawahi kabisa walau kushuhudia kabla ya Live Interview nini huwa kinafanyika kabla ya kuruka hewani.Yanga wanapaswa wajikite kwenye kile alichokisema ni cha uwongo au la? Hii kutafuta vichochoro vya kujifichia hakusaidii lolote.Yes Feisal anakwenda CAS kuitafuta haki yake na wala siyo dhambi kwa yeye kwenda huko.Interview inakuwa na behind the scenes kama movie, tatizo igizo lao kwenye scripts, story wamechemka kwani hawana mtu makini kwenye continuity.
Haya endeleeni kumchangia tunasubiria CAS, tunaenda nae kisheria yy acha aendelee kutafuta huruma kwa public.
Kipanya ni Snitch alafu linajifanya linajua dini sana si hajabu hapo lishapewa fungu na GSM.Masoud kipanya ni mshikaki wake Hersi kavujisha hii kitu mapema.
Tuhuma gani? Kama wachawi. Unapendekezaje mtu afukuzwe kazi? Kakupotezea tsh ngapi kwa kumuelekekeza Fei cha kusema?Nimeona hapa zimeletwa kama Tuhuma, hadi watu wanapendekeza KP afukuzwe kazi
Bwana mkubwa, kwa uelewa wangu wakili anaweza kusimama pekeyake mahakamani kumuwakilisha client, lakini wanakuwa jopo nje ya mahakama katika mashauriano n.kfatma karume hajui. kwa wasio wanasheria,fatma alisoma ufaransa shule zake, akamalizia uingereza, na akawa anapractice sheria uingereza, alipokuja hapa akafanya kazi na kina imma, bado hakuadopt sheria na practice ya hapa kwetu vizuri. ni mojawapo wa wanasheria wnaaojua kuongea siasa tu na vitu ambavyo kwenye sheria zetu havipo kabisa. no wonder hadi leo anasapoti ushoga na anaamini mashoga wana haki ndani ya katiba ya Tanzania kufanya ushoga, wakati kuna sheria wazi zinasema mtu anayefira na anayefirwa miaka 30 jela. huyo ndio unategemea amsimamie fei toto? hapo alienda tu kuonyesha uzanzibari, ili watu watakapoona uzanzibari umeibuka wamwachie fei ila sio hoja za kisheria za mahakamani. fei hata akienda kuzimu hiyo kesi hawezi kushinda. labda waamue tu kumwachie atakufa njaa.
Na mie nashangaaa hapo tyuuh.Haya yote wanasheria wa Feisal hawayajui? Unaamini kabisa wanasheria akina Fatma hawafahamu process za kuvunja mkataba?
Huoni kuwa Feisal anawekewa vigingi na sababu everyone anaweza kununulika mwisho wa siku atakosa haki yake, atapoteza muelekeo, kipaji kitazeeka, ndicho mnachotaka?
Nimeuliza huko juu ni kifungu gani cha sheria kimeshindikana kutafsirika? Kuna room ya discussion kama kweli yanga wanataka kumrelease Feisal? Wewe binafsi, kama mtu akiwa hataki kuendelea kufanya kazi kwako unafanyaje?
Unamkandakiza huyo dogo hivyo, je wewe ni shabiki tu au ndio nyie mabwana wakubwa wenye maslahi ya moja kwa moja na yanga? Kwenye hiyo audio ambayo binafsi naamini ni genuine, kuna chochote umekisikia cha ajabu kiasi iletwe kwenye jamii as if ni habari kubwa au ni jinai?
Na ukimtetea Feisal utaambiwa wewe ni mwanaSimba yaani nchi hii! Mbona kuna mambo yanaonekana wazu kabisa.Unaongea kisomi afu wenzako wanaongea kishabiki ndo shida ilipo...
[emoji120]
Kamsikilize tenaaa, namlisha maneno wapiii??Unamlisha Fei Maneno
Jemedari kasema hata yeye Manara ana Interview kibao tu ambazo kabla haijaruka hewani huwa anaandaliwa na ataweka hadharani Voice notes zake.Tatizo la Manara anataka kujifanya yeye ni much know kuliko wengine, always anataka awe at the center of discussion na kuhamisha mjadala uelekee upande wake, ni pure narcissistHyo kawaida hata bungeni wale wanaochangia wote wameandaliwa ili kuepusha contents zisizo na maadili kusikika sasa shida iko wapi ila manara kama ni tatizo la akili basi kwake imefikia 100%
Ushoga unaelewa maana yake?? Halafu acha kuingiza mambo yasiyohusika, tuzungumzie ya Feisal.fatma karume hajui. kwa wasio wanasheria,fatma alisoma ufaransa shule zake, akamalizia uingereza, na akawa anapractice sheria uingereza, alipokuja hapa akafanya kazi na kina imma, bado hakuadopt sheria na practice ya hapa kwetu vizuri. ni mojawapo wa wanasheria wnaaojua kuongea siasa tu na vitu ambavyo kwenye sheria zetu havipo kabisa. no wonder hadi leo anasapoti ushoga na anaamini mashoga wana haki ndani ya katiba ya Tanzania kufanya ushoga, wakati kuna sheria wazi zinasema mtu anayefira na anayefirwa miaka 30 jela. huyo ndio unategemea amsimamie fei toto? hapo alienda tu kuonyesha uzanzibari, ili watu watakapoona uzanzibari umeibuka wamwachie fei ila sio hoja za kisheria za mahakamani. fei hata akienda kuzimu hiyo kesi hawezi kushinda. labda waamue tu kumwachie atakufa njaa.
Ni kweli kabisa mkuu jamaa kavujisha maksudi ili kumkomoa dogo, GSM wako radhi kutumia kiasi chochote Cha pesa waonekane Wasafi na Kipanya keshahongwa kukamikisha huo mpango pumbavu zakeHalafu yeye ndo kavujisha si mshikaji wake Hersi
Takadini ni wa kumpuuza tyuuh. Amesha vurugwaaa.Jemedari kasema hata yeye Manara ana Interview kibao tu ambazo kabla haijaruka hewani huwa anaandaliwa na ataweka hadharani Voice notes zake.Tatizo la Manara anataka kujifanya yeye ni much know kuliko wengine,always anataka awe at the center of discussion na kuhamisha mjadara uelekee upande wake,ni pure narcissist
Manara ni shida kubwa, kila sehemu alipo ni lazima ahakikishe watu wanaumia kwa mdomo wake. Sijui ule ulemavu wake ndiyo huwa unamfanya anakuwa insecure kiasi kwamba huwa anataka kuprove uwepo wake kwa kuzua taharuki.Hakuna tofauti kati ya Mange Kimambi na Haji Manara siku zote wapo kuumiza tu
Siku Yao ipoo
wewe utakuwa ni shoga. mbuzi kasoro mkia we. tulichokuwa tunasema hapa ni kwamba hata hao wanasheria wake kina fatma hawajui sheria, wanachojua ni kusapoti ushoga tu. mtu anayesapoti ushoga kweli anaweza kumtetea mtu akashinda kesi?Ushoga unaelewa maana yake?? Afu acha kuingiza mambo yasiyohusika, tuzungumzie ya feisal.
Anapindisha ukweli, ukweli ni upi sasa?Hapo siyo kama anapewa guidence ,hapo anapindisha ukweli ,aweke malipo hayo ya mili10 ,kisha mil20 tuone kama siyo muongo.
Eng Taarifa alizotoa zote sahihi ,kwamba Fei anakataa mishahara na kweli Fei amekiri ,na pia Eng kasema alimpa 100m cash means Eng ana ushahidi ndiyo maana amesema.
Huyo Amijei anatumika tu hana lolote ,eti anasema kwamba kuna mdau wa yanga ndani amempa 25m?