Sisi wengine sijui tuna nyota gani,nikishakaa kidogo tu hata iwe bar ya ugenini kabisa unakuta nimeshajuana na watu wengi balaa.Pombe mbaya ni za kununulia kila mtu bar ila ukiwa alone haileti umaskini
Kilimo, uvuvi na ufugaji si mbadala wa pombe. Kumbuka pombe ni starehe so mbadala wake lazima we starehe pia. Mtafutie starehe mbadala na si kumuongezea mzigo wa kazi!chief acha pombe jikite hata kwenye maswala ya kilimo,uvuvi na ufugaji.
We ni mlevi mwingine [emoji23][emoji23] unahitaji ushauriKaribu serenget sahz
Mi bhana pombe ishakua rafiki yangu nisipoiona siku tatu sina raha kabisaWe ni mlevi mwingine [emoji23][emoji23] unahitaji ushauri
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] yani ulivyouliza ili swali nilijua hugusi kabisa1. Usichanganye pombe.
2. Hama pombe badili safari kwa kilimanjaro.
3. Punguza idadi ya bia.
4. Acha konyagi na k vant anza kunywa expensive drink like Jamerson au JD uone kama utagida bila sababu.
Yani jana nmekuuliza hv halafu na mimi nimeharibu. Yani nmemumimd mdingi balaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan mie nimeshika serenget hapa sahiz nawachek tu heeheee pombe haiachiki kirahis wewe kuwa mpole tu .Tatizo Lililokukuta Limenikuta Pia Mimi Jumatutu,Nilikunywa Kwa Starehe Mapema Tu Nkarejea Home,Ila Home Wife Hayupo So Nkaona Nipo Bored,Nkatoka Nkakutana na Washkaji,Nikabwia-nikabwia Nikaamua Kurudi Home Mapema Tu,Kimbembe Kikaanzia Hapa,Ili Nifike Magetoni Kuna Ngazi Za Kupanda,Ndugu Yako Ngazi Nkawa Nazipanda Nakushuka,Yani Nkikaribia Ya Mwisho Nateleza Naanza Upya,Na Ni Hatua 5 Tu Nabakiza Kufikia Mlango Wangu,Basi Nkapanda Shuka Nkaona Isiwe Tabu,Nkauchapa Happy Happy,Sasa Kumbe Yupo Mtu Alikuwa Ananisoma na Ni Wa Hapa Hapa Nyumbani ya Pili Toka Kwangu,Akampigia Simu Mzee Mwenye Nyumba,Me Nimepanga Gorofani Ye Anaishi Kwa Chini Ndo Mzee Kuja Kunipa Msaada.
Nakuja Kushtuka Ni Asubuhi,Nimechafuka Sina Hali.
Nini Nimeamua Kufanya,Nimeamua Kumkabidhi Yesu Maisha Yangu Na Nizaliwe Upya.
Kudhalilika Huku Imetosha.
Hivyo Nikushauri Nawewe Mwenzangu,Pia Tuwe Na Mawasiliano Kuulizana Tulipofikia.
Huu ni ukweli usio pingika.Pombe mbaya ni za kununulia kila mtu bar ila ukiwa alone haileti umaskini
Nikipiga Hesabu Gharama Ninazozitumia Kwa Ajili ya Pombe Tu,Tena Sehemu Nyingine Hadi Sasa Nna Madeni Kisa Pombe,Naona Kama Ni Laana Kwangu + Inavyodhalilisha,Why Not Nisichukue Maamuzi Tu? Pombe Ni Chanzo Cha Dhambi,Nasema Hilo Maana Nna Ushuhuda Nalo Hata Wewe Wajua.Yaan mie nimeshika serenget hapa sahiz nawachek tu heeheee pombe haiachiki kirahis wewe kuwa mpole tu .
Eti anaacha pombe afu anaanza nini sasa?Unaachaje pombe?
Utaacha baada ya muda utarudi kwa speed ya ajabuNikipiga Hesabu Gharama Ninazozitumia Kwa Ajili ya Pombe Tu,Tena Sehemu Nyingine Hadi Sasa Nna Madeni Kisa Pombe,Naona Kama Ni Laana Kwangu + Inavyodhalilisha,Why Not Nisichukue Maamuzi Tu? Pombe Ni Chanzo Cha Dhambi,Nasema Hilo Maana Nna Ushuhuda Nalo Hata Wewe Wajua.
Namuomba Mungu Nisiikose Mbingu Kwa Hili na Mengine,Nimeamua Kujisalimisha Maisha Yangu Kwa Yesu,Naamini Atanipigania.
Namuomba Mungu Nisirudi Tena Misri.Utaacha baada ya muda utarudi kwa speed ya ajabu
Chamsingi inatakiwa ukiiona pombe ona Kama sumu,achana na marafiki walevi nenda na makanisa ya walokole!
Ila kuacha sio kazi rahisi
Mungu atasaidie,imeniuma mno kitendo cha kurudi nyuma maana nilishaiacha kabisa.Nna stress kinoma kila nnayemuona nahisi ananiwazia mimiTatizo Lililokukuta Limenikuta Pia Mimi Jumatutu,Nilikunywa Kwa Starehe Mapema Tu Nkarejea Home,Ila Home Wife Hayupo So Nkaona Nipo Bored,Nkatoka Nkakutana na Washkaji,Nikabwia-nikabwia Nikaamua Kurudi Home Mapema Tu,Kimbembe Kikaanzia Hapa,Ili Nifike Magetoni Kuna Ngazi Za Kupanda,Ndugu Yako Ngazi Nkawa Nazipanda Nakushuka,Yani Nkikaribia Ya Mwisho Nateleza Naanza Upya,Na Ni Hatua 5 Tu Nabakiza Kufikia Mlango Wangu,Basi Nkapanda Shuka Nkaona Isiwe Tabu,Nkauchapa Happy Happy,Sasa Kumbe Yupo Mtu Alikuwa Ananisoma na Ni Wa Hapa Hapa Nyumbani ya Pili Toka Kwangu,Akampigia Simu Mzee Mwenye Nyumba,Me Nimepanga Gorofani Ye Anaishi Kwa Chini Ndo Mzee Kuja Kunipa Msaada.
Nakuja Kushtuka Ni Asubuhi,Nimechafuka Sina Hali.
Nini Nimeamua Kufanya,Nimeamua Kumkabidhi Yesu Maisha Yangu Na Nizaliwe Upya.
Kudhalilika Huku Imetosha.
Hivyo Nikushauri Nawewe Mwenzangu,Pia Tuwe Na Mawasiliano Kuulizana Tulipofikia.
Kama huwezi kuacha kabisa nywea home mze familia itakusitiri aibu zakoYaani huwa naongea pumba mno
Tunapoangukia Ndipo Tunapoamkia,Tujipanguse Tufute Vumbi,Na Kamwe Tusigeuze Shingo.Mungu atasaidie,imeniuma mno kitendo cha kurudi nyuma maana nilishaiacha kabisa.Nna stress kinoma kila nnayemuona nahisi ananiwazia mimi
Umentia moyo mno,naamini ntashindaTunapoangukia Ndipo Tunapoamkia,Tujipanguse Tufute Vumbi,Na Kamwe Tusigeuze Shingo.
Maandiko Yanasema "Aonywae Mara Nyingi Akishupaza Shingo Itavunjika Ghafla na Wala Hatapata Dawa"
Ndugu Tusisubiri Mda Wa Kukosa Dawa Ufike Maana Itakuwa Ni Kilio Na Kusaga Meno.
Chukulia Hao Marafiki Wangekuwa na Silaha na Wote Mmelewa na Ugomvi Huo,Ungetoka Salama? Vitu Vingine Vinatokea Kama Somo Tujifunze/Ujifunze.
Mimi Baada ya Kutafakari Toka Juzi Nje Sijatoka Zaidi ya Kwenda kwa Mchungaji na Kuombewa Sala ya Toba.(Aibu)
Sasa Nisipoacha Nikwamba Naikaribisha Aibu Nyingine Mpya.
Na Pia Kwani Ina Faida Gani Nikiitumia na Ina Hasara Gani Niiacha?
Nikiangalia Faida Sioni,Hasara Sioni.Sipunguzi Chochote.
Badala Yake Fedha Ntakayoisave Itanisaidia Hata Kusaidia Wazazi Ambao Niliwatelekeza Kwa Muda Huku Mimi Nadanganywa na Pombe. (Simaanishi 100% Niliwaacha,Ila Kuna Wakati Kisa Pombe)
Vilevile Hela Ntakayosave Ntapiga Hatua Kimaisha,Biashara,Makazi (Ujenzi),Kutoa Kwa Jamii nk.
Bila Yesu Mimi Wewe Si Kitu.
#ShtukaMapema2021 Iwe Ushuhuda.