Safi saana
Aende bungeni na madiwani wafanye kazi..
Atakua chachu ya mijadala yenye tija
Aende bungeni na madiwani wafanye kazi..
Atakua chachu ya mijadala yenye tija
Huu ndo ukweli, namjua AIDA na nimekuwepo Namanyere tangu siku ya upigaji kura hadi kutangazwa matokeo, ilikuwa mbinde kweli kweli. Dada kapambana na majizi kwa nguvu hadi kunyang'anyana fomu za matokeo na Msimamizi wa kata ambazo baadaye zilijulikana ni feki. Mabomu ya mshindo zaidi ya 30 yamepigwa eneo la Halmashauri ya Nkasi kufukuza Wafuasi wake lakini walinawa maji na kujifunika vitambaa puani mapambano yakaendelea.
Mkuu wa Wilaya Said Mtanda na Mgombea wa chama chake walipita alfajiri tarehe 29/10 wakitangaza ushindi feki wa Ally Keissy, hali iliyowaamsha wananchi waliokuwa wanajua mshindi ni nani kuingia barabarani hadi Halmashauri kudai Mshindi halali atangazwe. Viongozi wa CHADEMA wanatakiwa kitumia busara kwa wale walioshinda, siyo kwamba wamepewa bure, wamepambana. Mbali ya kuwepo wizi lakini CHADEMA wamepata Madiwani 4 kati ya kata 17 baada ya mapambano makali.